Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
- #61
Acheni mawazo potofuMara macho matatu, mara pro max mwisho wa siku vijana hawana marinda tena.
Kukimbizana na matoleo ya simu ni ugonjwa😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni mawazo potofuMara macho matatu, mara pro max mwisho wa siku vijana hawana marinda tena.
Kukimbizana na matoleo ya simu ni ugonjwa😒
Lakini si mnapigwa hela pia ?Tujiandae kula kirahisi naskia iPhone 16 imetoka
Wengine kitu kikishakuwa kinamilikiwa na kila Mtu (maarufu) basi hutupati huko kivyovyote maana huwa tunapenda upekee, ni heri ninunue simu brand isiyojulikana kabisa.Products za kampuni ya Apple ni nzuri sana kuanzia Mac, iPhone, Apple Watch nasema hivyo sababu mimi nimtumiaji wa vifaa vya Apple.
Watu na bahati zao...ðŸ¤bila legend na mpenda iPhone Depal kusema jambo, moyo wangu hautoridhika kwa kweli..!!
Uzi ufungweKama unamudu, nunua.
Kama haumudu, usinunue.
Ni rahisi tu.
Kama nawaona mapapa wala nnya AKA wazee wa migodi wakichekelea, haya majamaa yanawahonga iphone hao ila menyewe yanatumia samsung au huawei.Mwezi wa nnya za watu kutumika iPhone 16 imetoka..
Mbona s20 zipo size ya iphone tu, acha ushamba hujatumia samsung ww, au unadhan kila samsung ni Note, note series ndio pana ila s series zinakua average tuSamsung wananikera simu zao ni kubwa sana kama mkebe labda zile fold ndio kali, watoe ndogo ndio maana nataka kuchua Google pixel 8 Pro ...Pixel six sikuipenda shape mbaya angalau pixel 3 mpaka 5 .
Siwezi kutumia S20 kiufupi samsung hawana simu zenye muonekano mzuri waige kwa Apple ..Simu kama sabauni labda mshamba kama wewe ndio unaweza kutembea nayo mfukoniMbona s20 zipo size ya iphone tu, acha ushamba hujatumia samsung ww, au unadhan kila samsung ni Note, note series ndio pana ila s series zinakua average tu
Mtu anamiliki iphone halafu anagongea vocha ya buku.Wamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.
Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo.
Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu.
Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.
Tuanze kutafuta dawa
Muwe na siku njema, niko tayari kuzipokea comments, sasa hivi tuko iPhone 16.
Iphone x au?Mtu anamiliki iphone halafu anagongea vocha ya buku.
Wewe itakua jeba maana majeba ndio hua mnapenda sana visimu vidogo sababu nyie ni wafupi mbona simu kubwa ni unyama sanaSiwezi kutumia S20 kiufupi samsung hawana simu zenye muonekano mzuri waige kwa Apple ..Simu kama sabauni labda mshamba kama wewe ndio unaweza kutembea nayo mfukoni
Kwani kuwa na iPhone ndio utajiri kumbe!!😂😂😂Maneno ya mkosaji.
UMASKINI.
IPHONE NDO SIMU.
zingine calculators