Mbwiga88
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 642
- 142
Inachonichekesha ni kwamba,nacte walianza mwezi wa tatu kwenye tar 18 hv kuruhusu watu wa aply,tcu wakaja baadae wakafanya yao wakamaliza na form six ni wengi sana kuliko diplomas,Nacte tunapelekwa 2 kama 2mepanda trekta,tcu wamepanda ki2 gani sijui maana hadi selection watu wa tcu wameziona
Kuwa na subira ndg yangu