Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Huwezi vaa nguo nusu uchi hapana aisee heshima nikitu cha bureeWaache ndio maana wakaitwa wanawake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi vaa nguo nusu uchi hapana aisee heshima nikitu cha bureeWaache ndio maana wakaitwa wanawake...
Wanaovaa hivyo ni MANAMAKE ...mwanamke hawezi kujiweka hivyo...Waache ndio maana wakaitwa wanawake...
Ebu kalale una usingizi wewe😅Hili janga la kuvaa nguo ambazo ni za “nusu uchi” huwa linawakera wanaume wasio na hela tu kwani wanakuwa wanayaona maua ambayo hawawezi kuyachuma.
Kuvaa nguo nusu uchi ndiyo kuvaa aje ni fupi, transparent, ya kubana au.Huwezi vaa nguo nusu uchi hapana aisee heshima nikitu cha buree
Hadi kichefu chefu!!Nakereka na tabia za wanawake kukaa uchiuchi harafu wakiona wanaume huanza kuhangaika kufunika nyuchi zao! Hivi nyie wanawake wanawake mna nini lakini vichwani mwenu?
Linawakera wanaume wanaojiheshimu na wanaozingatia maadili mema!! Sasa msichana nusu uchi utapita naye wapi? Hao wamejiweka sokoni, wameuza utu wao kwa pesa!! Na wanaowachukua kamwe hawawezi kuwaheshimu!! Wanawatumia kama toilet paper tu!! Baada ya kutimiza kazi yake toilet paper huwezi kukaa nayo, ni ya kutupa!! Kwani ukivaa kwa staha unapungukiwa na nini? Badala yake utapata watu wenye heshima zao watakaoheshimu utu wako pia!!Hili janga la kuvaa nguo ambazo ni za “nusu uchi” huwa linawakera wanaume wasio na hela tu kwani wanakuwa wanayaona maua ambayo hawawezi kuyachuma.
Miongoni mwao..Hili janga la kuvaa nguo ambazo ni za “nusu uchi” huwa linawakera wanaume wasio na hela tu kwani wanakuwa wanayaona maua ambayo hawawezi kuyachuma.
Yaani wewe unaona pesa za wanaume ni za kununulia uchi tu!! kumbe ndio huwa mnadanganyana hivyo!! Nikidate na mdada namwambia kabisa avae kwa staha!! Hii staili ya viruka njia huko huko!Hili janga la kuvaa nguo ambazo ni za “nusu uchi” huwa linawakera wanaume wasio na hela tu kwani wanakuwa wanayaona maua ambayo hawawezi kuyachuma.
Hiyo ni staili ya wanawake ya ubakaji! Kwani ukivaa kwa kujisitiri unapungukiwa na niniJibu umepata, wanavaa sababu yenu...
Mzuri ni mzuri tu!! Kuvaa nusu uchu hakumwongezei uzuri!! ni dalili ya kutojiamini!! Halafu wanaume wasiokuwa na nguvu za kiume hadi waone uchi ndo wapate hisia!!Mimi ndizo nazipenda, wanaovaa alafu kama ni wIzuri nawapenda sana.
hovyo ni kutokutimiza lengo sahihi na la msingi la mavazi. Lengo la msingi la mavazi ni kumsitiri mvaaji. Kama vazi likishindwa kutimiza lengo hili la msingi ni kwamba mvaaji amee hovyo!! Hajastaarabika!! ameathirika na mmong'onyoko wa maadili!!Mtoa mada kaandika kwamba kuvaa uchi ndio kuvaa ovyo?
Kuvaa hovyo ni kuvaa bila mpangilio sahihi wa mavazi. Kama wewe hapo ulivyotupia
Ili iweje?Unatakiwa ukamuonyeshe mume ndani.Yote hayo wanafanya kwasababu yenu wanaume muwaone ...
Nahisi wewe utakua ni huyuMtoa mada kaandika kwamba kuvaa uchi ndio kuvaa ovyo?
Kuvaa hovyo ni kuvaa bila mpangilio sahihi wa mavazi. Kama wewe hapo ulivyotupia
Wakibakwa wanalialiaMbwembwe....[emoji1787][emoji1787]