Nadhani mabeberu wa nchi za Magharibi wanaelekea kulielewa somo sasa: Chezea kingine ila siyo sharubu za Putin

Umemaliza baba maana alijitoa ufaham kuwa ndo mara ya pili kusikia hilo neno
 
Watu ni wapumbavu mnoo mkuu, inashangaza mnoo kwa huu ushabiki wao.
 
Hiyo si ndio kazi ya hawala yenu Marekani?,au umesahau?
 
Usicheze na nchi yenye maliasili zinazohitajika kwa lazima kwa maisha ya kiila siku: mafuta na gesi!!! Usicheze na nchi inayojitegemea na kutegemewa kwa chakula!! Hapo ndipo urusi ilipozikamatia pabaya nchi za kibeberu!!
Isipokuwa Tanzania na jamaa zake
 
Kuwa mnyarwanda sio ishu. Ishu kusema kwamba wataweza mziki wa jwtz. Ivi wewe Rwanda Sawa na Kagera mkoa. Leo useme ipambane na Tanzania ni upuuuzi tuuu. Kwanza ujue Kagera mkoa kuna kizazi cha kinyarwanda, Kirundi na kiganda. Kwa iyo kusema watamsaidia kagame ni uwongo mwingi sana. Mimi Mama anagu ana asili ya kinyarwanda wa Kagera na miaka iyo alienda JKT ya kipindi icho miaka ya 1975. Na Mke wangu ana asili ya kinyarwanda na wamezaliwa apa apa Tanzania na hawana uo upuuuzi kama wako wa kusema sijui watamsaidia Rwanda.
 
Umemaliza baba maana alijitoa ufaham kuwa ndo mara ya pili kusikia hilo neno
Aliyejitoa ufahamu ni nani? Mimi?!

Mwenzako unayempongeza anadai kuwa ubeberu ni "extending a country's power and influence through colonization, use of military force" na kadhalika.

Mimi nimemuuliza swali dogo tu: aliyeivamia Ukraine kijeshi naye ni beberu ama si beberu? Ameishia kuikana definition yake mwenyewe.

Nani aliyejitoa ufahamu hapo?
 
Unaota
 
Kaka mbona kla siku Israel anayachukua maeneo ya palestna???sijackia USA Wala EU kuiwekea vkwazo Israel
Kwani lazima wawekewe vikwazo na Us au EU. Na nyinyi mataifa ya hovyo ya Afrika wawekeeni vikwazo kama mnaweza maana hakuna aliyewazuia.
 
Juzi EU wamemwomba Putin aruhusu ngano itoke.
Yaani mnajifanya mnokmaa na vita alafu kumbe mna njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…