Olewa kabsa make sisi wakurya tukipenda tumependa hatunaga pigi sisi. Upendo upendo kweli ndoa ndoa kweli. Karibu tarime mjini uliyobakiwaNimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
Kile kinyesi kilichobaki katika utumbo wa ng'ombe, kinapikwa vzuri , kitamu sanaa na ugaliKichuri ndo nini
HongeraNimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
Wakurya Ni walewale hata awe mlokole lazima ampige mke wake.Binti hauolewi na wakurya unaolewa na mpenzi wako.
Chunguza tabia za mpenzi wako individually, the rest is non of your business.
hustahili kuolewa huku. una kiherehere. huku panahitaji utulivuNimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
mkurya mkono wa sweta? ,wewe unaota si bureMchungulie kaanza maana wengi wao hawakati ni mkono wa sweta