Nadhani kumiliki iPhone ni utumwa na tunakoelekea utakuwa ni ugonjwa

Nadhani kumiliki iPhone ni utumwa na tunakoelekea utakuwa ni ugonjwa

Wamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.

Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo.

Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu.

Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.

Tuanze kutafuta dawa

Muwe na siku njema, niko tayari kuzipokea comments, sasa hivi tuko iPhone 16.




we call it iPhone disease
 
Ukiona unaathirika na majivuno ya mtu mwenye iPhone ujue una tatizo la saikolojia, nowdays simu zipo Kali tena zenye rank zaidi ya iPhone mkuu
Ni kweli mkuu, mfano Huawei ni simu moja nzuri sana, angalia jana nao wamezindua simu mpya inayokunjika mara tatu, pia inatumia akili mnemba (AI), na unaweza kuipata kwa $2,800, 🙌🏽
 
Wamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.

Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo.

Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu.

Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.

Tuanze kutafuta dawa

Muwe na siku njema, niko tayari kuzipokea comments, sasa hivi tuko iPhone 16.




Nipo na iPhone 6s na hakuna ninachokosa kwenye mawasiliano. Ukishajua michezo ya ulimwengu huu raha sana!
 
Simu yenyewe mtu unakuta anaitumia kwa asilimia 30 tu ya inavyotakiwa kutumia lkn anakomaa mpka awe nayo atakwambia security issue ilhali hana cha maana chochote ambacho ni confidential kwamba amekitunza humo

Akili za jumla zinasumbua sana ukiwa unazitumia tena hyo 16 wayauzie milioni 9 hayo mateja yao
 
Simu yenyewe mtu unakuta anaitumia kwa asilimia 30 tu ya inavyotakiwa kutumia lkn anakomaa mpka awe nayo atakwambia security issue ilhali hana cha maana chochote ambacho ni confidential kwamba amekitunza humo

Akili za jumla zinasumbua sana ukiwa unazitumia tena hyo 16 wayauzie milioni 9 hayo mateja yao
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom