Ibra ruge chabenzi
New Member
- Aug 26, 2018
- 4
- 17
Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.
Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.
Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.
NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE
Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.
Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.
NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE