Nadhani mabeberu wa nchi za Magharibi wanaelekea kulielewa somo sasa: Chezea kingine ila siyo sharubu za Putin

Nadhani mabeberu wa nchi za Magharibi wanaelekea kulielewa somo sasa: Chezea kingine ila siyo sharubu za Putin

Sijapata kuona kiongozi mpumbavu kama raisi wa Ukraine!

Kwanza ni mbinafsi na hana huruma na raia wake! Hana talanta ya uongozi!

True. Vita inapiganwa kwenye ardhi yake, anaua miundombinu yake na watu wake mwenyewe ili kuwafurahisha Wamarekani
Hili jukwaa lina vituko sana!

Ngoja na mimi niongezee:
Ni jambo la kipuuzi sana rais wa nchi anavamia nchi yake mwenyewe kijeshi kwa visingizio kwamba analinda raia haohao aliowavamia.

Hana huruma kabisa!
 
Ww ndo chizi kweli!! kwani hii tanzania inajiamulia nn? Kama tungekua na uhuru wa kujiamulia unadhani kungekua na shida kubwa mafuta nchini? Kwakua hatujiamulii chochte tumekatazwa na mabeberu kufanya biashara na russia.. je hauoni US na mashoga zake wanaigilia uhuru wetu?

Nchi huru duniani ni tatu tu russia,China na marekani. Nchi zingine zote zinategema maamuzi yao kutoka kwa hao wakubwa wameamuaje.

Tena putin ana huruma sana alipaswa kuangusha makombora mazito hapo kiev kumaliza huu mgogoro mapema, mnasema russia kashindwa vita ila akaianza kushambulia kwa makosa ya masafa marefu, comedian anaanza kulia lia!!

Naamini lengo la russia sio kuiharibu ukraine ndiomna anajizuia kutumia silaha nzito, na kama angekua na nia hiyo angekua ameifumua siku nyingi kwa makombora mazito na kuiteka kiev.

Wameshapewa onyo kushambulia mipaka ya russia na wakijjifanya wabishi na kurudia kosa yatawakuta mabaya zaidi.

Alafu najiuliza US si walipeleka kiev mitambo ya kisasa kuzuia makombora sasa yamepenyaje hapo mpka wanalia lia?
Iondoe China kwenye List.
 
Naona unashabikia kitendo cha nchi moja kutaka kuwa na umiliki wa maamuzi ya nchi nyingine. Yani Ukraine achaguliwe marafiki na namna ya kuishi.

Pia unashabikia nchi moja kujimegea maeneo ya nchi nyingine na kujimilikisha kwa kisingizio cha referendum uchwara ambayo anaepiga kura ni mateka huku akiwa amesimiwa na mtutu wa bunduki

Pia unashabikia nchi moja kufanya uvamizi usio halali na kuingia nchi nyingine kwa vifaru mabom kisha kuua Raia(mauaji ya halaiki??), kuharibu mifumo ya nishati, kulipua majengo na kila aina ya uharibifu.

Pia unashabikia wavamizi wanaoangamiza taifa jingine kwa sababu za kijinga kabisa.

Ukraine ana haki ya kujilinda na aina yoyote ya uvamizi, uporaji na kila aina ya tukio linalohatarisha uwepo wake katika ramani ya Dunia.

What goes around comes around. Fikiria sisi kama nchi tufanyiwe anachofanyiwa Ukrane na Nchi jirani kwa muktadha wa kulinda usalama wake kisa sisi kuwa na urafiki na nchi flan tunahatarisha usalama wake.

Naamini ungefurahia vilevile.
Hata UN inaunga mkono kama hawaungi mkono

Anyongwe klinton
Anyongwe blair
Anyongwe bush
Anyongwe obama
Anyongwe sarkozy
Anyongwe netanyahu
Anyongwe na PUT IN

Wakishindwa nao wanaunga mkono kwahio kama wataunga wao nasisi tutaungana nao

Mwisho RUSSIA wanahaki yakujilinda kama US alipojilinda dhidi ya AFGHANISTAN nk

Kwaustawi wahii DUNIA tunaihitaji RUSSIA ilioimara zaidi leo kuliko jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miafrika ya siku hizi inamshabikia mbabe! Hovyo sana! Leo ni Ukraine kesho nchi yake nayo itafanyiwa hivyo hivyo na si ajabu nayo akashabikia! Mwaka 1978 Iddi Amin alivamia nchi hii na kuteka sehemu ya ardhi yake kwa kisingizio hiki hiki anachotumia Putin: usalama wa nchi yake! Uvamizi huo ukawa ndiyo mwisho wake. Putin hataanguka kwa uvamizi huu lakini kwa hakika atadhoofika na kuirudisha nchi yake nyuma sana.
lakini kwa hakika atadhoofika na kuirudisha nchi yake nyuma sana


[emoji23][emoji16][emoji23] amka kumekucha MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ndo chizi kweli!! kwani hii tanzania inajiamulia nn? Kama tungekua na uhuru wa kujiamulia unadhani kungekua na shida kubwa mafuta nchini? Kwakua hatujiamulii chochte tumekatazwa na mabeberu kufanya biashara na russia.. je hauoni US na mashoga zake wanaigilia uhuru wetu?

Nchi huru duniani ni tatu tu russia,China na marekani. Nchi zingine zote zinategema maamuzi yao kutoka kwa hao wakubwa wameamuaje.

Tena putin ana huruma sana alipaswa kuangusha makombora mazito hapo kiev kumaliza huu mgogoro mapema, mnasema russia kashindwa vita ila akaianza kushambulia kwa makosa ya masafa marefu, comedian anaanza kulia lia!!

Naamini lengo la russia sio kuiharibu ukraine ndiomna anajizuia kutumia silaha nzito, na kama angekua na nia hiyo angekua ameifumua siku nyingi kwa makombora mazito na kuiteka kiev.

Wameshapewa onyo kushambulia mipaka ya russia na wakijjifanya wabishi na kurudia kosa yatawakuta mabaya zaidi.

Alafu najiuliza US si walipeleka kiev mitambo ya kisasa kuzuia makombora sasa yamepenyaje hapo mpka wanalia lia?
Tena putin ana huruma sana alipaswa kuangusha makombora mazito hapo kiev kumaliza huu mgogoro mapema


PUT IN anahuruma mpaka anaudhi [emoji35][emoji34][emoji35][emoji35][emoji34]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hali ilivyo sasa, tunahitaji Russia imara na kiongozi mwenye misimamo kama Putin.

EU wanatia huruma balaa, wamebaki na matamko kama viongozi wa chadema.
 
Mabeberu ni kina nani?

Mara ya pili hii naliona hilo neno, ndani ya muda mfupi sana!

Hivi mnaelewa kweli maana ya huo msamiati? Ama mnautumia[ga] tu ili mradi kuchangamsha kijiwe?
Mabeberu kwa lugha ya kiingereza ni imperialists! na sera yao inaitwa imperialism! Ni watu watu wenye hulka ya kutaka kutawala kila eneo! lengo lao kuu ni kujitanua kwa kutumia mabavu ya kiuchumi na kijeshi!! Mfano mzuri ni marekani!! a policy of extending a country's power and influence through colonization, use of military force, or other means. Kihistoria hii ndiyo dhana ya ukoloni. Kwa leo tunauita ukoloni mamboleo!! Mabeberu hawaamini kama tunaweza kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yetu kwa kuongozwa na maslahi yetu!!
Kwenye huu uzi mabeberu wamegonga mwamba kwa PUTIN!! Walikuwa na ndoto za kujitanua hadi Ukraine kwa mgongo wa NATO!! Kwa mtazamo wa urusi, NATO ni nyoka, hapaswi kupewa nafasi ya kujinafasi hadi ukraine ambayo ni sehemu nyeti sana kijeshi!
 
Tena putin ana huruma sana alipaswa kuangusha makombora mazito hapo kiev kumaliza huu mgogoro mapema


PUT IN anahuruma mpaka anaudhi [emoji35][emoji34][emoji35][emoji35][emoji34]

Sent using Jamii Forums mobile app
Amemteua jenerali mmoja hivi katili sana kusimamia mapambano ndani ya ukraine!! Alikabidhiwa mikoba rasmi jumamosi, kufikia jumatatu alfajiri akakinukisha balaa!! jumanne asubuhi akakinukisha tena!! Ukraine ni kilio kila kona!! Sidhani kama ukraine atarudia tena ugaidi hadi ndani ya urusi kabisa!! Huyo jenerali ndiye aliyesimamia mapambano nchini Syria dhidi ya waasi waliokuwa wanaungwa mkono na kupewa silaha na marekani!! Yeye hazungumzi kabisa kwa mdomo, huzungumza kwa vipigo tu kwenye uwanja wa vita!
 
Daaaaah Russia kweli Ni hatari kumbe Toka kitambo alikuwa anaweza kushambulia kyiv

[emoji23][emoji23]
 
Mabeberu kwa lugha ya kiingereza ni imperialists! na sera yao inaitwa imperialism! Ni watu watu wenye hulka ya kutaka kutawala kila eneo! lengo lao kuu ni kujitanua kwa kutumia mabavu ya kiuchumi na kijeshi!! Mfano mzuri ni marekani!! a policy of extending a country's power and influence through colonization, use of military force, or other means. Kihistoria hii ndiyo dhana ya ukoloni. Kwa leo tunauita ukoloni mamboleo!! Mabeberu hawaamini kama tunaweza kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yetu kwa kuongozwa na maslahi yetu!!
Kwenye huu uzi mabeberu wamegonga mwamba kwa PUTIN!! Walikuwa na ndoto za kujitanua hadi Ukraine kwa mgongo wa NATO!! Kwa mtazamo wa urusi, NATO ni nyoka, hapaswi kupewa nafasi ya kujinafasi hadi ukraine ambayo ni sehemu nyeti sana kijeshi!
Kupitia hiyo definition yako uliyoileta, aliyeivamia Ukraine kijeshi na kuanza kujitangazia umiliki wa maeneo ya taifa hilo naye ni beberu ama si beberu?
 
Wamemwekea vikwazo lukuki wakiamini kuwa uchumi wa urusi utakufa ghafla, kinyume chake uchumi wa nchi zao ndio unaoanguka!! Usicheze na nchi yenye maliasili zinazohitajika kwa lazima kwa maisha ya kiila siku: mafuta na gesi!!! Usicheze na nchi inayojitegemea na kutegemewa kwa chakula!! Hapo ndipo urusi ilipozikamatia pabaya nchi za kibeberu!!

Ukigomea mafuta na gesi yake wengine wengi tu wanachukua na wewe bei inakuwa juu kwa kupungukiwa na bidhaa hiyo muhimu!! Wanaumiza kichwa: Tumfanyeje PUTIN? kumpindua hatuwezi! tukimtenga wengine wanamkimbilia!! Tumsapoti Ukraine kwa silaha ndo kwanza anahalalisha majimbo manne kuwa sehemu ya urusi!! Kuyakomboa ni kuingia vitani na urusi!!

Ni nani mwenye ubavu huo-hakuna!! Tuifundishe ukraine kufanya ugaidi ndani ya urusi kama kushambulia daraja la crimea kwa mbinu za kigaidi: hapo sasa ndo kwanza umechezea sharubu za Putin, ametembeza kichapo cha masaa kadhaa ambacho hajawahi kukitoa tangu vita vianze na kuna kilio kote kwenye ulimwengu wa magharibi!.

Sasa USA wamesema watapeleka mitambo ya ulinzi wa anga lakini urusi ana supersonic missiles zinazopenya kwenye ulinzi wowote wa anga!! Asikudanganye mtu, Katikati ya jiji la kiev kulikuwa kunalindwa na hiyo mitambo ya ulinzi wa anga lakini pamechakazwa usipime!! Tumfanyeje PUTIN? Mimi niwape jibu, ni rahisi sana!!

Acha kupeleka silaha ukraine na hapo Ukraine haitakuwa na ubavu wa kuendeleza kiburi na vita vitakomea hapo!! Ila kuhusu yale majimbo manne yaliyojiunga na Urusi, hiyo ni hasara ya ukraine ya milele!!

Kingine Ukraine itabaki ikiugulia na madeni hadi mwisho wa dunia!!
We ni guluguja aka kinabo
 
Ww ndo chizi kweli!! kwani hii tanzania inajiamulia nn? Kama tungekua na uhuru wa kujiamulia unadhani kungekua na shida kubwa mafuta nchini? Kwakua hatujiamulii chochte tumekatazwa na mabeberu kufanya biashara na russia.. je hauoni US na mashoga zake wanaigilia uhuru wetu?

Nchi huru duniani ni tatu tu russia,China na marekani. Nchi zingine zote zinategema maamuzi yao kutoka kwa hao wakubwa wameamuaje.

Tena putin ana huruma sana alipaswa kuangusha makombora mazito hapo kiev kumaliza huu mgogoro mapema, mnasema russia kashindwa vita ila akaianza kushambulia kwa makosa ya masafa marefu, comedian anaanza kulia lia!!

Naamini lengo la russia sio kuiharibu ukraine ndiomna anajizuia kutumia silaha nzito, na kama angekua na nia hiyo angekua ameifumua siku nyingi kwa makombora mazito na kuiteka kiev.

Wameshapewa onyo kushambulia mipaka ya russia na wakijjifanya wabishi na kurudia kosa yatawakuta mabaya zaidi.

Alafu najiuliza US si walipeleka kiev mitambo ya kisasa kuzuia makombora sasa yamepenyaje hapo mpka wanalia lia?
Nchi zilizo huru kweli kweli duniani kiasi ambacho zinaweza kuamua chochote na hakuna wa kuzilazimisha kubadili matakwa yake ni: 1. Urusi 2. Korea ya kaskazini 3. Iran 4. Cuba 5. Israel
Marekani hana sifa ya kuwa nchi huru kwa sababu hulazimishwa kufuata matakwa ya Israel. China hana sifa ya kuwa nchi huru kwa kuwa hajiamini japo ana nguvu kubwa kijeshi na kiuchumi!! Haamini kama anaweza kustahimili vikwazo na vitisho vya marekani!! Marekani huwa inamdhalilisha sana! Nchi zote za ulaya ni kama koloni la marekani!! Ziko tayari kupata hasara ili mradi zisimkasirishe marekani! Kwa mfano kwa sasa nchi za ulaya zinalazimika kununua gesi ya LNG toka marekani kwa bei ya mara NNE zaidi!! Angalau nchi ya ulaya ambayo huwa inajitahidi kidogo kumkomsalia marekani ni Ufaransa. Ufaransa ndiyo inayotaka kujaribu kumkomalia marekani asiuze gesi ulaya kwa bei ya juu mara nne zaidi! wengine wote wamenywea!!

US taking advantage of EU energy crisis – Paris​

Washington is selling gas to the EU for four times what it charges at home, the French finance minister says.
 
Kupitia hiyo definition yako uliyoileta, aliyeivamia Ukraine kijeshi na kuanza kujitangazia umiliki wa maeneo ya taifa hilo naye ni beberu ama si beberu?
Hao wananchi wamepiga kura wenyewe kutaka kujiunga na urusi kwa hiari yao!! Halafu ujue hayo maeneo zaidi ya asilimia 85 yanakaliwa na warusi!! Wartusi hawa wamekuwa wananyanyaswa sana na kuuliwa nchini ukraine kuanzia mwaka 2014!! Ni kama ilivyo wajaluo wa Tanzania na wajaluo wa kenya!! Wajaluo wa Tanzania tukiamua kuwanyanyasa na kuwaua wakipewa nafasi ya kuchagua kujiunga na kenya bila shaka watakubali!! Zelensky ajilaumu mwenyewe kwa kuandaa mazingira ya warusi walioko ukraine mashariki na kusini waichukie ukraine!! Hata leo ukisema warudie kupiga kura chini ya uangalizi wa umoja wa mataifa bado watachagua kuhamia urusi!!
 
Hao wananchi wamepiga kura wenyewe kutaka kujiunga na urusi kwa hiari yao!! Halafu ujue hayo maeneo zaidi ya asilimia 85 yanakaliwa na warusi!! Wartusi hawa wamekuwa wananyanyaswa sana na kuuliwa nchini ukraine kuanzia mwaka 2014!! Ni kama ilivyo wajaluo wa Tanzania na wajaluo wa kenya!! Wajaluo wa Tanzania tukiamua kuwanyanyasa na kuwaua wakipewa nafasi ya kuchagua kujiunga na kenya bila shaka watakubali!! Zelensky ajilaumu mwenyewe kwa kuandaa mazingira ya warusi walioko ukraine mashariki na kusini waichukie ukraine!! Hata leo ukisema warudie kupiga kura chini ya uangalizi wa umoja wa mataifa bado watachagua kuhamia urusi!!
Umeleta narrative inayopingana na definition yako mwenyewe kuhusiana na ubeberu!

Aliyeivamia Ukraine kijeshi na kuanza kujitangazia umiliki wa maeneo ya taifa hilo naye ni beberu ama si beberu?
 
Naona unashabikia kitendo cha nchi moja kutaka kuwa na umiliki wa maamuzi ya nchi nyingine. Yani Ukraine achaguliwe marafiki na namna ya kuishi.

Pia unashabikia nchi moja kujimegea maeneo ya nchi nyingine na kujimilikisha kwa kisingizio cha referendum uchwara ambayo anaepiga kura ni mateka huku akiwa amesimiwa na mtutu wa bunduki

Pia unashabikia nchi moja kufanya uvamizi usio halali na kuingia nchi nyingine kwa vifaru mabom kisha kuua Raia(mauaji ya halaiki??), kuharibu mifumo ya nishati, kulipua majengo na kila aina ya uharibifu.

Pia unashabikia wavamizi wanaoangamiza taifa jingine kwa sababu za kijinga kabisa.

Ukraine ana haki ya kujilinda na aina yoyote ya uvamizi, uporaji na kila aina ya tukio linalohatarisha uwepo wake katika ramani ya Dunia.

What goes around comes around. Fikiria sisi kama nchi tufanyiwe anachofanyiwa Ukrane na Nchi jirani kwa muktadha wa kulinda usalama wake kisa sisi kuwa na urafiki na nchi flan tunahatarisha usalama wake.

Naamini ungefurahia vilevile.
Hata sasa kiongozi sisi tunatawaliwa na USA na washirika wake. Ukitaka kuamini nenda kanunue mafuta ya bei ndogo toka Urusi. Utaona..

Hawa wanafanana ni utofauti wa Application tu.

Muulize JK Nyerere, 80% walichagua chama kimoja, na 20% vyama vingi kwa akili ya kawaida mfumo gani ulishinda? Lkn kwa akili isiyo ya kawaida ikashinda 20%.

Kama walikubaliana kutoendelea kuweka base karibu na nchi zao kwanini waisogelee tena kwa Maabara za biological weapons. Ujinga wa Ukraine utamgharimu hata kama Russi atashindwa ola Ukraine atakuwa amechakaa na huenda displaced kabisa
 
Ww ndo chizi kweli!! kwani hii tanzania inajiamulia nn? Kama tungekua na uhuru wa kujiamulia unadhani kungekua na shida kubwa mafuta nchini? Kwakua hatujiamulii chochte tumekatazwa na mabeberu kufanya biashara na russia.. je hauoni US na mashoga zake wanaigilia uhuru wetu?

Nchi huru duniani ni tatu tu russia,China na marekani. Nchi zingine zote zinategema maamuzi yao kutoka kwa hao wakubwa wameamuaje.

Tena putin ana huruma sana alipaswa kuangusha makombora mazito hapo kiev kumaliza huu mgogoro mapema, mnasema russia kashindwa vita ila akaianza kushambulia kwa makosa ya masafa marefu, comedian anaanza kulia lia!!

Naamini lengo la russia sio kuiharibu ukraine ndiomna anajizuia kutumia silaha nzito, na kama angekua na nia hiyo angekua ameifumua siku nyingi kwa makombora mazito na kuiteka kiev.

Wameshapewa onyo kushambulia mipaka ya russia na wakijjifanya wabishi na kurudia kosa yatawakuta mabaya zaidi.

Alafu najiuliza US si walipeleka kiev mitambo ya kisasa kuzuia makombora sasa yamepenyaje hapo mpka wanalia lia?
Tulionyweshwa seti 18 hapa kuwa zimefika ucrein au ndo hizo propaganda??
 
Naona unashabikia kitendo cha nchi moja kutaka kuwa na umiliki wa maamuzi ya nchi nyingine. Yani Ukraine achaguliwe marafiki na namna ya kuishi.

Pia unashabikia nchi moja kujimegea maeneo ya nchi nyingine na kujimilikisha kwa kisingizio cha referendum uchwara ambayo anaepiga kura ni mateka huku akiwa amesimiwa na mtutu wa bunduki

Pia unashabikia nchi moja kufanya uvamizi usio halali na kuingia nchi nyingine kwa vifaru mabom kisha kuua Raia(mauaji ya halaiki??), kuharibu mifumo ya nishati, kulipua majengo na kila aina ya uharibifu.

Pia unashabikia wavamizi wanaoangamiza taifa jingine kwa sababu za kijinga kabisa.

Ukraine ana haki ya kujilinda na aina yoyote ya uvamizi, uporaji na kila aina ya tukio linalohatarisha uwepo wake katika ramani ya Dunia.

What goes around comes around. Fikiria sisi kama nchi tufanyiwe anachofanyiwa Ukrane na Nchi jirani kwa muktadha wa kulinda usalama wake kisa sisi kuwa na urafiki na nchi flan tunahatarisha usalama wake.

Naamini ungefurahia vilevile.
Yote hayo nchi za magharibi zilikwisha yafanya nchi kama vile: Libya, Syria, Afghanistan, Yemen, n.k.
Anza kwanza kulaumu nchi za magharibi.
 
Wewe ni mpuuzi na mpumbavu
Nashukuru!! Ila ujue nchini kwetu kuna wanyarwanda wengi sana ambao wanadai kuwa ni watanzania! Mnyarwanda ni kama myahudi, hasahau kwao! Hata akipata uraia wa nchi nyingine, anajihesabu ni mnyarwanda kwanza kisha huo uraia mwingine ndo unafuata!! Tulipokea wakimbizi wengi sana wanyarwanda miaka ile ya sabini. Wengi wao wameshakuwa raia wa Tanzania na kizazi chao wote (wanazaana sana) ni raia wa Tanzania lakini mioyoni mwao wanajihesabu ni wanyarwanda!! Ukitokea mgogoro kati ya Tanzania na Rwanda lazima kwa siri au kwa wazi watakuwa upande wa Rwanda!! Watatuhujumu na hatutawaweza!

Hilo ndilo tatizo la Marekani kuhusu wayahudi!! Marekani kuna wayahudi wengi ambao wamekuwa raia wa Marekani lakini mioyoni mwao bado wanajihesabu kuwa ni wayahudi. Wako kwenye kila sekta muhimu huko marekani, kwa hiyo marekani inalazimika kuitetea Israel hata kama haipendi vinginevyo itakula kwake!! Asante kwa kunitukana lakini huo ndio ukweli!!!

Watusi waliposhika tena utawala nchini nRwanda chini ya Kagame, watanzania wengi wenye asili ya Rwanda huko Kagera walirudi Rwanda kwa maelfu!! Siidharau nchi yangu wala si kwamba hatuna nguvu, lakini kupigana na kilichoko nguoni mwako ni maafa!!
 
Kaka mbona kla siku Israel anayachukua maeneo ya palestna???sijackia USA Wala EU kuiwekea vkwazo Israel
Unafiki tu watu umewajaa na ushabiki, tatizo vita safar hii vimeenda ulaya walizoea kuchezea nchi za Africa na Asia tu safar hii ni kwao acha putin awape somo mbwa koko hao
 
Back
Top Bottom