mi hiki kituo hata huwa sikielewi, ni cha muda mrefu lakini huwa ubunifu ni zero!! wakati mwingine unakuwa unaangalia hizo picha utandhani unaangalia kupitia YouTube!! low quality, kwa majanga wanaanza tbc, kisha wao taarifa za habari zenyewe mmmm!!! hata clouds tv, nao wajipange sana kwenye upande wa tv ni kama nao walikurupuka tu,.
washaurini hao channel ten wana muda mrefu sana hawakomai kwa nini?
Wametoa taarifa kuwa vyuo vitatu vimefutwa na vingine 16 vimeshushwa daraja.Cha ajabu hawavitaji vyuo vyenyewe.kama habari hawakuipata yote si afadhali waiche hiyo habari kuliko kusema tu vya jijini Dar.mwenye habari atujuze jamani!
Nitafurahi nikikiona chuo cha wahindi St.joseph,wle jamaa hawana uoga kwenye nchi za watu.wanajisikia huru utadhani wapo kwao.
Habari wana bodi. Naangalia taarifa ya habari chanel ten kuna habari hapa kuwa kuna Vyuo vitatu vimefutiwa usahili na nacte na vyuo 16 vimeshushwa hadhi.Kwa bahati mbaya taarifa hii ya habari haijataja vyuo hivyo. Mwenye kujua majina ya vyuo hivyo atusaidie kuvitambua. Ukizingatia huu ndio muda wa maombi ya vyuo hivyo vijana wasije wakatapeliwa.
Nawasilisha.