Nadhani mtu aina ya Paul Makonda kwa sasa anahitajika sana kama Katibu Mwenezi CCM taifa kuliko wakati wowote ule

Nadhani mtu aina ya Paul Makonda kwa sasa anahitajika sana kama Katibu Mwenezi CCM taifa kuliko wakati wowote ule

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondoke .
 
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondoke .
Makonda hakika anafaa kuwa katibu mkuu. Ila sasa ni lazima amuondoe kwanza Nchimbi na Dkt Nchimbi aombe Neema ya Mungu sana
 
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondoke .
Nawaona ccm wakija kukimbia kwenye kampeni kama yule Babu Amerika.
 
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondoke .
Saizi yake ahangaike na vitoto vya Ar chuga.
 
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondoke .
Aah wapi...watanywea kama puto zilizotobolewa....Hakuna umaarufu system ikikutema
 
Si alikuwepo hapo juzi tu halafu unataka arudishwe Tena? Ungeuliza kwanza sababu ya kwanini Makonda alitolewa kwenye ukatibu mwenezi.
 
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondoke .
Mkuu hapo umeharibu kabisa umahiri wako wa thread. Nakushauri usijihusishe na kumfagilia Bashite. Bashite ananuka damu za watu wasio na hatia aliowaua kwa kutumwa na Magufuli. Huyu ni mhalifu mwenye bahati tu.

Lakini iko siku atakuja kujibu tuhuma za mauaji, utekaji na uvamizi wa kutumia silaha. Hii ni pamoja na unyang"anyi wa mali binafsi za wafanyabiashara
 
Back
Top Bottom