Nadhani kumiliki iPhone ni utumwa na tunakoelekea utakuwa ni ugonjwa

Nimeona kasi ya vizinga vya mabinti imeongezeka ghafla. Yani hata January haijafika, nikashangaa, kuna nini tena?

Kumbe kuna iPhone mpya imetoka!
 
Acha kupangiana matumizi
Kila mtu ana chaguo lake

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…