Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Hahaaaaaaa noma. Noma hahaaaaaSiyo kama Wema kajipeleka tu, yeye baada ya kuona Idriss kakabidhiwa hundi y amilioni 500 akaona atalamba bingo kwa jinga, kajipendekeza na jamaa kahisi anapendwa. Tusubiri bongo muvi ikichezwa hapa....wakazi wa huko anakoishi Wema wataanza kumiminika jalalani sasa hivi kutafuta picha za Idiss zilizofungwa hirizi. Jamani, muulizeni Domo....yalimkuta haya akachomoka. Mchana anahisi yuko na demu wake, usiku wakienda kulala alikuwa analala na chatu wa kimazingira.