Naunga mkono hojaNadhani hii kero ya mtandao wa AIRTEL sio kwangu tu kuna wakati unanunua MB ufatilie habari unakutana na changamoto ya mtandao hadi MB zimeisha na huelewi zimeishaje maana taarifa uliyo unaifatilia kama ni video unakuta imeisha na umesikia kwa kukatika katika tu.
Maneno ya kuvutia biashara tu yaani yanakwaza sana una sajili line ukiwa na matarajio utapata Internet yenye kasi ya 4G kam ulivyo elekezwa na ilivyo andikwa kwenye line zao ajabu unakuja kukutana na Internet ya 3G unaeza piga mtu ile hasira inakujaNadhani hii kero ya mtandao wa AIRTEL sio kwangu tu kuna wakati unanunua MB ufatilie habari unakutana na changamoto ya mtandao hadi MB zimeisha na huelewi zimeishaje maana taarifa uliyo unaifatilia kama ni video unakuta imeisha na umesikia kwa kukatika katika tu.
Halotel nayo inategemeana na eneo4G chukua voda na Halotel....
huku vijijini ipo ya kutosha kusini mwa tzHalotel nayo inategemeana na eneo
🤣🤣🤣 unaanza kunyanyua mkono kucheki network hadi unatamani utupe simuManeno ya kuvutia biashara tu yaani yanakwaza sana una sajili line ukiwa na matarajio utapata Internet yenye kasi ya 4G kam ulivyo elekezwa na ilivyo andikwa kwenye line zao ajabu unakuja kukutana na Internet ya 3G unaeza piga mtu ile hasira inakuja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaanza kunyanyua mkono kucheki network hadi unatamani utupe simu
4G yao ni 2G y vodacomNadhani hii kero ya mtandao wa AIRTEL sio kwangu tu kuna wakati unanunua MB ufatilie habari unakutana na changamoto ya mtandao hadi MB zimeisha na huelewi zimeishaje maana taarifa uliyo unaifatilia kama ni video unakuta imeisha na umesikia kwa kukatika katika tu.
kuna kasi ya kuiba pesa siyo kasi ya mtandao wana adjust mitambo vitu vin zunguka tu,au na ww nifanyakazi mwenzao nn?Sawa, lakini hapa tunasemea kasi ya mtandao