Nadhani kabla ya kuwalaumu NHIF ni bora kuyajua na kujiuliza haya

Nadhani kabla ya kuwalaumu NHIF ni bora kuyajua na kujiuliza haya

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Habari JF , binafsi ni mnufaika wa mfuko wa Taifa wa bima NHIF niseme sijawahi jilaumu kwa kujiunga humu kulingana na michango na huduma nazo zipata .

Tumesikia mengi sana kuhusu NHIF na inawezekana kabisa kukawa na ubadhilifu kutoka kwa watumishi wa NHIF .
Tumesikia bila ushahidi kuwa Serikali huchukua pesa katika mfuko .

Mzigo wa matibabu wa Mgonjwa Sugu kama Sukari, shinikizo la damu ,Moyo , maumivu ya viungo hasa mgongo na n.k yamekuwa mwiba kwa NHIF

Lakini pia inawezekana kukawa kunakukopeshana baina ya watumishi kukiwa na Nia nzuri tu kuwajali watumishi,kuwajengea maisha mazuri ili wasiweze kushawishika kirahisi.

Yote haya yanaweza kuwa yanachangia au hayachangii katika Changamoto zinazojitokeza .

Nadhani tukiweza kujijibu maswali haya machache tunaweza pata picha kamili kwanini mfuko una changamoto na nini kifanyike .

>>Je ninachangia shilingi ngapi kila mwezi kulinganisha na wachangiaji wa mifuko mingine ambao huduma zao zinaonekana bora ?

>>Je nina utumia mfuko kwa matibabu inapo hitajika kweli ?

>>Je kuna namna yoyote nasharikiana na watoa huduma au mtoa huduma kuhujumu mfuko ?

Matibabu ni gharama sana ,ingawa mfuko unaendeshwa kwa kushare gharama kuna uwezekano tunachangia kidogo ,au tunahitaji huduma yenye ubora ambao kwa michango yetu haiwezi kidhi .

NB :-Mivutano tunayoiona NHIF na watoa huduma ni mivutano ambayo huwa haikwepeki kwa bima yoyote duniani hasa ikishakuwa na wateja wengi .​
 
Rejea ripoti ya CAG juu ya ubadhirifu na Ile donation zake kununulia hospital vifaa tiba na mikopo Chechefu kwa wafanyakazi wake halafu urudi hapa.
 
Habari JF , binafsi ni mnufaika wa mfuko wa Taifa wa bima NHIF niseme sijawahi jilaumu kwa kujiunga humu kulingana na michango na huduma nazo zipata .

Tumesikia mengi sana kuhusu NHIF na inawezekana kabisa kukawa na ubadhilifu kutoka kwa watumishi wa NHIF .
Tumesikia bila ushahidi kuwa Serikali huchukua pesa katika mfuko .

Mzigo wa matibabu wa Mgonjwa Sugu kama Sukari, shinikizo la damu ,Moyo , maumivu ya viungo hasa mgongo na n.k yamekuwa mwiba kwa NHIF

Lakini pia inawezekana kukawa kunakukopeshana baina ya watumishi kukiwa na Nia nzuri tu kuwajali watumishi,kuwajengea maisha mazuri ili wasiweze kushawishika kirahisi.

Yote haya yanaweza kuwa yanachangia au hayachangii katika Changamoto zinazojitokeza .

Nadhani tukiweza kujijibu maswali haya machache tunaweza pata picha kamili kwanini mfuko una changamoto na nini kifanyike .







Matibabu ni gharama sana ,ingawa mfuko unaendeshwa kwa kushare gharama kuna uwezekano tunachangia kidogo ,au tunahitaji huduma yenye ubora ambao kwa michango yetu haiwezi kidhi .

NB :-Mivutano tunayoiona NHIF na watoa huduma ni mivutano ambayo huwa haikwepeki kwa bima yoyote duniani hasa ikishakuwa na wateja wengi .​
Tujiikize tu pesa wanazokatwa watumishi waumma zinawakilishwa kwa wakati NHIF maana hao ndio watumiaji wakubwa nanwanaufaikaji wakubwa ? Tuanzie hapo kama haziendi kwa wakati tayari lazima kuwe na athari na wale wanufaika ambao ni executive automatically pamoja nakuwasilisha michango yao kwa wakati ila wanaathirika na huduma mana hata hayo ma hospital makubwa wao ndio wana access kubwa ya huduma based na vifurushi vyao ila hawa NHIF walishaonesha kuelemewa kwenye hizi executive kwakua zinaharama lakini wachangiaji wanatoa michango mikubwa toka kwa waajiri compared na hizo za watumishi wa umma
 
Tujiikize tu pesa wanazokatwa watumishi waumma zinawakilishwa kwa wakati NHIF maana hao ndio watumiaji wakubwa nanwanaufaikaji wakubwa ? Tuanzie hapo kama haziendi kwa wakati tayari lazima kuwe na athari na wale wanufaika ambao ni executive automatically pamoja nakuwasilisha michango yao kwa wakati ila wanaathirika na huduma mana hata hayo ma hospital makubwa wao ndio wana access kubwa ya huduma based na vifurushi vyao ila hawa NHIF walishaonesha kuelemewa kwenye hizi executive kwakua zinaharama lakini wachangiaji wanatoa michango mikubwa toka kwa waajiri compared na hizo za watumishi wa umma
Uko sahihi
 
IMG-20240813-WA0023.jpg
 
Hata hizo hospital zinaipiga sana NHIF, matibabi ya elfu 50 wanaandika laki 2 Kwa nn mfuko usifilisike??
 
Hata hizo hospital zinaipiga sana NHIF, matibabi ya elfu 50 wanaandika laki 2 Kwa nn mfuko usifilisike??
NHIF ni tatizo kubwa.Taasisi ikishakuwa na madaktari wengi tu kama viongozi,lazima ifeli.Madaktari ni watu wa double standard. Wako tayari kumdhibidi mtumishi wa kada isiyo ya udaktari hata kwa makombora wakiweza kwa kosa la dogo sana lakini daktari mwenzao akighushi mabilioni,hakuna anayethubutu hata kumyooshea kidole.
Hawa madaktari waachwe wabaki kutibu tu
 
NHIF ni tatizo kubwa.Taasisi ikishakuwa na madaktari wengi tu kama viongozi,lazima ifeli.Madaktari ni watu wa double standard. Wako tayari kumdhibidi mtumishi wa kada isiyo ya udaktari hata kwa makombora wakiweza kwa kosa la dogo sana lakini daktari mwenzao akighushi mabilioni,hakuna anayethubutu hata kumyooshea kidole.
Hawa madaktari waachwe wabaki kutibu tu
Sijui nimesoma haraka mno, sijaelewa kabisa pamoja na kurudia ×5
 
Back
Top Bottom