Nadhani mtu aina ya Paul Makonda kwa sasa anahitajika sana kama Katibu Mwenezi CCM taifa kuliko wakati wowote ule

Nadhani mtu aina ya Paul Makonda kwa sasa anahitajika sana kama Katibu Mwenezi CCM taifa kuliko wakati wowote ule

Mkuu hapo umeharibu kabisa umahiri wako wa thread. Nakushauri usijihusishe na kumfagilia Bashite. Bashite ananuka damu za watu wasio na hatia aliowaua kwa kutumwa na Magufuli. Huyu ni mhalifu mwenye bahati tu.

Lakini iko siku atakuja kujibu tuhuma za mauaji, utekaji na uvamizi wa kutumia silaha. Hii ni pamoja na unyang"anyi wa mali binafsi za wafanyabiashara
Ni kiongozi gani asiekuwa na damu ya
Mkuu hapo umeharibu kabisa umahiri wako wa thread. Nakushauri usijihusishe na kumfagilia Bashite. Bashite ananuka damu za watu wasio na hatia aliowaua kwa kutumwa na Magufuli. Huyu ni mhalifu mwenye bahati tu.

Lakini iko siku atakuja kujibu tuhuma za mauaji, utekaji na uvamizi wa kutumia silaha. Hii ni pamoja na unyang"anyi wa mali binafsi za wafanyabiashara
Mkuu nitajie kiongozi asienuka damu ya raia ili ujue na umri huo wote bado umeshikiwa akili.
 
Kwa enzi hizi na karne hii hawa vijana wote uliowataja ni waharibifu kwa CCM mpya. Ndiyo maana ya kumsumbua mama. kidogo wanaotoka nje ya CCM ni watulivu ingawaje wana mikia,tuwaheshimu
 
Mkuu hapo umeharibu kabisa umahiri wako wa thread. Nakushauri usijihusishe na kumfagilia Bashite. Bashite ananuka damu za watu wasio na hatia aliowaua kwa kutumwa na Magufuli. Huyu ni mhalifu mwenye bahati tu.

Lakini iko siku atakuja kujibu tuhuma za mauaji, utekaji na uvamizi wa kutumia silaha. Hii ni pamoja na unyang"anyi wa mali binafsi za wafanyabiashara
Sawa mkuu
 
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondoke .
Ningekuwa rais mimi wa kwanza kumuondoa kazini ni Makonda mana hakuna anachofanya zaidi ya drama tu.
 
Makonda anafaa kila Idara
Kwa sababu ya msambwanda au?
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
 
Ni kiongozi gani asiekuwa na damu ya

Mkuu nitajie kiongozi asienuka damu ya raia ili ujue na umri huo wote bado umeshikiwa akili.
Wewe ndiyo utaje viongozi wakuu wa Mikoa ambao waliua watu kama Makonda. Usiniulize mimi kuwa ni viongozi gani hawana damu mikononi. Mimi nimekuambia Makonda aliua ba kujeruhi watu
 
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondoke .
Usitegemee kuletewa Katiba mpya mezani badala ya kuidai, tume imebadilishwa jina pekee
 
Wavaa madera wamemkalia sivyo kwenda chini siyo ajabu.
 
Tar 21/7/2024 , utenguzi wa mawaziri Nape na January Makamba umefanyika , waheshimiwa hawa ni mashuhuri sana katika matumizi ya Teknolojia na ni viongozi wanaoweza kujieleza vizuri.

Hivyo tutegemee mitandaoni ya kijamii kuchangamshwa na habari mbali mbali zikiwemo za ndani sana zitazokahusu serikali na CCM kwa ujumla hasa kama hiki kitendo cha kutenguliwa watakichukua kwa mtazamo hasi .

Hivyo kwa CCM wanahitaji nguvu ya zaidi ambayo nadhani watu aina ya makonda wana hitajika .

Kwa upande mwingine tuendelee kumuomba Mama Samia atuletee katiba Mpya tumkumbuke kwa hilo na Tume huru hawa CCM nchi ilisha washinda waondok​
ha udwanzi wa kusifiasifia watu JF

Kwa sababu ya msambwanda au?View attachment 3049614
😆😆
 
Wewe ndiyo utaje viongozi wakuu wa Mikoa ambao waliua watu kama Makonda. Usiniulize mimi kuwa ni viongozi gani hawana damu mikononi. Mimi nimekuambia Makonda aliua ba kujeruhi watu
Na mm nakuambia Makonda hakuua na kujeruhi watu.
 
Back
Top Bottom