Makinisanatu
Member
- Mar 5, 2023
- 32
- 21
Kwa wale wenye familia na ambazo huwezi kuona namba mpya ukaipuuza kutokana na watoto na familia pale uwapo nje au safari. Eti unaona mtu ana beep🎼📞. Sometimes anakutext kabisa. Kuwa ...."Nipigie."
Nachukia sana tena anaandika nipigie...heck. Unapiga anadai eti nimekosea namba.
Mimi: Uwe makini.
Yeye: Si nimekwambia nimekosea namba mwehu nini!
Mimi: (Nashangaa)....wewe mdada unashida gani?
Yeye: Mshenzi wewe.
Wadau huyu anatakiwa afanywe nini?
Nachukia sana tena anaandika nipigie...heck. Unapiga anadai eti nimekosea namba.
Mimi: Uwe makini.
Yeye: Si nimekwambia nimekosea namba mwehu nini!
Mimi: (Nashangaa)....wewe mdada unashida gani?
Yeye: Mshenzi wewe.
Wadau huyu anatakiwa afanywe nini?