Potelea mbaliLakini si mnapigwa hela pia ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Potelea mbaliLakini si mnapigwa hela pia ?
Huyu jamaa kiboko
IDs fake zinafanya kila mtu awe na maisha ya kifahari, mjuaji , msomi, ana umri mkubwa na sio hohehahe. Mimi binafsi natumia iphone 6 plain sijajua kwanini nalipenda sana toleo hili na ni kipindi kirefu tu hata nikibadilisha huwa nanunua tena ya aina hii hii yaani iphone 6 plain.Tafuta pesa kijana.
Mimi nina simu 2, iPhone 14 ProMax na Samsung S23 Ultra.
Wewe ni binti wa mwaka gani ?Siwezi kutumia S20 kiufupi samsung hawana simu zenye muonekano mzuri waige kwa Apple ..Simu kama sabauni labda mshamba kama wewe ndio unaweza kutembea nayo mfukoni
Simu gani sio series ?Samsung unyama iphone za wamama na mashoga kwanza iphone ni series zitafika mbaka iphone 100000
Mimi nlinunua i phone X 2018 kipindi imetoka natumia mpaka leo sina mpango wa kubadili mpaka siku itakapoharibikaWamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.
Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo.
Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu.
Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.
Tuanze kutafuta dawa
Muwe na siku njema, niko tayari kuzipokea comments, sasa hivi tuko iPhone 16.
Mwanaume unaogopaje simu kubwa , mwanaume ni aidha uwe na simu ya button au Sumsung , I phone achia watoto wakike wagombanieSiwezi kutumia S20 kiufupi samsung hawana simu zenye muonekano mzuri waige kwa Apple ..Simu kama sabauni labda mshamba kama wewe ndio unaweza kutembea nayo mfukoni
Naomba uzoefu wa Gpixel, sijawahi kuvutiwa na Samsung, nilifikiri Oneplus ila mnyonge mie bei zake ziko juu, otherwise labda Sony.Kwa mie mpendwa picha , Google pixel 🙌🙌
Sio mchezo ... though napenda Samsung 😄
Hiii simu inawapeleka watu less sanaWamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.
Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo.
Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu.
Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.
Tuanze kutafuta dawa
Muwe na siku njema, niko tayari kuzipokea comments, sasa hivi tuko iPhone 16.
Kwanza iPhone wanazoletewa huku bongo quality tofauti Na za huko nje😂 jidanganyeni hivyo hivyo
Tajiri hakuna simu nimenunua kwa hela yangu inazidi 500,000/-. Hizi simu za mamilioni naona kwa watu na mitandaoni tu. Vijana kazi wanayo.
Sio mpenz wa samsung huyoMbona s20 zipo size ya iphone tu, acha ushamba hujatumia samsung ww, au unadhan kila samsung ni Note, note series ndio pana ila s series zinakua average tu
Babu mbona umepanic?....amekupiga kwenye mshono!!?...daadeki!...sasa hv washamba woote wanazo!Maneno ya mkosaji.
UMASKINI.
IPHONE NDO SIMU.
zingine calculators
Kwakweli😄Watajua wenyewe
Ka kuna kitu cha maana wanaongeza🤣🤣🤣Vile Apple wanacheza na akili za iPhone users
View attachment 3093186