Nadhani kuna haja ya kuwa na Chama cha kutetea haki za wanaume

Nadhani kuna haja ya kuwa na Chama cha kutetea haki za wanaume

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Kwa hali ilivyo wanaume tutaendelea kuondoka mapema sana , tunaumia ndani na kufa kimya kimya huku wenzetu wanatetewa kila mahali

Ukatili na unyanyasaji upo sana dhidi ya wanaume

Kiwepo chama imara cha kulinda haki za wanaume

Nawasilisha​
 
Back
Top Bottom