Nachukizwa na tabia ya watu wa Bara

watu visiwani wanachoweza ni kupika vitu vya uchachu utazani wana mimba changa ,kunywa kahawa jua kali,kula maembe mabichi na umbeya bwana
 
Hata kama,, lakini sisi ndio wenye nguvu za kiuchumi na kisiasa,, pwani hakuna rasilimali zaidi ya nyasi za kuchungia ng'ombe zetu😄😄
 
Wanaume wa kanda ya pwani si ndio nyie mmelegea kama dada zenu
 
wewe ni mpumbavu sana! kwahiyo "ile tabia yenu pendwa" waichukia au waipenda pia?
 
napia wengi wamekuja kujifunzia kiswahili mjini huku.naushamba wamekuja kutolea huku. hawajuhi🤣🤣🤣kuongea kiswahili
 
We nawe ni muimba taarabu aliyechangamka.

Unashindwa kujua hatima ya huu mjadala ni kutengeneza chuki baina ya ninyi kwa ninyi wa-TZ?

Mleta mada katumia hivi vigezo kuuweka hapa huu uzi [emoji116][emoji116][emoji848]

Kafanyia wapi research?

Alitumia njia zipi kukusanya data?

Alitumia methodology ipi?

Alitumia samples zipi?

Case study yake ilifanyikia wapi?

Aliambatanisha references zipi?

Alitumia jamii za Watu gani?

Alitumia muda gani kukamilisha research?

Alitumia variables zipi?

Lengo la Mleta mada lilikuwa lipi?

Ni kweli hakuna mazuri hata kidogo ya jamii hiyo?

Solutions zipi alizoona ni sahihi kutatua matatizo?

Chuki ni hatari sana kwa afya za akili, Mleta mada ni wa kumpotezea tu wala hutapungukiwa kitu ukiuchuna.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hata nyie manaouza shamba kwa ajili ya kumcheza Ngoma mtoto Leo mmekua wataarabu?
 
Kwani wanakula kwako?
 
We mshamba unaongea nn?

Wa kwanz ni wewe ndo case study ..unaropoka kama umekunywa maji ya chooni.

Ujanja muutoe wapi na starehe zenu ni kulewa tu .
 
Badilisha heading basi,badala ya kuwa WATU WA BARA iwe watu wa kanda ya ziwa,maana umezungukazunguka mwishoe imejulikana kuwa hasira yako iko kwa watu wa kanda ya ziwa...
Kabisa mada yake kawa target wasukuma tu
Asingejitanabaisha kama mtu wa pwani, wangesema yeye ni mchagga, maana wasukuma huku JF wanadhani Wachagga ndio maadui zao kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…