Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Wadau nmeikuta tena hii sehemu. Ina maana Hersi anashindwa kupenetrate kule ndani kuipandisha Yanga? Yaani Simba wapo Shirikisho. Bado wanapigiwa promo na kukuzwa kila sehemu? Why? Kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwa Simba ni €2..au €12...?Wadau nmeikuta tena hii sehemu. Ina maana Hersi anashindwa kupenetrate kule ndani kuipandisha Yanga? Yaani Simba wapo Shirikisho. Bado wanapigiwa promo na kukuzwa kila sehemu? Why? Kwa nini?
View attachment 3215643
Ni kalikuleta.Wazee wa Calculator
Haa Hao Wa Nyuma Mwikongara23 na Auto-Marvelt njooni mtueleze. twende na ipi CAF au IFFHS?
Hapo hajatokea mtu wa kumwaga minoti kumzidi Mo.Ila sisi aisee, thamani ndogoooo ila tunakalisha mitimu yenye noti
Hata wadhamini tu sijui hawaoni wapi adidas na majamaa wengine wenye mihelaHapo hajatokea mtu wa kumwaga minoti kumzidi Mo.
Si ndio sasaHata wadhamini tu sijui hawaoni wapi adidas na majamaa wengine wenye mihela
Nyie si mna Rais wa Virabu sijui takataka gani afrikaWadau nmeikuta tena hii sehemu. Ina maana Hersi anashindwa kupenetrate kule ndani kuipandisha Yanga? Yaani Simba wapo Shirikisho. Bado wanapigiwa promo na kukuzwa kila sehemu? Why? Kwa nini?
View attachment 3215643
Hujaongopa .....yupo kwa maslahi yake...