Nadhani bora CHADEMA ikafia mikononi mwa Tundu lissu kuliko Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti

Nadhani bora CHADEMA ikafia mikononi mwa Tundu lissu kuliko Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Habari JF , ni miaki mingi na chaguzi nyingi zimepita lakini kiuhalisia CHADEMA hatujawahi kuwa serious na kuchukua dola zaidi ya wabunge na madiwani .

Binafsi nanishukuru Mwenyekiti Mbowe kwa mchango wake mkubwa katika chama ,lakini naona ni muda sahihi sana kwa yeye kuachia ngazi sababu wapenda mabadiliko hatumuelewi upinzani wake ni wa namna gani .

Natambua Tundu lissu akiingia madarakani hali ya kiuchumi ya Chama itayumba sababu hatapata support kutoka upande wa pili na wadhamini wengine .

lakini kuna faida gani kujiita wapinzani huku tunasadia mtawala kuendelea kutawala mbali na mapungufu aliyonayo ? Ndio maana naona ni bora chama kife huku tukiwa na tumaini jema
 
Habari JF , ni miaki mingi na chaguzi nyingi zimepita lakini kiuhalisia CHADEMA hatujawahi kuwa serious na kuchukua dola zaidi ya wabunge na madiwani .

Binafsi nanishukuru Mwenyekiti Mbowe kwa mchango wake mkubwa katika chama ,lakini naona ni muda sahihi sana kwa yeye kuachia ngazi sababu wapenda mabadiliko hatumuelewi upinzani wake ni wa namna gani .

Natambua Tundu lissu akiingia madarakani hali ya kiuchumi ya Chama itayumba sababu hatapata support kutoka upande wa pili na wadhamini wengine .

lakini kuna faida gani kujiita wapinzani huku tunasadia mtawala kuendelea kutawala mbali na mapungufu aliyonayo ? Ndio maana naona ni bora chama kife huku tukiwa na tumaini jema
Chadema itaimarika na kukomaa zaidi ikiwa kwa lissu kuliko mbowe, umma wa watanzania kwa sasa umepoteza Imani Sana na mbowe, wengi wanaamini mbowe anakitumia chadema kujinufaisha kibiashara
 
Chama ni mali ya mwenyekiti Mbowe subili afikishe miaka 68 ndo astaafu ,vinginevyo nguvu kubwa itatumika kumbakisha
 
Habari JF , ni miaki mingi na chaguzi nyingi zimepita lakini kiuhalisia CHADEMA hatujawahi kuwa serious na kuchukua dola zaidi ya wabunge na madiwani .

Binafsi nanishukuru Mwenyekiti Mbowe kwa mchango wake mkubwa katika chama ,lakini naona ni muda sahihi sana kwa yeye kuachia ngazi sababu wapenda mabadiliko hatumuelewi upinzani wake ni wa namna gani .

Natambua Tundu lissu akiingia madarakani hali ya kiuchumi ya Chama itayumba sababu hatapata support kutoka upande wa pili na wadhamini wengine .

lakini kuna faida gani kujiita wapinzani huku tunasadia mtawala kuendelea kutawala mbali na mapungufu aliyonayo ? Ndio maana naona ni bora chama kife huku tukiwa na tumaini jema
Bado hamjasema
 
Habari JF , ni miaki mingi na chaguzi nyingi zimepita lakini kiuhalisia CHADEMA hatujawahi kuwa serious na kuchukua dola zaidi ya wabunge na madiwani .

Binafsi nanishukuru Mwenyekiti Mbowe kwa mchango wake mkubwa katika chama ,lakini naona ni muda sahihi sana kwa yeye kuachia ngazi sababu wapenda mabadiliko hatumuelewi upinzani wake ni wa namna gani .

Natambua Tundu lissu akiingia madarakani hali ya kiuchumi ya Chama itayumba sababu hatapata support kutoka upande wa pili na wadhamini wengine .

lakini kuna faida gani kujiita wapinzani huku tunasadia mtawala kuendelea kutawala mbali na mapungufu aliyonayo ? Ndio maana naona ni bora chama kife huku tukiwa na tumaini jema
Chama kina ruzuku kubwa sn ikitumiwa vizuri mbona Wilayani itafika
 
Back
Top Bottom