Nadhani mabeberu wa nchi za Magharibi wanaelekea kulielewa somo sasa: Chezea kingine ila siyo sharubu za Putin

Nadhani mabeberu wa nchi za Magharibi wanaelekea kulielewa somo sasa: Chezea kingine ila siyo sharubu za Putin

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Wamemwekea vikwazo lukuki wakiamini kuwa uchumi wa urusi utakufa ghafla, kinyume chake uchumi wa nchi zao ndio unaoanguka!! Usicheze na nchi yenye maliasili zinazohitajika kwa lazima kwa maisha ya kiila siku: mafuta na gesi!!! Usicheze na nchi inayojitegemea na kutegemewa kwa chakula!! Hapo ndipo urusi ilipozikamatia pabaya nchi za kibeberu!!

Ukigomea mafuta na gesi yake wengine wengi tu wanachukua na wewe bei inakuwa juu kwa kupungukiwa na bidhaa hiyo muhimu!! Wanaumiza kichwa: Tumfanyeje PUTIN? kumpindua hatuwezi! tukimtenga wengine wanamkimbilia!! Tumsapoti Ukraine kwa silaha ndo kwanza anahalalisha majimbo manne kuwa sehemu ya urusi!! Kuyakomboa ni kuingia vitani na urusi!!

Ni nani mwenye ubavu huo-hakuna!! Tuifundishe ukraine kufanya ugaidi ndani ya urusi kama kushambulia daraja la crimea kwa mbinu za kigaidi: hapo sasa ndo kwanza umechezea sharubu za Putin, ametembeza kichapo cha masaa kadhaa ambacho hajawahi kukitoa tangu vita vianze na kuna kilio kote kwenye ulimwengu wa magharibi!.

Sasa USA wamesema watapeleka mitambo ya ulinzi wa anga lakini urusi ana supersonic missiles zinazopenya kwenye ulinzi wowote wa anga!! Asikudanganye mtu, Katikati ya jiji la kiev kulikuwa kunalindwa na hiyo mitambo ya ulinzi wa anga lakini pamechakazwa usipime!! Tumfanyeje PUTIN? Mimi niwape jibu, ni rahisi sana!!

Acha kupeleka silaha ukraine na hapo Ukraine haitakuwa na ubavu wa kuendeleza kiburi na vita vitakomea hapo!! Ila kuhusu yale majimbo manne yaliyojiunga na Urusi, hiyo ni hasara ya ukraine ya milele!!

Kingine Ukraine itabaki ikiugulia na madeni hadi mwisho wa dunia!!
 
Naona unashabikia kitendo cha nchi moja kutaka kuwa na umiliki wa maamuzi ya nchi nyingine. Yani Ukraine achaguliwe marafiki na namna ya kuishi.

Pia unashabikia nchi moja kujimegea maeneo ya nchi nyingine na kujimilikisha kwa kisingizio cha referendum uchwara ambayo anaepiga kura ni mateka huku akiwa amesimiwa na mtutu wa bunduki

Pia unashabikia nchi moja kufanya uvamizi usio halali na kuingia nchi nyingine kwa vifaru mabom kisha kuua Raia(mauaji ya halaiki??), kuharibu mifumo ya nishati, kulipua majengo na kila aina ya uharibifu.

Pia unashabikia wavamizi wanaoangamiza taifa jingine kwa sababu za kijinga kabisa.

Ukraine ana haki ya kujilinda na aina yoyote ya uvamizi, uporaji na kila aina ya tukio linalohatarisha uwepo wake katika ramani ya Dunia.

What goes around comes around. Fikiria sisi kama nchi tufanyiwe anachofanyiwa Ukrane na Nchi jirani kwa muktadha wa kulinda usalama wake kisa sisi kuwa na urafiki na nchi flan tunahatarisha usalama wake.

Naamini ungefurahia vilevile.
 
Kwa bahati mbaya sana unafuatilia matukio kuanzia february 2022 wakati urusi ilipoivamia ukraine!! Hebu jipe muda ufuatilie mgogoro huu toka 2014 wakati nchi za magharibi zilipochochea machafuko na maandamano yaliyosababisha rais halali aliyechaguliwa na wananchi kupinduliwa!! Fuatilia jinsi wananchi wa ukraine mashariki wenye asili ya uruisi walivyonyanyaswa na kuuawa!!

Fuatilia jinsi raia zaidi ya 8000 wa ukraine mashariki walivyouliwa kwa mabomu na ukraine!! Fuatilia jinsi ambavyo ukraine ilikuwa inaandaliwa kwa vita na nchi za magharibi toka 2014!! Kwa bahati mbaya huyajui yote haya!! Fuatilia jinsi Zelensky alivyoahidi kushughulikia mgogoro wa ukraine mashariki kwa kutekeleza makubaliano ya minsky wakati anapiga kampeni ya urais!! Alipopata urais akawageuka na kugoma kutekeleza makubaliano ya minsky!! Usiangalie kinachotokea leo, fuatilia chimbuko lake!

Mimi nasema Zelensky ameyataka mwenyewe!! ameingizwa mkenge na mabeberu na kwa sasa anatumika kwa mambo mawili: 1. Ukraine imegeuzwa kuwa soko la silaha za magharibi. Silaha anazopewa siyo bure bali ni mkopo wenye riba!! Kwa miaka mingi ijayo ukraine itakuwa inafanya kazi ya kulipa madeni! 2. Damu ya wa-ukraine inamwagika kwa mabeberu kuwatumia ili kupigana na adui yao urusi!! Wenyewe nchi za magharibi hawawezi kuthubutu kupigana kwa mikono na damu yao ana kwa ana na urusi!!
 
Naona unashabikia kitendo cha nchi moja kutaka kuwa na umiliki wa maamuzi ya nchi nyingine. Yani Ukraine achaguliwe marafiki na namna ya kuishi...
Hivi hujawaona ukraine walivyofurahia ugaidi wa kujaribu kuharibu daraja la crimea!! Kinachoendelea ni matokeo ya furaha yao hiyo!! Nina uhakika kuanzia sasa watawaza mara mbili mbili kabla ya kufanya ugaidi!!
 
Mabeberu ni kina nani?

Mara ya pili hii naliona hilo neno, ndani ya muda mfupi sana!

Hivi mnaelewa kweli maana ya huo msamiati? Ama mnautumia[ga] tu ili mradi kuchangamsha kijiwe?
 
Wamemwekea vikwazo lukuki wakiamini kuwa uchumi wa urusi utakufa ghafla, kinyume chake uchumi wa nchi zao ndio unaoanguka!! Usicheze na nchi yenye maliasili zinazohitajika kwa lazima kwa maisha ya kiila siku: mafuta na gesi!!! Usicheze na nchi inayojitegemea na kutegemewa kwa chakula!! Hapo ndipo urusi ilipozikamatia pabaya nchi za kibeberu!!

Ukigomea mafuta na gesi yake wengine wengi tu wanachukua na wewe bei inakuwa juu kwa kupungukiwa na bidhaa hiyo muhimu!! Wanaumiza kichwa: Tumfanyeje PUTIN? kumpindua hatuwezi! tukimtenga wengine wanamkimbilia!! Tumsapoti Ukraine kwa silaha ndo kwanza anahalalisha majimbo manne kuwa sehemu ya urusi!! Kuyakomboa ni kuingia vitani na urusi!!

Ni nani mwenye ubavu huo-hakuna!! Tuifundishe ukraine kufanya ugaidi ndani ya urusi kama kushambulia daraja la crimea kwa mbinu za kigaidi: hapo sasa ndo kwanza umechezea sharubu za Putin, ametembeza kichapo cha masaa kadhaa ambacho hajawahi kukitoa tangu vita vianze na kuna kilio kote kwenye ulimwengu wa magharibi!.

Sasa USA wamesema watapeleka mitambo ya ulinzi wa anga lakini urusi ana supersonic missiles zinazopenya kwenye ulinzi wowote wa anga!! Asikudanganye mtu, Katikati ya jiji la kiev kulikuwa kunalindwa na hiyo mitambo ya ulinzi wa anga lakini pamechakazwa usipime!! Tumfanyeje PUTIN? Mimi niwape jibu, ni rahisi sana!!

Acha kupeleka silaha ukraine na hapo Ukraine haitakuwa na ubavu wa kuendeleza kiburi na vita vitakomea hapo!! Ila kuhusu yale majimbo manne yaliyojiunga na Urusi, hiyo ni hasara ya ukraine ya milele!!

Kingine Ukraine itabaki ikiugulia na madeni hadi mwisho wa dunia!!
Hapa kwanza mjinga zaidi ya wote ni Beberu mkuu Amerika,wanafuata wale wa ulaya,wakikubali kuacha ujinga wao vita hakuna na amani inarejea🥱
 
Sijapata kuona kiongozi mpumbavu kama raisi wa Ukraine!

Kwanza ni mbinafsi na hana huruma na raia wake! Hana talanta ya uongozi!
Nakubaliana na wewe huyu Zelenesk hayuko sawa na ndio sababu US akamuweka pale ili amtumie, leo Germany chancellor analia kuwa hawana uwezo wa kununua oil na gas bei ipo ju sana yani ni kilio tupu. Weldone PUTIN.
 
Naona unashabikia kitendo cha nchi moja kutaka kuwa na umiliki wa maamuzi ya nchi nyingine. Yani Ukraine achaguliwe marafiki na namna ya kuishi.

Pia unashabikia nchi moja kujimegea maeneo ya nchi nyingine na kujimilikisha kwa kisingizio cha referendum uchwara ambayo anaepiga kura ni mateka huku akiwa amesimiwa na mtutu wa bunduki

Pia unashabikia nchi moja kufanya uvamizi usio halali na kuingia nchi nyingine kwa vifaru mabom kisha kuua Raia(mauaji ya halaiki??), kuharibu mifumo ya nishati, kulipua majengo na kila aina ya uharibifu.

Pia unashabikia wavamizi wanaoangamiza taifa jingine kwa sababu za kijinga kabisa.

Ukraine ana haki ya kujilinda na aina yoyote ya uvamizi, uporaji na kila aina ya tukio linalohatarisha uwepo wake katika ramani ya Dunia.

What goes around comes around. Fikiria sisi kama nchi tufanyiwe anachofanyiwa Ukrane na Nchi jirani kwa muktadha wa kulinda usalama wake kisa sisi kuwa na urafiki na nchi flan tunahatarisha usalama wake.

Naamini ungefurahia vilevile.
Miafrika ya siku hizi inamshabikia mbabe! Hovyo sana! Leo ni Ukraine kesho nchi yake nayo itafanyiwa hivyo hivyo na si ajabu nayo akashabikia! Mwaka 1978 Iddi Amin alivamia nchi hii na kuteka sehemu ya ardhi yake kwa kisingizio hiki hiki anachotumia Putin: usalama wa nchi yake! Uvamizi huo ukawa ndiyo mwisho wake. Putin hataanguka kwa uvamizi huu lakini kwa hakika atadhoofika na kuirudisha nchi yake nyuma sana.
 
Naona unashabikia kitendo cha nchi moja kutaka kuwa na umiliki wa maamuzi ya nchi nyingine. Yani Ukraine achaguliwe marafiki na namna ya kuishi.

Pia unashabikia nchi moja kujimegea maeneo ya nchi nyingine na kujimilikisha kwa kisingizio cha referendum uchwara ambayo anaepiga kura ni mateka huku akiwa amesimiwa na mtutu wa bunduki

Pia unashabikia nchi moja kufanya uvamizi usio halali na kuingia nchi nyingine kwa vifaru mabom kisha kuua Raia(mauaji ya halaiki??), kuharibu mifumo ya nishati, kulipua majengo na kila aina ya uharibifu.

Pia unashabikia wavamizi wanaoangamiza taifa jingine kwa sababu za kijinga kabisa.

Ukraine ana haki ya kujilinda na aina yoyote ya uvamizi, uporaji na kila aina ya tukio linalohatarisha uwepo wake katika ramani ya Dunia.

What goes around comes around. Fikiria sisi kama nchi tufanyiwe anachofanyiwa Ukrane na Nchi jirani kwa muktadha wa kulinda usalama wake kisa sisi kuwa na urafiki na nchi flan tunahatarisha usalama wake.

Naamini ungefurahia vilevile.
Ww ndo chizi kweli!! kwani hii tanzania inajiamulia nn? Kama tungekua na uhuru wa kujiamulia unadhani kungekua na shida kubwa mafuta nchini? Kwakua hatujiamulii chochte tumekatazwa na mabeberu kufanya biashara na russia.. je hauoni US na mashoga zake wanaigilia uhuru wetu?

Nchi huru duniani ni tatu tu russia,China na marekani. Nchi zingine zote zinategema maamuzi yao kutoka kwa hao wakubwa wameamuaje.

Tena putin ana huruma sana alipaswa kuangusha makombora mazito hapo kiev kumaliza huu mgogoro mapema, mnasema russia kashindwa vita ila akaianza kushambulia kwa makosa ya masafa marefu, comedian anaanza kulia lia!!

Naamini lengo la russia sio kuiharibu ukraine ndiomna anajizuia kutumia silaha nzito, na kama angekua na nia hiyo angekua ameifumua siku nyingi kwa makombora mazito na kuiteka kiev.

Wameshapewa onyo kushambulia mipaka ya russia na wakijjifanya wabishi na kurudia kosa yatawakuta mabaya zaidi.

Alafu najiuliza US si walipeleka kiev mitambo ya kisasa kuzuia makombora sasa yamepenyaje hapo mpka wanalia lia?
 
Kwa bahati mbaya sana unafuatilia matukio kuanzia february 2022 wakati urusi ilipoivamia ukraine!! Hebu jipe muda ufuatilie mgogoro huu toka 2014 wakati nchi za magharibi zilipochochea machafuko na maandamano yaliyosababisha rais halali aliyechaguliwa na wananchi kupinduliwa!! Fuatilia jinsi wananchi wa ukraine mashariki wenye asili ya uruisi walivyonyanyaswa na kuuawa!!

Fuatilia jinsi raia zaidi ya 8000 wa ukraine mashariki walivyouliwa kwa mabomu na ukraine!! Fuatilia jinsi ambavyo ukraine ilikuwa inaandaliwa kwa vita na nchi za magharibi toka 2014!! Kwa bahati mbaya huyajui yote haya!! Fuatilia jinsi Zelensky alivyoahidi kushughulikia mgogoro wa ukraine mashariki kwa kutekeleza makubaliano ya minsky wakati anapiga kampeni ya urais!! Alipopata urais akawageuka na kugoma kutekeleza makubaliano ya minsky!! Usiangalie kinachotokea leo, fuatilia chimbuko lake!

Mimi nasema Zelensky ameyataka mwenyewe!! ameingizwa mkenge na mabeberu na kwa sasa anatumika kwa mambo mawili: 1. Ukraine imegeuzwa kuwa soko la silaha za magharibi. Silaha anazopewa siyo bure bali ni mkopo wenye riba!! Kwa miaka mingi ijayo ukraine itakuwa inafanya kazi ya kulipa madeni! 2. Damu ya wa-ukraine inamwagika kwa mabeberu kuwatumia ili kupigana na adui yao urusi!! Wenyewe nchi za magharibi hawawezi kuthubutu kupigana kwa mikono na damu yao ana kwa ana na urusi!!
Hawajui kuwa urusi ndiye aliyemuangusha Adolf Hitler second World War ikaisha. Na hizo Ni enzi hizo he saivi atakuwaje. Mrusi ana bomu ambalo Lina ukubwa wa Basi zile kubwa. Sasa waza energy ya kulirusha angani around 90000km
 
Naona unashabikia kitendo cha nchi moja kutaka kuwa na umiliki wa maamuzi ya nchi nyingine. Yani Ukraine achaguliwe marafiki na namna ya kuishi.

Pia unashabikia nchi moja kujimegea maeneo ya nchi nyingine na kujimilikisha kwa kisingizio cha referendum uchwara ambayo anaepiga kura ni mateka huku akiwa amesimiwa na mtutu wa bunduki

Pia unashabikia nchi moja kufanya uvamizi usio halali na kuingia nchi nyingine kwa vifaru mabom kisha kuua Raia(mauaji ya halaiki??), kuharibu mifumo ya nishati, kulipua majengo na kila aina ya uharibifu.

Pia unashabikia wavamizi wanaoangamiza taifa jingine kwa sababu za kijinga kabisa.

Ukraine ana haki ya kujilinda na aina yoyote ya uvamizi, uporaji na kila aina ya tukio linalohatarisha uwepo wake katika ramani ya Dunia.

What goes around comes around. Fikiria sisi kama nchi tufanyiwe anachofanyiwa Ukrane na Nchi jirani kwa muktadha wa kulinda usalama wake kisa sisi kuwa na urafiki na nchi flan tunahatarisha usalama wake.

Naamini ungefurahia vilevile.
Ndo Urusi anajilinda sasa...ulitaka NATO wajiimarishe karibu naye ili iweje?
Ukishindwa kuitafuta amani utajutia ujinga wako.
 
Back
Top Bottom