Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yao waachieni wenyewe...
Nimeona kasi ya vizinga vya mabinti imeongezeka ghafla. Yani hata January haijafika, nikashangaa, kuna nini tena?Wamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.
Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo.
Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu.
Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.
Tuanze kutafuta dawa
Muwe na siku njema, niko tayari kuzipokea comments, sasa hivi tuko iPhone 16.
Hatari sanaNimeona kasi ya vizinga vya mabinti imeongezeka ghafla. Yani hata January haijafika, nikashangaa, kuna nini tena?
Kumbe luna iPhone mpya 8met9ka
Wee sio wamama wote tafadhali,mmama mimi naona za wanaopenda ku-fake maishaSamsung unyama iphone za wamama na mashoga kwanza iphone ni series zitafika mbaka iphone 100000
Hatari sanaNimeona kasi ya vizinga vya mabinti imeongezeka ghafla. Yani hata January haijafika, nikashangaa, kuna nini tena?
Kumbe kuna iPhone mpya imetoka!