Single_Father
JF-Expert Member
- Jan 23, 2025
- 281
- 438
Wao wanabaki na Gusa achia twende kwao.Hujaongopa .....yupo kwa maslahi yake...
By the way hana la kufanya maana mpira ni takwimu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wanabaki na Gusa achia twende kwao.Hujaongopa .....yupo kwa maslahi yake...
By the way hana la kufanya maana mpira ni takwimu..
Mimi nijuavyo wanaopandishwa ni wale ng'ombe wa kufugwa kwa ajili ya uzazi🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿😂Wadau nmeikuta tena hii sehemu. Ina maana Hersi anashindwa kupenetrate kule ndani kuipandisha Yanga? Yaani Simba wapo Shirikisho. Bado wanapigiwa promo na kukuzwa kila sehemu? Why? Kwa nini?
View attachment 3215643
Timu mbili tu hapo hazijafungwa na simbaWadau nmeikuta tena hii sehemu. Ina maana Hersi anashindwa kupenetrate kule ndani kuipandisha Yanga? Yaani Simba wapo Shirikisho. Bado wanapigiwa promo na kukuzwa kila sehemu? Why? Kwa nini?
View attachment 3215643
Maana kichaka kitakua kimechanua vibaya mnoo...kwa mbolea waliyowekea..hahahahBaada ya kufyeka kichaka wao wakapupuu kumbe wameweka mbolea. Tukifika fainali CACC ndio itawachukua miaka5 kufyeka kichaka
🤣🤣 CAF wanaangalia mashindano mawili tu, CAF champions Leagu na CAF Confederation cupngara23 na Auto-Marvelt njooni mtueleze. twende na ipi CAF au IFFHS?