Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
[quote uid=9900 name="Elli" post=15246464]Hivi mtu akikufuata akikuambia demu wako sie, utamsikiliza?[/QUOTE]We ukishauriwa uliemchagua umepotea utamsikiliza mtu?
Maisha yanabadilikaIfike mahari mjifunze kuacha kufatilia maisha ya watu jamani... Mtoto akililia wembe mpe akijikata basi atajifunza... Wameamua kupendana ni wao watafutiane kiki ni wao saa zingine ninyi mnaowafatilia ndo mnafanya wazidi kufanya mapya kwasababu mnawafatilia
Aisee ... Idris na wema asubuhi mchana jokate na alikiba usiku diamond mnalala alfajiri mnaamka na mosee iyobo na aunty jmn....tooooo much
Mkuu imeliwa na virus tuma tena tafadhaliMaisha yanabadilika
Wema alishafany tangazo na airtel wajameni kaah!!Eti Idriss maarufu !!!!!!!! ( wakati hata akikatiza mitaani hakuna anayehisi uwepo wake)
Eti na wema ni maarufu !!!!!!!! ( hakuna hata kampuni aliyoweza kuishawishi wamtumie kwenye biashara zao)
HyoMkuu imeliwa na virus tuma tena tafadhali
U mean thisIn 2006 Idriss Sultan was in grade 7 when Wema Sepetu was crowned miss Tanzania.
Ten years later, Idriss is expected to be a father to the unborn baby of wema sepetu
Vijana msikate tamaa 🙂
Mwaka 2004 kuna mtu alimwambia jamaa haya manenoAcha pesa itumike tu maana hamna namna nyingine
Kama hata wewe ungekuwa Idriss ungeacha K kama ile inajileta tu
Wema ndo alimuacha Mondi
Kwa Zari kafata nn?Ni kwa sababu Mondi alichoka kutumiwa akashituka na kukataa kutoa milioni 10 kila mara za kwenda kutunza wanaume jukwaani ili chatu mtu ajitangaze kwa wanaume wengine kuwa ana hela kupitia mgongo wa Mondi.
Angalau wewe umeonyesha jinsi wema alivyo na ushawishi sio wanaoniuliza defination.Wema alishafany tangazo na airtel wajameni kaah!!
...seriously,siku hizi unafeli sana kwenye reasoning!ivi wewe mtoa mada who are you hadi uhukumu?
umetumia kigezo gani kusema kwamba Wema ni mbaya amaa hafai?
wewe ndo uliye mzuri, na tabia njema na ambaye aliyekupata wewe hakauna anaye muonea huruma?
stop this nonsense.
Wema as any other woman needs to live her life, na akitoka na yyte yule hakuna wa kumuhukumu kwan so far ni maisha yake. kwan huyo idrissa ana usafi gani sana adi aonekane kwamba Wema ni shimo la mamba yeye amedumbukia?
no wonder unaona wivu just because hata mchepuko wako haujawa kukupa promo kama alopewa Idrissa na Wema.
let them live there life.
Af penda kuwapa wengine benefits of doubt. Hakuna mtu ambaye ni shetan na hakuna pia ambae ni malaika. Mtu akikosea pia anayo nafasi kurekebisha makosa yake kama unadhan kwamba WEMA ni mkosaj sana.
so kufaulu kwangu kungekua ni kukubali kwamba Wema ni mbaya na mkosaji kuliko wanawake wengine wote kiasi kwamba Idrissa hastahili kuwa nae? achen double standard na udhalilishaj kwa wanawake....seriously,siku hizi unafeli sana kwenye reasoning!
Itakua wewe Wema unamsoma kwenye magazeti ya pale She-gongo ni balozi wa kampuni ya Darling Hair.Eti Idriss maarufu !!!!!!!! ( wakati hata akikatiza mitaani hakuna anayehisi uwepo wake)
Eti na wema ni maarufu !!!!!!!! ( hakuna hata kampuni aliyoweza kuishawishi wamtumie kwenye biashara zao)
Halafu jamaa ujumbe amekuja kuutekeleza kinyume chake...hahahaaaa,ngoja tuone hili limuvi ila iddi atayakumbuka sana maneno ya braza apo juu.Mwaka 2004 kuna mtu alimwambia jamaa haya maneno
Kweli mwaka huu wa Ushindiwaache wenzio walee ujauzito wao kwa amani.
so far kila mtu mama yake alimchukua mimba hatiani. Ndio mana mwimba Zaburi alitufundisha jinsi ya kutubia