Nachukua mkopo CRDB nianze biashara ya nafaka(mpunga na mahindi)

Nachukua mkopo CRDB nianze biashara ya nafaka(mpunga na mahindi)

Ukiwa na wazo au jambo lako lenye manufaa usiwashirikishe wabongo......jambo la kwanza kwa mbongo ni kukukatisha tamaa......atakupa kila ugumu WA jambo mpaka ughairi..........

Wabongo watu wa ajabu sana......

Hapo angesema anakopa aoe watu wangemuunga mkono........
Ndo hapo sasa, wangapi wanakopa kununua magari ofisini? Unakuta mtu hajawahi kufanya biashara Wala hajawahi kuchukua mkopo ila ndo anaongoza kwa ushauri
 
Hii biashara ni kama kamari flani yenye low risk, ukiwa mvumilivu unaweza kupata faida ila mambo sio rahisi kama unavyodhani, wakati gunia la mahindi sasa hivi likiuzwa 40k Kuna ambao wanayo ya mwaka jana walionunua 70k wakisubiri Bei ipande
Mie nilinunua Kwa elfu 90, hapa nasubiri niuze kama pumba tu hakuna namna. Mwaka juzi nilinunua Kwa elf 60 nikauza 140,000. Nikaona niongeze kiasi kumbe ndo naingia choo Cha kike.
 
Mkuu, nakushauri biashara zenye faida kubwa sana.

chukua mkopo milioni 10 Anza ujasiriamali wa kuuza bangi utapata pesa nyingi na faida nyingi Sana.

20240616_131729.jpg
 
Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.

Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.

Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.

NAJIONA NIKO SAH

Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.

Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.

Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.

NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJ
Hongera kwa maamuzi hayo ndugu. Naomba kwa uelewa wangu wa kawaida nishauri yafuatayo:
1. Fanya utafiti wa kina juu ya hiyo biashara kuhusu;
• Wapi mzigo unapatikana.
• Miezi gani mzigo unapatikana kwa wingi?
• Bei zake zikoje
• Gharama halisi za kuendeshea biashara zikoje mf. (Usafiri, wapakiaji, washushaji, ununuzi wa magunia ambayo hayaruhusu wadudu)
• Utahifadhi wapi na kwa gharama kiasi gani kwa kila gunia?
• Usalama wa mzigo ukoje?(dhidi ya wizi, majanga kama mafuriko, moto, wadudu nk) • Soko lako litakuwa ni lipi?
• Sera za nchi kwasasa zikoje uhusu biashara hiyo, je, zinatabirika?
• Ushuru na tozo mbalimbali za serikali zikoje?
• Profit Margin yake ikoje(Faida kutoa(minus) Gharama zote za kuendeshea biashara)
• Fuatilia sana taarifa za bei za soko la hiyo bidhaa kila siku kila mahali-Wilaya na Mikoa yote(Bei hupanda na kushuka kulingana na Demand vs Supply) ili zikusaidie kufanya maamuzi sahihi ni lini uuze au usiuze.

Pia, tembelea site ambako utatarajia kununua mzigo, fanya mahusiano na watu ambao wameshafanya hiyo biashara wakupe uzoefu(Hapa kuwa makini, wengi hupenda kusifia mafanikio, wewe jitahidi utafute taarifa kuhusu changamoto za biashara hiyo.

Kwa ufupi, tafuta upate knowledge yote kuanzia unaanzia unaponunua mzigo hadi utakapouuza.

2. Kama utachukua M.15, usiwekeze yote kwenye hiyo biashara, kama huna uzoefu nayo. Biashara huwa inakuwa na intervening factors nyingi ambazo kama huna uzoefu zinaweza kukutoa mchezoni ndani ya siku moja. Kwaajili hiyo, chukua angalau 35% tu ya mkopo wako ndio uiingize kwenye biashara, nyingine 65% uitunze mahali ambapo patakufanya usiifikie na kuitumia(Usiwe na haraka)

Baada ya kuusoma mchezo wa kwanza, na kama faida imepatikana, chukua kiasi kingine angalau 10% ya mkopo uongezee ili uongeze mzigo, fanya hivyo taratibu mpaka utakapokuwa umeridhika kwamba umeshapata uzoefu wa kutosha kwenye biashara hiyo. NOTE: Msimu wa kwanza utumie kama msimu wa kujifunzia(Hata hivyo, jitahidi kucontrol factors zote zinazoweza kuhatarisha biashara). Upo uwezekano wa kuingia msimu mmoja na ukapata faida msimu huo huo.

3. Baada ya hapo fanya diversification ya mtaji wako kwa kuwekeza maeneo mengine, epuka kuweka mayai yote kwenye chungu kimoja. Sera za nchi hasa kwenye upande wa mazao ya nafaka bado haziko stable, hivyo usiingize miguu yote, Kenya au Zambia wakifunga tu mipaka, bei ya nafaka huporomoka sana!

NB: Kama kuhifadhi fedha itakuwa changamoto, chukua mkopo mdogo ambao unaweza kuulipa ndani ya mwaka au miezi 6. Ukishapata uzoefu nenda tena kachukue yena( Benki hazizuii kukopa kidogo kidogo)

Asante!

Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.

Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.

Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.

NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE

Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.

Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.

Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.

NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE
 
Nadhani kwanza tafuta mtu au watu wenye uzoefu na hiyo biashara wakupe ABC kidogo, ninachoamini Mimi kama unaingia kwenye biashara usiyoijua vizuri utafeli vibaya, pata taarifa kuhusu biashara halafu ingia kazini. Kama ushapata ABC basi Kila kheri.
 
Basi aendelee kutegemea mshahara maisha yake yote alafu akija kustaafu aje kulilia kikotoo Cha serikali


Chukua mkopo calculate risk ya biashara yako, wekeza 40% kwanza huku ukisoma mchezo, Hio 60% una integrate taratibu kutokana na mwendo wa biashara, maisha haya bila uthubutu utasindikiza watu maisha yako yote
Ni maradufu kutegemea mshahara maisha yake yote ila hauna makato ya mkopo. Kuliko kukopa mkopo mkubwa wa muda mrefu kwa biashara ambayo kamwe hajawahi fanya.

Unakopa mkopo mrefu kwa biashara unayoijua, sio unafyatuka usingizini mtu anakwambia jilipue kopa anza.
 
Chukua mkopo kuendeleza biashara na sio kuanzisha biashara.
 
Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.

Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.

Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.

NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE
Born poor, Die rich
 
Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.

Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.

Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.

NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE
Chukua Mkopo wa milioni 16.5, 1.2 Ml itakuwa kama processing Fees, na laki mbili itakuwa kama Bima ya mkopo, 15 ml nahisi do utakayopokea cash, fanya biashara, kutegemea chanzo kimoja cha Mapato ni kujitia umasikini, na una staff huna kitu.

Kama una likizo ya June/July chukua milion 7, nenda Kahama nunua Mpunga Junia 80 - 100, saizi Junia ina Range 65,000 hadi 70,000.

Milioni 3 Fungua Biashara Moja Wakala yaani transaction au Fungua duka la Jumla la vinywaji vya Pombe au mgahawa wa kisasa.

Milioni 4.5 weka Fixed account au weka UTT, laki tano jipongezeee.

NB. Mayai yote hayawekwi kwenye Kapu moja utayapasua.

Panga mambo yako vizuri kabisa na usikulupuke kabla ya Kuchukua Mkopo. Pia mkuu usichukue Mkopo, mkopo ukakubadilisha ukaaza kuvimba, Chukua mkopo uwe kama hujachukua hela. Just relax.

Kila la Kheri, Kachukue CRDB
 
Chukua Mkopo wa milioni 16.5, 1.2 Ml itakuwa kama processing Fees, na laki mbili itakuwa kama Bima ya mkopo, 15 ml nahisi do utakayopokea cash, fanya biashara, kutegemea chanzo kimoja cha Mapato ni kujitia umasikini, na una staff huna kitu.

Kama una likizo ya June/July chukua milion 7, nenda Kahama nunua Mpunga Junia 80 - 100, saizi Junia ina Range 65,000 hadi 70,000.

Milioni 3 Fungua Biashara Moja Wakala yaani transaction au Fungua duka la Jumla la vinywaji vya Pombe au mgahawa wa kisasa.

Milioni 4.5 weka Fixed account au weka UTT, laki tano jipongezeee.

NB. Mayai yote hayawekwi kwenye Kapu moja utayapasua.

Panga mambo yako vizuri kabisa na usikulupuke kabla ya Kuchukua Mkopo. Pia mkuu usichukue Mkopo, mkopo ukakubadilisha ukaaza kuvimba, Chukua mkopo uwe kama hujachukua hela. Just relax.

Kila la Kheri, Kachukue CRDB
Ushauri mzuri
 
Chukua Mkopo wa milioni 16.5, 1.2 Ml itakuwa kama processing Fees, na laki mbili itakuwa kama Bima ya mkopo, 15 ml nahisi do utakayopokea cash, fanya biashara, kutegemea chanzo kimoja cha Mapato ni kujitia umasikini, na una staff huna kitu.

Kama una likizo ya June/July chukua milion 7, nenda Kahama nunua Mpunga Junia 80 - 100, saizi Junia ina Range 65,000 hadi 70,000.

Milioni 3 Fungua Biashara Moja Wakala yaani transaction au Fungua duka la Jumla la vinywaji vya Pombe au mgahawa wa kisasa.

Milioni 4.5 weka Fixed account au weka UTT, laki tano jipongezeee.

NB. Mayai yote hayawekwi kwenye Kapu moja utayapasua.

Panga mambo yako vizuri kabisa na usikulupuke kabla ya Kuchukua Mkopo. Pia mkuu usichukue Mkopo, mkopo ukakubadilisha ukaaza kuvimba, Chukua mkopo uwe kama hujachukua hela. Just relax.

Kila la Kheri, Kachukue CRDB
4.5m ukiweka UTT UNAPATA riba ya 0.5 Kwa mwezi Sawa na 6% Kwa mwaka.
Mkopo ulichukua unariba ya 12% Kwa mwezi Sawa na 144 Kwa mwaka. Huoni kama unampoteza Jamaa.
 
Angeanza na mtaji wake mdogo wa mfukoni(ajinyime kwa miezi kadhaa) kuliko kukopa. Akiijua biashara vizuri ndio akope.
Akishindwa kabisa, akope Ila sio pesa nyingi hivyo kwenye biashara yenye ugeni kwake.
Ataanza vipi sasa na atajifunza lini? Mi naamini kwenye falsafa ya kufeli ni Bora kuliko kutojaribu
 
Kama...kazi Yako Ina kuruhusu kuvuka mipaka ya nchi yetu bila kikwanzo... nitafute nikuelekeze jinsi ya kununua mzigo Dubai...!

 
Ataanza vipi sasa na atajifunza lini? Mi naamini kwenye falsafa ya kufeli ni Bora kuliko kutojaribu
Fanya saving kupitia mshahara kisha hiyo saving ingia nayo kwenye hiyo biashara unayotaka. Ukipata uzoefu na ukaona mambo yanaenda vizuri ndiyo uchukue mkopo kwaajili ya kuongeza nguvu.

Usianze biashara na pesa ya mkopo. Mkopo tumia kukuza biashara ambayo tayari una uzoefu nayo.
Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.

Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.

Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.

NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE
Fanya saving kupitia mshahara kisha hiyo saving ingia nayo kwenye hiyo biashara unayotaka. Ukipata uzoefu na ukaona mambo yanaenda vizuri ndiyo uchukue mkopo kwaajili ya kuongeza nguvu.

Usianze biashara na pesa ya mkopo. Mkopo tumia kukuza biashara ambayo tayari una uzoefu nayo.
 
Ukiwa na wazo au jambo lako lenye manufaa usiwashirikishe wabongo......jambo la kwanza kwa mbongo ni kukukatisha tamaa......atakupa kila ugumu WA jambo mpaka ughairi..........

Wabongo watu wa ajabu sana......

Hapo angesema anakopa aoe watu wangemuunga mkono........
Ameleta wazo la kibiashara kwa 100% mkopo, tunamueleza uhalisia kwamba ni biashara kichaa unaleta uswahili kwamba tunamuonea wivu sijui tunamkatisha tamaa.

Basi poa nawewe kopa hizo milioni 15, nunua mahindi weka store alafu baadae Samia ili kupata political mileage na uchaguzi unavyokuja 2025 apige marufuku kuuza nafaka nje, zibaki na bei ndogo mwanzo mwisho. Ukae na mahindi miezi sita hayajapanda bei na unakatwa marejesho kila mwezi. Bado gharama za kuhifadhi na risks involved.

Kisa ni wabongo unataka tuunge mkono wazo lolote hata kama ni upuuzi. Hata ukitaka kuoa mamba, tukubali tu kisa tusionekane na wivu. Aya kopa mlaze mahindi ndani tuwaone.
 
Back
Top Bottom