Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,963
- 4,027
Usimuite huyo nawewe vipi.
Alinisaliti nimempiga chini...
Asanteeee!Binti hauolewi na wakurya unaolewa na mpenzi wako.
Chunguza tabia za mpenzi wako individually, the rest is non of your business.
wa wapi?Nyambo
Wewe tabia zako zikojeNimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
1. Ukiendelea na tabia yako ya mafiga matatu atakugechaNimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
Huna usiri wewe hutawezana na mkuryaJamani mi nimeomba tu,niwafaham vizuri,Mimi sio malaya kama unavyofikiria
[emoji3][emoji3]kunywa maji.[emoji24][emoji24][emoji24]
mimi ni mkurya tabia yetu ni hii kitu tunachopenda ni ukweli na uaminifu na mtu mwenye maamuzi, kama una hisi hutaweza hapa bora uachane naye maana utaona hii dunia ni chungu kama hutafuata amri yake anayoitaka kwenye mji wakeNimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
[emoji3][emoji3]kunywa maji.
Ww ndio umeyataka.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji47]
Yani ndio umekuwa hivi?
Nalia kweli,nikupigie video call?Ww ndio umeyataka.
[emoji3][emoji3]Unajiliza uongo...
Nalia kweli,nikupigie video call?
Ww binti wa kikurya ulivyo kauzu. Nakujua huwezi lia[emoji849]
Mikate ya united......dizaini kama umeka bluebandMikate laini toka Kenya, aisee umenikumbusha mbali.
mama alikuwa anatoka nayo from mara to dar lkn bdo mkate upo freshMikate ya united......dizaini kama umeka blueband