Nachukizwa na tabia ya watu wa Bara

Nachukizwa na tabia ya watu wa Bara

Jibu swali hili
Ukiacha kuimba taarabu na kula urojo nitajie vipaji vingine vitatu tu vya huko pwani.
Vipaji vyote unataka Kipi then utaje na kwenu nyie wavuta bhangi hata mziki hamjui makundi ya ovyo..

Taja kwenu tunafananishe ni wazee wa bhangi
 
Vipaji vyote unataka Kipi then utaje na kwenu nyie wavuta bhangi hata mziki hamjui makundi ya ovyo..

Taja kwenu tunafananishe ni wazee wa bhangi
😂😂 Taarabu hata hapo southafrica tu hawaijui ila MONDI hadi U.S amefika sijajua nikutajie na MBWANA SAMATTA kwenye angle za mpira .

Mbaya zaidi sisi si wavivu daily tunawasaidia kuwaolea hao dada zenu mnaoshindwa kuwafikisha kilimanjaro kwa sababu ya magonjwa kama kisukari, presha, unene uliopitiliza na lishe isiyo bora na wanatupenda kweli kweli.

Watu mnajua kula tu kazi mtafanya saa ngapi?😂😂 hamfugi wala kulima mnasubiri mamwinyi wa bara tuwaletee vyakula huko.

N.b
Mkizingua tunasitisha kuleta mazao yetu na wanyama muone kama hamjafa kwa njaa 😂😂😂
 
😂😂 Taarabu hata hapo southafrica tu hawaijui ila MONDI hadi U.S amefika sijajua nikutajie na MBWANA SAMATTA kwenye angle za mpira .

Mbaya zaidi sisi si wavivu daily tunawasaidia kuwaolea hao dada zenu mnaoshindwa kuwafikisha kilimanjaro kwa sababu ya magonjwa kama kisukari, presha, unene uliopitiliza na lishe isiyo bora na wanatupenda kweli kweli.

Watu mnajua kula tu kazi mtafanya saa ngapi?😂😂 hamfugi wala kulima mnasubiri mamwinyi wa bara tuwaletee vyakula huko.

N.b
Mkizingua tunasitisha kuleta mazao yetu na wanyama muone kama hamjafa kwa njaa 😂😂😂
Mbwana samata ni mtu wa wapi?,🤣🤣🤣

Hao wote lazima wamezaliwa mikoa ya pwani...yaani mtu wa kigoma mpaka ujr hapa Town ndo unajielewa ...

Kipaji hakijalishi ni Nan pwani ngumi Matumla, bakari mambea, mwakinyo na salum mtangi hawa wote wamepigana nje.. wanatokea ukanda wa Pwani.

Wasanii kama diamond ukanda wa Pwani wapo kibao na garasa mbwana samata wapo wachezaji kibao ..🤣🤣kunani cha ajabu mtu unatokea kweny mavumbo na ushamba
 
Back
Top Bottom