inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Natumia Nokia, najua ni og maana siku hizi haiimbwi sana hivyo haipigwi kopiUkiona unaathirika na majivuno ya mtu mwenye iPhone ujue una tatizo la saikolojia, nowdays simu zipo Kali tena zenye rank zaidi ya iPhone mkuu