yaani mtu unalipa kiingilio,
ukifika unaanza kupewa adhabu ya kuinua mikono juu Na kidole cha mwisho.
badala ya wewe uimbiwe, mic inageuziwa kwako wewe ndo uimbe.
msanii anapayuka tuu haupati Ile vibe ya mziki,
hatulii stejini, anakimbiakimbia Tu huku Na kule bila kuwa Na pattern ya mziki
mwisho wa siku unaanza kuulizwa maswali like "niimbe au nisiimbe?"
Ni Mara Mia waimbe playback Ili ilete Ile rhythm.
very stupid, hawa waandaaji Na wasanij Wao wamesahau kuwa hizo nyimbo washabiki wanazijua vizuri and kwenda kuwaona huko Ni kwamba Kuna kitu extra wanakitaka, Wao wanakimbiakimbia Tu stejini, very boring
ukitaka kwenda nao sawa labda ulewe kwanza