Mr.samba de man
Member
- Sep 4, 2013
- 55
- 7
Hawa jamaa NACTE kwa kweli wangefanya kama TCU kuandika assurence za selection kuliko kunyamaza tu kama sasa wanatuweka Roho juu watu wa Equiualent, Maana profile zipo vile2 wameongeza muda mpaka kesho na sehem ya Uhitaji yaani Capacity mpaka kozi zingne wameweka mpaka Negative no kwa maana zimejaa.
Tuombe Mungu kupata ni Majaliwa.
Tuombe Mungu kupata ni Majaliwa.