Nachumbiwa na mtu wa Musoma

Mkuu karibu sana pande hizi,ila angalizo dharau kwa mmeo kwa namna yeyote ile makofi yatakuhusu,maneno meengi kama chiriku kwa mmeo mikwaju ya bakola itakuhusu,kushindwa kumtekelezea mmeo mahitaji muhimu kwa muda sitahiki,chakula,mgegedo,nk mikwaju pia itakuhusu,
Ila wakurya wanajari sana hasa kwa mwanamke anae tii,pia jiandae kukamua maziwa na kunywa maziwa ,karibu sana shemeji
 
Wewe tabia zako zikoje

tuambie ili tujue kama utaendana na watu wa jamii yetu.
 
1. Ukiendelea na tabia yako ya mafiga matatu atakugecha
2. Acha tabia ya umbea
3. Kuwa mnyenyekevu

Utafurahia sana ndoa ya mme wa Musoma
 
mimi ni mkurya tabia yetu ni hii kitu tunachopenda ni ukweli na uaminifu na mtu mwenye maamuzi, kama una hisi hutaweza hapa bora uachane naye maana utaona hii dunia ni chungu kama hutafuata amri yake anayoitaka kwenye mji wake
 
Mchungulie kaanza maana wengi wao hawakati ni mkono wa sweta
 
Ww binti wa kikurya ulivyo kauzu. Nakujua huwezi lia[emoji849]

Binti wa kikurya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hii idea ya lini kunipeleka kwa wakurya aseeπŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…