Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Tumia kwanza ulichonacho anzia level ya chini ujue changamoto.. ukishaizoea biashara ndipo utaamua ukope au uache.
Mimi ni Nafaka dealler.. Kuna ugumu sana katika kukusanya Mahindi na Ngano.. Taratibu za vijiji Sehemu nyingine hutoki na Mazao mkuu.
Mimi ni Nafaka dealler.. Kuna ugumu sana katika kukusanya Mahindi na Ngano.. Taratibu za vijiji Sehemu nyingine hutoki na Mazao mkuu.