mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Wamemwekea vikwazo lukuki wakiamini kuwa uchumi wa urusi utakufa ghafla, kinyume chake uchumi wa nchi zao ndio unaoanguka!! Usicheze na nchi yenye maliasili zinazohitajika kwa lazima kwa maisha ya kiila siku: mafuta na gesi!!! Usicheze na nchi inayojitegemea na kutegemewa kwa chakula!! Hapo ndipo urusi ilipozikamatia pabaya nchi za kibeberu!!
Ukigomea mafuta na gesi yake wengine wengi tu wanachukua na wewe bei inakuwa juu kwa kupungukiwa na bidhaa hiyo muhimu!! Wanaumiza kichwa: Tumfanyeje PUTIN? kumpindua hatuwezi! tukimtenga wengine wanamkimbilia!! Tumsapoti Ukraine kwa silaha ndo kwanza anahalalisha majimbo manne kuwa sehemu ya urusi!! Kuyakomboa ni kuingia vitani na urusi!!
Ni nani mwenye ubavu huo-hakuna!! Tuifundishe ukraine kufanya ugaidi ndani ya urusi kama kushambulia daraja la crimea kwa mbinu za kigaidi: hapo sasa ndo kwanza umechezea sharubu za Putin, ametembeza kichapo cha masaa kadhaa ambacho hajawahi kukitoa tangu vita vianze na kuna kilio kote kwenye ulimwengu wa magharibi!.
Sasa USA wamesema watapeleka mitambo ya ulinzi wa anga lakini urusi ana supersonic missiles zinazopenya kwenye ulinzi wowote wa anga!! Asikudanganye mtu, Katikati ya jiji la kiev kulikuwa kunalindwa na hiyo mitambo ya ulinzi wa anga lakini pamechakazwa usipime!! Tumfanyeje PUTIN? Mimi niwape jibu, ni rahisi sana!!
Acha kupeleka silaha ukraine na hapo Ukraine haitakuwa na ubavu wa kuendeleza kiburi na vita vitakomea hapo!! Ila kuhusu yale majimbo manne yaliyojiunga na Urusi, hiyo ni hasara ya ukraine ya milele!!
Kingine Ukraine itabaki ikiugulia na madeni hadi mwisho wa dunia!!
Ukigomea mafuta na gesi yake wengine wengi tu wanachukua na wewe bei inakuwa juu kwa kupungukiwa na bidhaa hiyo muhimu!! Wanaumiza kichwa: Tumfanyeje PUTIN? kumpindua hatuwezi! tukimtenga wengine wanamkimbilia!! Tumsapoti Ukraine kwa silaha ndo kwanza anahalalisha majimbo manne kuwa sehemu ya urusi!! Kuyakomboa ni kuingia vitani na urusi!!
Ni nani mwenye ubavu huo-hakuna!! Tuifundishe ukraine kufanya ugaidi ndani ya urusi kama kushambulia daraja la crimea kwa mbinu za kigaidi: hapo sasa ndo kwanza umechezea sharubu za Putin, ametembeza kichapo cha masaa kadhaa ambacho hajawahi kukitoa tangu vita vianze na kuna kilio kote kwenye ulimwengu wa magharibi!.
Sasa USA wamesema watapeleka mitambo ya ulinzi wa anga lakini urusi ana supersonic missiles zinazopenya kwenye ulinzi wowote wa anga!! Asikudanganye mtu, Katikati ya jiji la kiev kulikuwa kunalindwa na hiyo mitambo ya ulinzi wa anga lakini pamechakazwa usipime!! Tumfanyeje PUTIN? Mimi niwape jibu, ni rahisi sana!!
Acha kupeleka silaha ukraine na hapo Ukraine haitakuwa na ubavu wa kuendeleza kiburi na vita vitakomea hapo!! Ila kuhusu yale majimbo manne yaliyojiunga na Urusi, hiyo ni hasara ya ukraine ya milele!!
Kingine Ukraine itabaki ikiugulia na madeni hadi mwisho wa dunia!!