Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Hahaaaaaaa noma. Noma hahaaaaaSiyo kama Wema kajipeleka tu, yeye baada ya kuona Idriss kakabidhiwa hundi y amilioni 500 akaona atalamba bingo kwa jinga, kajipendekeza na jamaa kahisi anapendwa. Tusubiri bongo muvi ikichezwa hapa....wakazi wa huko anakoishi Wema wataanza kumiminika jalalani sasa hivi kutafuta picha za Idiss zilizofungwa hirizi. Jamani, muulizeni Domo....yalimkuta haya akachomoka. Mchana anahisi yuko na demu wake, usiku wakienda kulala alikuwa analala na chatu wa kimazingira.
well wewe ndo umefaulu zaid kwa reasoning. Good boy...maadamu umerudia,acha na mimi itoshe tu kurudia:.,seriously,siku hizi unafeli sana kwenye reasoning!
...peace & love!
Word.....ivi wewe mtoa mada who are you hadi uhukumu?
umetumia kigezo gani kusema kwamba Wema ni mbaya amaa hafai?
wewe ndo uliye mzuri, na tabia njema na ambaye aliyekupata wewe hakauna anaye muonea huruma?
stop this nonsense.
Wema as any other woman needs to live her life, na akitoka na yyte yule hakuna wa kumuhukumu kwan so far ni maisha yake. kwan huyo idrissa ana usafi gani sana adi aonekane kwamba Wema ni shimo la mamba yeye amedumbukia?
no wonder unaona wivu just because hata mchepuko wako haujawa kukupa promo kama alopewa Idrissa na Wema.
let them live there life.
Af penda kuwapa wengine benefits of doubt. Hakuna mtu ambaye ni shetan na hakuna pia ambae ni malaika. Mtu akikosea pia anayo nafasi kurekebisha makosa yake kama unadhan kwamba WEMA ni mkosaj sana.
Wewe ndio mganga wa wema nini? Maana umeng'ang'ania kuhusu hirizi.Siyo kama Wema kajipeleka tu, yeye baada ya kuona Idriss kakabidhiwa hundi y amilioni 500 akaona atalamba bingo kwa jinga, kajipendekeza na jamaa kahisi anapendwa. Tusubiri bongo muvi ikichezwa hapa....wakazi wa huko anakoishi Wema wataanza kumiminika jalalani sasa hivi kutafuta picha za Idiss zilizofungwa hirizi. Jamani, muulizeni Domo....yalimkuta haya akachomoka. Mchana anahisi yuko na demu wake, usiku wakienda kulala alikuwa analala na chatu wa kimazingira.
Kwa Zari kafata nn?
Wewe ndio mganga wa wema nini? Maana umeng'ang'ania kuhusu hirizi.
Na mpaka kujua mambo ya chatu
Hebu tiririka tafadhali
WEMBE!!!!![emoji102] [emoji102]Mtoto akililia wembe mpe
kwa hiyo hapo nani asikate tamaa ? idris or wema, na nani unafirikiri ana hadhi kubwa kuliko mwenzakeIn 2006 Idriss Sultan was in grade 7 when Wema Sepetu was crowned miss Tanzania.
Ten years later, Idriss is expected to be a father to the unborn baby of wema sepetu
Vijana msikate tamaa 🙂
juzi alivyochukua tuzo akawa anamwinda, almanusura aahirishe kwenda belgiumMbwana samatta naomba utungoze mzungu Wa ubeligiji tuu uje nae manake idrissa akiachika wema anakuja kwako chap
[emoji41]
Mondi alipohojiwa alisema hajawahi kuachwa bali yy ndo anaacha, sijui nani mkweliWema ndo alimuacha Mondi
Usahihi 2014Mwaka 2004 kuna mtu alimwambia jamaa haya maneno
Nasikia anatoka na mzazi mwenzie Hamisa MobetoU
lulu sasa hivi anatembea na nani
Mmoja ndio analiwaAcheni watu wakulane....viungo si vya kwao
Una Maanisha Majizle 4 Shizle Manizle? Ina maana amesahau ya Seki,kanumba na komba?Nasikia anatoka na mzazi mwenzie Hamisa Mobeto
Ifike mahari mjifunze kuacha kufatilia maisha ya watu jamani... Mtoto akililia wembe mpe akijikata basi atajifunza... Wameamua kupendana ni wao watafutiane kiki ni wao saa zingine ninyi mnaowafatilia ndo mnafanya wazidi kufanya mapya kwasababu mnawafatilia
Aisee ... Idris na wema asubuhi mchana jokate na alikiba usiku diamond mnalala alfajiri mnaamka na mosee iyobo na aunty jmn....tooooo much