Hiyo riport imeandaliwa siyo ya itwala wa samia. Ukiisoma kwa undani ni utawala wa jpm ndo uliosheheni ufisaidi wa public parastatals. Samia utawala wake uko clean kabisa. After all report siyo confirmatory bali ni queries.View attachment 3046872
Kwa wakati wako katafute ripoti zilizomo humo utaona mpaka mahela ya misaada lakini huduma tu muhimu kwa mbinde
Hayo sasa ndo wabaunge walipaswa kushauri lakini kama waziri asingepaswa kulala wakati huku mtaani watu wanalia hawana sukari. Bashe amewaonea huruma wanyonge kwa vitendo siyo kama.jpm kwa maneno meeeengi vitendo zeroZilikuepo njia nyingi mbadala kuliko njia hiyo ya Uhuni/upigaji. Hukumbuki awamu ya 5 tulitumia njia gani?
Mpo wengi sana siku hizi basi ndugu tusigombane hapa kwa ajili ya wana siasa ila ipo siku yatakukuta tu utajionea pengine kuna kitu unafaidika nachoHiyo riport imeandaliwa siyo ya itwala wa samia. Ukiisoma kwa undani ni utawala wa jpm ndo uliosheheni ufisaidi wa public parastatals. Samia utawala wake uko clean kabisa. After all report siyo confirmatory bali ni queries.
Inawezekana we mwenyewe umehadithiwa kilichomo ndani. Hujachukua mda kusoma hzo queries zote.
Una uhakika au na wewe umeambiwa? Na hii ina uhusiano gani na hili?Kuna mtu kanieleza kwamba Mpina ana laana, kwamba aliwahi kumpiga mama yake mzazi akamuumiza mpaka akalazwa
Sawa simama na fisadi mwenzioHATUDANGANYIKI. Tunasimaama na Mpina.
Hasa TzSiasa za Africa zinakera sana
Sawa BasheWadau nadhani mmemjua vizuri sasa Mpina. Siku zote anastrugle kuungusha utawala wa samia. Kumbe ile skendo yake na bashe ni ili ahakikishe sukari inaadimika mtaani halafu wananchi wailaumu serikali.
Jana nimesikia wakulima au wazalishaji wa sukari wakilalamika eti sukari sasa hivi imejaa kwenye maghara ya serikali na hivyo wanataka kumpeleka bashe mahakamani kwa nini sukari imejaa wakati walitegemea iwe chache ili wauze bei juu.
Hongera bashe you have stood to you toes and won the battle.
Ina uhusiano, mtu mwenye laana huwa anafanya mambo ya hovyoUna uhakika au na wewe umeambiwa? Na hii ina uhusiano gani na hili?
Wananchi wanasema sukari ya ndani imejaa store na kuna sukari kibao kutoka nje ndiyo inayouzika sokoni kwa sasaWadau nadhani mmemjua vizuri sasa Mpina. Siku zote anastrugle kuungusha utawala wa samia. Kumbe ile skendo yake na bashe ni ili ahakikishe sukari inaadimika mtaani halafu wananchi wailaumu serikali.
Jana nimesikia wakulima au wazalishaji wa sukari wakilalamika eti sukari sasa hivi imejaa kwenye maghara ya serikali na hivyo wanataka kumpeleka bashe mahakamani kwa nini sukari imejaa wakati walitegemea iwe chache ili wauze bei juu.
Hongera bashe you have stood to you toes and won the battle.
Wafanyabiashara waliificha kucreate scarcity sasa bashe akaona isiwe taabu akaagiza nje sasa wamechanganyikiwa ndo mana mpina anatumiwa na mama kamshtukiaWananchi wanasema sukari ya ndani imejaa store na kuna sukari kibao kutoka nje ndiyo inayouzika sokoni kwa sasa
Unatumia nini kusikiliza
UmetumwaWadau nadhani mmemjua vizuri sasa Mpina. Siku zote anastrugle kuungusha utawala wa samia. Kumbe ile skendo yake na bashe ni ili ahakikishe sukari inaadimika mtaani halafu wananchi wailaumu serikali.
Jana nimesikia wakulima au wazalishaji wa sukari wakilalamika eti sukari sasa hivi imejaa kwenye maghara ya serikali na hivyo wanataka kumpeleka bashe mahakamani kwa nini sukari imejaa wakati walitegemea iwe chache ili wauze bei juu.
Hongera bashe you have stood to you toes and won the battle.
Heri yeye kampiga tu!! Tunasikia wewe ulimuingilia wa kwakoKuna mtu kanieleza kwamba Mpina ana laana, kwamba aliwahi kumpiga mama yake mzazi akamuumiza mpaka akalazwa
Mpina anatumiwa na naniWafanyabiashara waliificha kucreate scarcity sasa bashe akaona isiwe taabu akaagiza nje sasa wamechanganyikiwa ndo mana mpina anatumiwa na mama kamshtukia
Napenda mnavyokimudu kiingereza.Bashe amelisolve kisomi sana. Kama wafanyabiashara waliificha na kicreaty deficity ulitaka bashe awachekee. Big up bashe
Mbona mpina sasa anenda kuninginizwa mahakani!!Mpina anatumiwa na nani
Au serikali ndiyo haina mipango
Kanuni za bunge zimemtaka mpina athibitishe uwongo wa waziri na kimbelembele cha spika kujifanya much know ndiyo kimefanya mambo yakae hadharani
Wanataka ugomvi na wanajua madhaifu yao wangeachana na mpina pale bungeni haya yote yasingetokea
Hakuna anayemtumia mpina
NoUmetumwa
Hayo mambo ni Personal unayaletaje humu? 😳Kuna mtu kanieleza kwamba Mpina ana laana, kwamba aliwahi kumpiga mama yake mzazi akamuumiza mpaka akalazwa
Idiot !!! foolishHiyo riport imeandaliwa siyo ya itwala wa samia. Ukiisoma kwa undani ni utawala wa jpm ndo uliosheheni ufisaidi wa public parastatals. Samia utawala wake uko clean kabisa. After all report siyo confirmatory bali ni queries.
Inawezekana we mwenyewe umehadithiwa kilichomo ndani. Hujachukua mda kusoma hzo queries zote.