Nachopendea pombe kali zinaleta njaa

Nachopendea pombe kali zinaleta njaa

Ndiyo, mfano nyanya chungu huwa natafuna mbichi kabisa na ninapata mzuka haswaa.

FAIDA:

Huimarisha na kuweka sahawia sukari halisi iliyopo mwilini mwako na kudhibiti sukari ya ziada itokanayo na vinywaji kama soda, juisi za viwandani n.k.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Kula hij mixer ya Eagle na Hanson utanishukuru
IMG_20220306_132008_231.jpg
 
Pombe zote zinaleta njaa, ila zikishiakudhuru sana ndio utakuwa husikii njaa wala nyongo, we utakuwa unataka tu vyombo
 
Tofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
Ngoja nikajitafutie K - Vant nishushie na mkuu wa meza a.k.a. mdudu🐷
 
Kwanini Uwe Na Mentality Ya Uharibifu Wa Mwili Wako Mwenyewe?

Ni Sawa Na Kukata Tamaa Ya Kuishi Ishi Vyema Japo Kufa Kupo.
mkuu ukifa maini yanaenda kuoza sasa kwanini ufe na maini mazima alafu unaweza usinywe pombe ukafa na covid au maralia
 
Back
Top Bottom