Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,963
- 4,027
Mkuu karibu sana pande hizi,ila angalizo dharau kwa mmeo kwa namna yeyote ile makofi yatakuhusu,maneno meengi kama chiriku kwa mmeo mikwaju ya bakola itakuhusu,kushindwa kumtekelezea mmeo mahitaji muhimu kwa muda sitahiki,chakula,mgegedo,nk mikwaju pia itakuhusu,
Ila wakurya wanajari sana hasa kwa mwanamke anae tii,pia jiandae kukamua maziwa na kunywa maziwa ,karibu sana shemeji
Ila wakurya wanajari sana hasa kwa mwanamke anae tii,pia jiandae kukamua maziwa na kunywa maziwa ,karibu sana shemeji