Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Mkuu redmi note 13 kwa kiasi chake kamera inaridhisha?Kali mno just like REDMI NOTE 15...balaa Sana
Au huna uzoefu nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu redmi note 13 kwa kiasi chake kamera inaridhisha?Kali mno just like REDMI NOTE 15...balaa Sana
Eb nione picha yako ulopiga Kwa kutumia Google pixelKwa mie mpendwa picha , Google pixel 🙌🙌
Sio mchezo ... though napenda Samsung 😄
Vipi kuhusu Tecno?💡
According to reports, the iPhone lasts 4-10 years, followed by Samsung units, which can last 3-6 years. Huawei and Xiaomi units have an average lifespan of 2-4 years, while OPPO units have 2-3 years.
Sasa Miaka 10 simu hiyo hiyo amekuwa mke ?💡
According to reports, the iPhone lasts 4-10 years, followed by Samsung units, which can last 3-6 years. Huawei and Xiaomi units have an average lifespan of 2-4 years, while OPPO units have 2-3 years.
Za nini zote hizi?Tafuta pesa kijana.
Mimi nina simu 2, iPhone 14 ProMax na Samsung S23 Ultra.
Mimi nilifanikiwa kukemea na kuachana nazo mpk leo,ilikuwa 7 nadhaniMimi nlishawahi miliki ila ilinipa shida sana kuachana nayo ni kama kaugonjwa fulani hivi hela sina ila niko napambana kupata iPhone nyingine nikaona ujinga
Hakika,binafsi pia hii ilikua kero kubwaWaaai iPhone iko kinyume nyume sana 😂😂😂😂
Kuitumia yenyewe ni tafrani 😂😂
Umejuaje ?Umejuaje wakati we huna?
🤣🤣🤣Eb nione picha yako ulopiga Kwa kutumia Google pixel
Ni shida sanaMimi nilifanikiwa kukemea na kuachana nazo mpk leo,ilikuwa 7 nadhani
Hakika,binafsi pia hii ilikua kero kubwa
Kwa hiyo na hii one plus 8 pro yangu ni calculator kumbeManeno ya mkosaji.
UMASKINI.
IPHONE NDO SIMU.
zingine calculators
Tujiandae kula kirahisi naskia iPhone 16 imetokaMara macho matatu, mara pro max mwisho wa siku vijana hawana marinda tena.
Kukimbizana na matoleo ya simu ni ugonjwa😒
Hii haikuwa maana ya kuanzisha hii madaWadada kaeni mkao wa kuliwa mizigo yenu,
Waajiriwa nawaona mnavyofanya mipango ya kukopa hela mkanunue simu.