Mkuu kama anajua kuifanya hii biashara kwa usahihi.. Hiyo pesa atailipa na atapiga pesa nyingi sana zaidi ya hapo.Unakopaje milioni 15 kwa miaka 6? hizi ni akili au matope?
Hapo unarudisha sio chini ya milioni 28 sasa hiyo biashara itakuingizia zaidi ya milioni 28 na faida juu ndani ya hiyo miaka?
Hata hivyo kama huna mtaji sio lazima ufanye biashara.
Jikusanye mwenyewe upate hela uanze biashara utakayoimudu kwa hela uliyonayo ukishaifahamu na kuweza kuona mwelekeo ndo ukakope uongeze mtaji.
Sasa hivi hakuna mpungu gunia 40k, ni 60 na kwendelea, tena huo ni wakawaida tu, katani inaenda 70k hadi 90k.Hii biashara ni kama kamari flani yenye low risk, ukiwa mvumilivu unaweza kupata faida ila mambo sio rahisi kama unavyodhani, wakati gunia la mahindi sasa hivi likiuzwa 40k Kuna ambao wanayo ya mwaka jana walionunua 70k wakisubiri Bei ipande
Njoo tuwekeze kwenye mbao utanishukuru.Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.
Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.
Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.
NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE
Wewe mwanamke inaonekana una akili sana.Uzi ufungwe hapa.
Labda udanganye kwamba unaenda kujengea vinginevyo hakuna mtu atakupa Mkopo kuanzisha biashara Mpya unless unaendelezaWadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.
Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.
Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.
NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE
SIyo lazima uwe unaijua! Kama ashapata elimu kuhusu hiyo biashara? Watu wanaofanya hizi kazi wamejaa mtaani na huenda watu wameshampa mbinu zote.Ni maradufu kutegemea mshahara maisha yake yote ila hauna makato ya mkopo. Kuliko kukopa mkopo mkubwa wa muda mrefu kwa biashara ambayo kamwe hajawahi fanya.
Unakopa mkopo mrefu kwa biashara unayoijua, sio unafyatuka usingizini mtu anakwambia jilipue kopa anza.
Mkopo wa mtumishi hauna hizi mambo acha kudanganya.Labda udanganye kwamba unaenda kujengea vinginevyo hakuna mtu atakupa Mkopo kuanzisha biashara Mpya unless unaendeleza
Sikiliza moyo wako, mawazo ya watu yatakuyumbisha.Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.
Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.
Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.
NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE
Kabla ya kuchukua huo mkopo hakikisha biashara unaijua nje ndani, jifunze kwa kupitia sehemu Kama hizi kabla na sehemu zinginezo pia ulijue soko lako, jifunze na ujue hasara huwa Inapatikana vipi na faida inaapatikana vipi....kabla ya kumiliki biashara Anza kwanza kuiishi hio biashara kichwani.Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.
Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.
Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye mshahara.
NAJIONA NIKO SAHIHI,PLEASE KAMA KUNA MKOSOAJI ANISAIDIE