Nadhani No Reform No Elections ilipaswa kuanza kabla ya uchaguzi wa ndani wa CHADEMA. Kulikoni waliweza kufanya uchaguzi kwa Katiba mbovu vile?

Nadhani No Reform No Elections ilipaswa kuanza kabla ya uchaguzi wa ndani wa CHADEMA. Kulikoni waliweza kufanya uchaguzi kwa Katiba mbovu vile?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kuna uwezekano mkubwa kwamba malalamiko kuhusu ubovu wa katiba ya Chadema, yalichochewa na chuki binafsi dhidi ya wagombea uongozi Fulani ndani ya chadema, na kwahivyo hakuna haja ya viongozi hao walalamishi wenye chuki binafsi dhidi ya watu binafsi, kuhamishia na chuki hizo binafsi kwa wengine kwa namna ingine.

Na kama ilikua ni utapeli na hadaa za kisiasa kwaajili ya kuwarubuni wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa ili wawachague ni vema wakajistukia kwamba sio wote wanaweza kutapeliwa fikra kirahisi hivyo.

Kulikoni agenda kuu ya chadema iwe kuchangisha pesa za matumizi na sio mabadiko ya katiba yao waliyoiita mbovu sana?

Kulikoni wasianze kwanza kufanya kwanza marekebisho ya katiba yao kabla ya kuanza kuhitaji marekebisho kwingineko?

Je, ni kweli tatizo ndani ya chadema ilikua katiba au chuki binafsi dhidi mtu binafsi ambayo sasa inataka kusambaswa kwa wengine hata wasiohusika na hiyo chadema yenyewe?

Je, muendelezo wa madai ya viongozi wa chadema kuhusu mabadiko ya sheria ambazo tayari yameshafanyika sio chuki binafsi za vibaka na matapeli hao wa kisiasa dhidi ya viongozi waaandamizi wachapakazi na waadilifu serikalini?

Kuna methali ya kiswahili inasema, Nyani haoni kundule, huliona la mweziwe. Je, chadema wana tabia za nyani, maana hawayaoni makosa yao, ila wanaona ya wengine pekee na kuanza kubwekabweka?.

Ni muhimu kama Taifa kujianda kwaajili ya uchaguzi mkuu utakao fanyika mwezi October mwaka huu 2025 bila kubabaishwa na kelele za vibaka na matapeli wa kisiasa waliopoteza uelekeo nchini.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kuna uwezekano mkubwa kwamba malalamiko kuhusu ubovu wa katiba ya Chadema, yalichochewa na chuki binafsi dhidi ya wagombea uongozi Fulani ndani ya chadema, na kwahivyo hakuna haja ya viongozi hao walalamishi wenye chuki binafsi dhidi ya watu binafsi, kuhamishia na chuki hizo binafsi kwa wengine kwa namna ingine.

Na kama ilikua ni utapeli na hadaa za kisiasa kwaajili ya kuwarubuni wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa ili wawachague ni vema wakajistukia kwamba sio wote wanaweza kutapeliwa fikra kirahisi hivyo.
Kulikoni agenda kuu ya chadema iwe kuchangisha pesa za matumizi na sio mabadiko ya katiba yao waliyoiita mbovu sana?

Kulikoni wasianze kwanza kufanya kwanza marekebisho ya katiba yao kabla ya kuanza kuhitaji marekebisho kwingineko?

Je, ni kweli tatizo ndani ya chadema ilikua katiba au chuki binafsi dhidi mtu binafsi ambayo sasa inataka kusambaswa kwa wengine hata wasiohusika na hiyo chadema yenyewe?

Je,
muendelezo wa madai ya viongozi wa chadema kuhusu mabadiko ya sheria ambazo tayari yameshafanyika sio chuki binafsi za vibaka na matapeli hao wa kisiasa dhidi ya viongozi waaandamizi wachapakazi na waadilifu serikalini?

Kuna methali ya kiswahili inasema, Nyani haoni kundule, huliona la mweziwe. Je, chadema wana tabia za nyani, maana hawayaoni makosa yao, ila wanaona ya wengine pekee na kuanza kubwekabweka?.

Ni muhimu kama Taifa kujianda kwaajili ya uchaguzi mkuu utakao fanyika mwezi October mwaka huu 2025 bila kubabaishwa na kelele za vibaka na matapeli wa kisiasa waliopoteza uelekeo nchini.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Upo kwenye wakati mgumu sana
 
Lisu na Lema hawana shughuli.yeyote ya kuwaingizia kipato ndio maana jambo la kwanza wameona waanzie kutafuta hela ya kula
 
Kuna uwezekano mkubwa kwamba malalamiko kuhusu ubovu wa katiba ya Chadema, yalichochewa na chuki binafsi dhidi ya wagombea uongozi Fulani ndani ya chadema, na kwahivyo hakuna haja ya viongozi hao walalamishi wenye chuki binafsi dhidi ya watu binafsi, kuhamishia na chuki hizo binafsi kwa wengine kwa namna ingine.

Na kama ilikua ni utapeli na hadaa za kisiasa kwaajili ya kuwarubuni wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa ili wawachague ni vema wakajistukia kwamba sio wote wanaweza kutapeliwa fikra kirahisi hivyo.

Kulikoni agenda kuu ya chadema iwe kuchangisha pesa za matumizi na sio mabadiko ya katiba yao waliyoiita mbovu sana?

Kulikoni wasianze kwanza kufanya kwanza marekebisho ya katiba yao kabla ya kuanza kuhitaji marekebisho kwingineko?

Je, ni kweli tatizo ndani ya chadema ilikua katiba au chuki binafsi dhidi mtu binafsi ambayo sasa inataka kusambaswa kwa wengine hata wasiohusika na hiyo chadema yenyewe?

Je, muendelezo wa madai ya viongozi wa chadema kuhusu mabadiko ya sheria ambazo tayari yameshafanyika sio chuki binafsi za vibaka na matapeli hao wa kisiasa dhidi ya viongozi waaandamizi wachapakazi na waadilifu serikalini?

Kuna methali ya kiswahili inasema, Nyani haoni kundule, huliona la mweziwe. Je, chadema wana tabia za nyani, maana hawayaoni makosa yao, ila wanaona ya wengine pekee na kuanza kubwekabweka?.

Ni muhimu kama Taifa kujianda kwaajili ya uchaguzi mkuu utakao fanyika mwezi October mwaka huu 2025 bila kubabaishwa na kelele za vibaka na matapeli wa kisiasa waliopoteza uelekeo nchini.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi huna kazi ya kufanya ndugu?,mana kila siku lazima uwamke na chadema yani unaipa umaarufu usiwo wa lazima.
 
Kuna uwezekano mkubwa kwamba malalamiko kuhusu ubovu wa katiba ya Chadema, yalichochewa na chuki binafsi dhidi ya wagombea uongozi Fulani ndani ya chadema, na kwahivyo hakuna haja ya viongozi hao walalamishi wenye chuki binafsi dhidi ya watu binafsi, kuhamishia na chuki hizo binafsi kwa wengine kwa namna ingine.

Na kama ilikua ni utapeli na hadaa za kisiasa kwaajili ya kuwarubuni wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa ili wawachague ni vema wakajistukia kwamba sio wote wanaweza kutapeliwa fikra kirahisi hivyo.

Kulikoni agenda kuu ya chadema iwe kuchangisha pesa za matumizi na sio mabadiko ya katiba yao waliyoiita mbovu sana?

Kulikoni wasianze kwanza kufanya kwanza marekebisho ya katiba yao kabla ya kuanza kuhitaji marekebisho kwingineko?

Je, ni kweli tatizo ndani ya chadema ilikua katiba au chuki binafsi dhidi mtu binafsi ambayo sasa inataka kusambaswa kwa wengine hata wasiohusika na hiyo chadema yenyewe?

Je, muendelezo wa madai ya viongozi wa chadema kuhusu mabadiko ya sheria ambazo tayari yameshafanyika sio chuki binafsi za vibaka na matapeli hao wa kisiasa dhidi ya viongozi waaandamizi wachapakazi na waadilifu serikalini?

Kuna methali ya kiswahili inasema, Nyani haoni kundule, huliona la mweziwe. Je, chadema wana tabia za nyani, maana hawayaoni makosa yao, ila wanaona ya wengine pekee na kuanza kubwekabweka?.

Ni muhimu kama Taifa kujianda kwaajili ya uchaguzi mkuu utakao fanyika mwezi October mwaka huu 2025 bila kubabaishwa na kelele za vibaka na matapeli wa kisiasa waliopoteza uelekeo nchini.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Endelea kudhani, nadhani nitakuunga mkono.
 
Huyu tilatila ni mjinga kupitiliza ni memkwa hawezi kushindana na haki
 
Lisu na Lema hawana shughuli.yeyote ya kuwaingizia kipato ndio maana jambo la kwanza wameona waanzie kutafuta hela ya kula
moja kati ya ulowataja anabugia spirit na nyama kama hana akili nzur, na huyo mwingine ana beti kama kichaa dah,

sipati picha ufujaji wa pesa utakuaje 🐒
 
Hivi huna kazi ya kufanya ndugu?,mana kila siku lazima uwamke na chadema yani unaipa umaarufu usiwo wa lazima.
we unayo gentleman,
maana naona unanifatilia kila siku kwa karibu sana na huna hoja, mawazo mapya wala fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani,

umekunywa chai kweli angalau ushushe makasiriko kidogo?🐒
 
Endelea kudhani, nadhani nitakuunga mkono.
Gentleman,
hakuna haja ya kuunga mkono,

ukielewa ukweli tu inatosha, nao ukweli utakuweka huru wewe na familia yako, na kabisaa mtaondokana na utapeli wa aina yoyote wa vibaka wa siasa nchini 🐒
 
Huyu tilatila ni mjinga kupitiliza ni memkwa hawezi kushindana na haki
sasa ndungu muerevu,
mbona una mihemko tu, na huna mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani?

si labda ungepata chai kwanza ikusisimue fikra kidogo 🐒
 
sasa ndungu muerevu,
mbona una mihemko tu, na huna mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani?

si labda ungepata chai kwanza ikusisimue fikra kidogo 🐒
Sasa wewe kuchagua mgombea chumbani ni katiba gani ya chama,m??hivi wewe uchaguzi wa chadema uliona una kasoro gani,??ata kama umehongwa,??
 
Sasa wewe kuchagua mgombea chumbani ni katiba gani ya chama,m??hivi wewe uchaguzi wa chadema uliona una kasoro gani,??ata kama umehongwa,??
kwani gentleman,
aliekua analalamika na kubwekabweka kwamba katiba ya Chadema ni mbovu ni nani?

Mbona hakusema no reform no elections?
Hivi hiyo katiba imesharekebishwa?

au ndio ile nyani haoni kundule, huoni ya wengine tu?

kwanza umeelewa hoja mahususi vizur gentleman au kama kawaida kukurupuka?🐒
 
Back
Top Bottom