Nadhani 500Ml na umaarufu vimemchanganya Idris

Hahaaaaaaa noma. Noma hahaaaaa
 
...maadamu umerudia,acha na mimi itoshe tu kurudia:.,seriously,siku hizi unafeli sana kwenye reasoning!
...peace & love!
well wewe ndo umefaulu zaid kwa reasoning. Good boy
 
hapo tatizo zitakuwa hizo hela za Big Bro labda za mauzauza mbona yule rasta fale ( Richard ) naye alizichenchi mpaka zimeisha cha maana hakuna
kuhusu wema sijui bana mana mtu yeye mwenyewe hajali kesho yake atakushauri nini zaidi ya party
 
Word.....

Iuna binadamu wanapenda kujipa majukumu yasiyo yao

Kuhukumu watu...kisa wanawasoma kwenye magazeti ya shigongo nankuwaona instagram
 
Wewe ndio mganga wa wema nini? Maana umeng'ang'ania kuhusu hirizi.
Na mpaka kujua mambo ya chatu

Hebu tiririka tafadhali
 
Wewe ndio mganga wa wema nini? Maana umeng'ang'ania kuhusu hirizi.
Na mpaka kujua mambo ya chatu

Hebu tiririka tafadhali


Kaulize majirani zake wa zamani pale Kijitonyama, kwani ni siri....mbona yeye mwenyewe anajuwa na habishi kama anatumia mizizi mwitu.
 
In 2006 Idriss Sultan was in grade 7 when Wema Sepetu was crowned miss Tanzania.
Ten years later, Idriss is expected to be a father to the unborn baby of wema sepetu

Vijana msikate tamaa 🙂
kwa hiyo hapo nani asikate tamaa ? idris or wema, na nani unafirikiri ana hadhi kubwa kuliko mwenzake
 
Muacheni wema apumue jaman..to love and to be loved is one of the greatest happiness of life.
 
Acheni watu wakulane....viungo si vya kwao
 
kama mwanamke hujawahi kumlala unapata wapi ujasiri wa kumwita malaya au cha wote?
 


tuliza maku hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…