Inachonichekesha ni kwamba,nacte walianza mwezi wa tatu kwenye tar 18 hv kuruhusu watu wa aply,tcu wakaja baadae wakafanya yao wakamaliza na form six ni wengi sana kuliko diplomas,Nacte tunapelekwa 2 kama 2mepanda trekta,tcu wamepanda ki2 gani sijui maana hadi selection watu wa tcu wameziona