lengo lake ni kupata wafuasi ma inzi kama wewe.Ndipo hapo Tume hiyo ilitakiwa kuchunguza, ni kwa nini kijana huyo Hamza, awa-target maaskari na kuwaacha raia wa kawaida bila kuwadhuru??
That is the main question, which needs to be answered
vijana wa ufipa wanachojua ni kushiba mihogo ya 500 na bando za mb 50 kuja kuandika upuuzi jf na twitter.Huyo anatofauti gani na wale wa kibiti? Wale nao si walikuwa wakiua askari peke yake. Video zinamuonesha akitamka maneno ya kujitoa kufa kwa ajili ya Mungu.
Tusilete mzaha na kuleta siasa kwenye mambo ya hatari kama hayo.
kuna wapumbavu wanataka kulichukulia hili swala kama gear yao ya kisiasa.kwamba polisi waliuawa wakifanya dhulma.Kama POLISI Walikuwa WANATUHUMIWA na HAMZA Je ulitarajia POLISI waseme HAMZA ni RAIA MWEMA?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Shinier hedi
Hao mapolisi wanakuaga mabingwa kubaini intelejensia Katika vikao vya Chadema pekee😁🤣Yaani wamejua ni gaidi baada ya kufa. Lakini intelijensia yao haikujua wakati yu hai, akawa na bunduki binafsi, na akawa mfuasi mzuri wa chama tawala.
Kama haya yote hawakuyajua kabla kuwa ni gaidi, wanatia mashaka sn juu ya usalama wet kama nchi kung'amua wahalifu kabla ya kufanya madhara. Intelijensia huwa inakuwa vzr kwenye mikutano ya vyama vya upinzani tu lakini sio kwenye watu wengine hasa wenye unasaba na ccm. Ni aibu kubwa sn
Tanzania nasemaga kila kukicha lazima tuwe na chombo huru cha kuchunguza taasisi kama polisi ect, nchi nyingi zinazo hata Kenya mfano mzuri ni kwa sababu ilifikia kipindi kama hichi hichi cha kesi za ngedere unampelekea nyani lazima aone wivu au kesi ya mbuzi unampelekea fisi lazima amle.Hivi karibuni kulitokea tukio la kustua na kutisha Sana, ambapo kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, alipofika kituo cha Selander Bridge na kuwafyatulia risasi kwa kutumia bastola yake na kuwaua askari 2 na kuchukua "machine gun" yao na kuanza kuwasaka Polisi popote pale walipo na kuwafyatulia risasi huku akiwaacha raia wa kawaida bila kuwadhuru!
Mara moja iliundwa Tume ya kuchunguza mauaji hayo, iliyoundwa na askari watupu, ambapo naweza kuelezea kuwa kilichofanyika ni sawaswa na kesi ya ngedere kula mahindi umpelekee nyani kuchunguza!
Matokeo ya Tume hiyo iyoundwa ndiyo Iliyonishangaza zaidi.
Eti wanadai kuwa Hamza alikuwa gaidi ambaye alishirikiana na vikundi vya kigaidi vya Al- Shabab na ISIS Katika kutekeleza ugaidi wake!
Hata hivyo wanafamilia wake, wameshangazwa na ripoti hiyo iliyotolewa, kwani kwa namna wanavyomfahamu wao, wanaamini kuwa kijana wao hakuwa gaidi hata kidogo.
Kuna maswali ambayo ninataka kuwahoji hao mapolisi waliofanya uchunguzi wao na kuja na matokeo hayo ya upelelezi wao.
Swali la kwanza, ni kwanini Hamza aliwa-target maaskari pekee, na kuwaacha raia bila kuwadhuru?
Swali la pili, kumkabidhi raia yeyote silaha ya kujilinda, inafuatia "process" ndefu ambapo wao Polisi hadi wajiridhishe kuwa raia wanayempa silaha ya kujihami, hataleta madhara kwa raia wengine, je hiyo "process" ilifanyika Katika kumkabidhi silaha hiyo Hamza?
Swali la tatu, kama kweli Hamza alikuwa gaidi, ni kwanini intelejensia yao mapolisi hsikufanya kazi, hadi wakampa pistol "gaidi" huyo ili awadhuru watu wengine?
Swali la nne, huyo "gaidi" Hamza alifikia hatua ya kuwa mjumbe wa mikutano mkuu wa CCM wa Jimbo la Ilala, ni kwanini chama hicho cha CCM kisifutwe kwenye orodha ya vyama vya siasa nchini, kutokana na kuwalea magaidi?
Swali la tano, kwa kawaida Tume za aina hiyo ni lazima zieleze historia ya mtu huyo waliyemchunguza, ni kwanini Tume hii iliyoundwa haikutueleza historia ya ugaidi wake huyo kijana Hamza?
Kulifanyia "mzaha" suala zito kama hilo la ugaidi, ambalo linawatesa Sana nchi nyinginezo ni hatari Sana kwa mustakabari wa Taifa hili.
Nitoe wito wa kuundwa kwa Tume mpya itakayokuwa huru, itakayohusisha makundi mbalimbali Katika jamii yetu, kama vile majaji wastaafu na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa, ili tuweze kupata ripoti huru ya uchunguzi bila kuegemea upande wowote.
Ile ulitengenezea mbona imekuja kutoka siku zimeenda na pia mtu anayeongea haonekani."Sirro unaua waislam,lakini sisi vijana tunaomtetea Allah bado tupo(huku akijipiga piga kifua)" Aliskika Hamza!!
Lazima kutakuwa kulikuwepo biaseness ya kutosha kabisa.haiwezekani uniulie wanangu afu nifanye uchunguzi mwenyewe lazima nitamtumia jamaa tuhuma kuwa alikuwa ni gaidi ama ni tapeliHivi karibuni kulitokea tukio la kustua na kutisha Sana, ambapo kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, alipofika kituo cha Selander Bridge na kuwafyatulia risasi kwa kutumia bastola yake na kuwaua askari 2 na kuchukua "machine gun" yao na kuanza kuwasaka Polisi popote pale walipo na kuwafyatulia risasi huku akiwaacha raia wa kawaida bila kuwadhuru!
Mara moja iliundwa Tume ya kuchunguza mauaji hayo, iliyoundwa na askari watupu, ambapo naweza kuelezea kuwa kilichofanyika ni sawaswa na kesi ya ngedere kula mahindi umpelekee nyani kuchunguza!
Matokeo ya Tume hiyo iyoundwa ndiyo Iliyonishangaza zaidi.
Eti wanadai kuwa Hamza alikuwa gaidi ambaye alishirikiana na vikundi vya kigaidi vya Al- Shabab na ISIS Katika kutekeleza ugaidi wake!
Hata hivyo wanafamilia wake, wameshangazwa na ripoti hiyo iliyotolewa, kwani kwa namna wanavyomfahamu wao, wanaamini kuwa kijana wao hakuwa gaidi hata kidogo.
Kuna maswali ambayo ninataka kuwahoji hao mapolisi waliofanya uchunguzi wao na kuja na matokeo hayo ya upelelezi wao.
Swali la kwanza, ni kwanini Hamza aliwa-target maaskari pekee, na kuwaacha raia bila kuwadhuru?
Swali la pili, kumkabidhi raia yeyote silaha ya kujilinda, inafuatia "process" ndefu ambapo wao Polisi hadi wajiridhishe kuwa raia wanayempa silaha ya kujihami, hataleta madhara kwa raia wengine, je hiyo "process" ilifanyika Katika kumkabidhi silaha hiyo Hamza?
Swali la tatu, kama kweli Hamza alikuwa gaidi, ni kwanini intelejensia yao mapolisi hsikufanya kazi, hadi wakampa pistol "gaidi" huyo ili awadhuru watu wengine?
Swali la nne, huyo "gaidi" Hamza alifikia hatua ya kuwa mjumbe wa mikutano mkuu wa CCM wa Jimbo la Ilala, ni kwanini chama hicho cha CCM kisifutwe kwenye orodha ya vyama vya siasa nchini, kutokana na kuwalea magaidi?
Swali la tano, kwa kawaida Tume za aina hiyo ni lazima zieleze historia ya mtu huyo waliyemchunguza, ni kwanini Tume hii iliyoundwa haikutueleza historia ya ugaidi wake huyo kijana Hamza?
Kulifanyia "mzaha" suala zito kama hilo la ugaidi, ambalo linawatesa Sana nchi nyinginezo ni hatari Sana kwa mustakabari wa Taifa hili.
Nitoe wito wa kuundwa kwa Tume mpya itakayokuwa huru, itakayohusisha makundi mbalimbali Katika jamii yetu, kama vile majaji wastaafu na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa, ili tuweze kupata ripoti huru ya uchunguzi bila kuegemea upande wowote.
Ili kuondokana na makandokando na minong'ono hili jambo lilihitaji tume huru ya kiuchunguzi maana POL nao walikuwa wanatuhumiwa kwa namna moja ama nyingine.Hivi karibuni kulitokea tukio la kustua na kutisha Sana, ambapo kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, alipofika kituo cha Selander Bridge na kuwafyatulia risasi kwa kutumia bastola yake na kuwaua askari 2 na kuchukua "machine gun" yao na kuanza kuwasaka Polisi popote pale walipo na kuwafyatulia risasi huku akiwaacha raia wa kawaida bila kuwadhuru!
Mara moja iliundwa Tume ya kuchunguza mauaji hayo, iliyoundwa na askari watupu, ambapo naweza kuelezea kuwa kilichofanyika ni sawaswa na kesi ya ngedere kula mahindi umpelekee nyani kuchunguza!
Matokeo ya Tume hiyo iyoundwa ndiyo Iliyonishangaza zaidi.
Eti wanadai kuwa Hamza alikuwa gaidi ambaye alishirikiana na vikundi vya kigaidi vya Al- Shabab na ISIS Katika kutekeleza ugaidi wake!
Hata hivyo wanafamilia wake, wameshangazwa na ripoti hiyo iliyotolewa, kwani kwa namna wanavyomfahamu wao, wanaamini kuwa kijana wao hakuwa gaidi hata kidogo.
Kuna maswali ambayo ninataka kuwahoji hao mapolisi waliofanya uchunguzi wao na kuja na matokeo hayo ya upelelezi wao.
Swali la kwanza, ni kwanini Hamza aliwa-target maaskari pekee, na kuwaacha raia bila kuwadhuru?
Swali la pili, kumkabidhi raia yeyote silaha ya kujilinda, inafuatia "process" ndefu ambapo wao Polisi hadi wajiridhishe kuwa raia wanayempa silaha ya kujihami, hataleta madhara kwa raia wengine, je hiyo "process" ilifanyika Katika kumkabidhi silaha hiyo Hamza?
Swali la tatu, kama kweli Hamza alikuwa gaidi, ni kwanini intelejensia yao mapolisi hsikufanya kazi, hadi wakampa pistol "gaidi" huyo ili awadhuru watu wengine?
Swali la nne, huyo "gaidi" Hamza alifikia hatua ya kuwa mjumbe wa mikutano mkuu wa CCM wa Jimbo la Ilala, ni kwanini chama hicho cha CCM kisifutwe kwenye orodha ya vyama vya siasa nchini, kutokana na kuwalea magaidi?
Swali la tano, kwa kawaida Tume za aina hiyo ni lazima zieleze historia ya mtu huyo waliyemchunguza, ni kwanini Tume hii iliyoundwa haikutueleza historia ya ugaidi wake huyo kijana Hamza?
Kulifanyia "mzaha" suala zito kama hilo la ugaidi, ambalo linawatesa Sana nchi nyinginezo ni hatari Sana kwa mustakabari wa Taifa hili.
Nitoe wito wa kuundwa kwa Tume mpya itakayokuwa huru, itakayohusisha makundi mbalimbali Katika jamii yetu, kama vile majaji wastaafu na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa, ili tuweze kupata ripoti huru ya uchunguzi bila kuegemea upande wowote.
mkorintokuna wapumbavu wanataka kulichukulia hili swala kama gear yao ya kisiasa.kwamba polisi waliuawa wakifanya dhulma.
huu upumbavu hauna mbolea,na unapokelewa na wajinga wajinga tu wanaoamini katika mambo yanayofanana na hayo kwamba hamza alikua na madini na hela.
Labda walikuwa sahihi huwezi jua kwani hata sir baya general magirini sijamwelewa mpaka leo.Hivi karibuni kulitokea tukio la kustua na kutisha Sana, ambapo kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, alipofika kituo cha Selander Bridge na kuwafyatulia risasi kwa kutumia bastola yake na kuwaua askari 2 na kuchukua "machine gun" yao na kuanza kuwasaka Polisi popote pale walipo na kuwafyatulia risasi huku akiwaacha raia wa kawaida bila kuwadhuru!
Mara moja iliundwa Tume ya kuchunguza mauaji hayo, iliyoundwa na askari watupu, ambapo naweza kuelezea kuwa kilichofanyika ni sawaswa na kesi ya ngedere kula mahindi umpelekee nyani kuchunguza!
Matokeo ya Tume hiyo iyoundwa ndiyo Iliyonishangaza zaidi.
Eti wanadai kuwa Hamza alikuwa gaidi ambaye alishirikiana na vikundi vya kigaidi vya Al- Shabab na ISIS Katika kutekeleza ugaidi wake!
Hata hivyo wanafamilia wake, wameshangazwa na ripoti hiyo iliyotolewa, kwani kwa namna wanavyomfahamu wao, wanaamini kuwa kijana wao hakuwa gaidi hata kidogo.
Kuna maswali ambayo ninataka kuwahoji hao mapolisi waliofanya uchunguzi wao na kuja na matokeo hayo ya upelelezi wao.
Swali la kwanza, ni kwanini Hamza aliwa-target maaskari pekee, na kuwaacha raia bila kuwadhuru?
Swali la pili, kumkabidhi raia yeyote silaha ya kujilinda, inafuatia "process" ndefu ambapo wao Polisi hadi wajiridhishe kuwa raia wanayempa silaha ya kujihami, hataleta madhara kwa raia wengine, je hiyo "process" ilifanyika Katika kumkabidhi silaha hiyo Hamza?
Swali la tatu, kama kweli Hamza alikuwa gaidi, ni kwanini intelejensia yao mapolisi hsikufanya kazi, hadi wakampa pistol "gaidi" huyo ili awadhuru watu wengine?
Swali la nne, huyo "gaidi" Hamza alifikia hatua ya kuwa mjumbe wa mikutano mkuu wa CCM wa Jimbo la Ilala, ni kwanini chama hicho cha CCM kisifutwe kwenye orodha ya vyama vya siasa nchini, kutokana na kuwalea magaidi?
Swali la tano, kwa kawaida Tume za aina hiyo ni lazima zieleze historia ya mtu huyo waliyemchunguza, ni kwanini Tume hii iliyoundwa haikutueleza historia ya ugaidi wake huyo kijana Hamza?
Kulifanyia "mzaha" suala zito kama hilo la ugaidi, ambalo linawatesa Sana nchi nyinginezo ni hatari Sana kwa mustakabari wa Taifa hili.
Nitoe wito wa kuundwa kwa Tume mpya itakayokuwa huru, itakayohusisha makundi mbalimbali Katika jamii yetu, kama vile majaji wastaafu na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa, ili tuweze kupata ripoti huru ya uchunguzi bila kuegemea upande wowote.
We lofa sana, umeambiwa alichukua SMG zao, sio yao, pili, kuna clip inatrend mtandaoni Hamza akiimba na kuisifia dola ya kiislam inaonekana ni ndani ya chumba chake na anaimba kwa harakaharaka na kuonyesha bastola yake yenye megazini ya akiba iliyojaa risasi, na wakati huo alipohisi mlango unagongwa haraka akaficha silaha na simu, hicho ni kiashiria kwamba alikuwa kwenye mtandao wa Radicalization ambao mtu anajifunza ujinga huo through mtandao bila hata kuihusisha wala familia yake kujua. Ni mambo yanayoendelea sana kwa sasa kwa baadhi ya vijana, sasa sio ulete vimaswali vyako vya kipuuzi, eti kwa nini alianza na askari, kwa taarifa yako wale magaidi adui wao wa kwanza ni askari, wakishamaliza askari ndio wanakuja nyumbani kwako kukusilimisha sasa na kuamriwa ujiunge, sasa we kataa utawauliza wa Msumbiji, mwanzo walifurahi askari kuuawa wakadhani wanaokuja ni wakombozi wao kumbe ndio waliposhuhudia jinsi utumbo wa binadamu unavyokaa tumboni akiwa hai, acha kabisa habari za siasa kwenye mambo haya usioyajua we dogo.Hivi karibuni kulitokea tukio la kustua na kutisha Sana, ambapo kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, alipofika kituo cha Selander Bridge na kuwafyatulia risasi kwa kutumia bastola yake na kuwaua askari 2 na kuchukua "machine gun" yao na kuanza kuwasaka Polisi popote pale walipo na kuwafyatulia risasi huku akiwaacha raia wa kawaida bila kuwadhuru!
Mara moja iliundwa Tume ya kuchunguza mauaji hayo, iliyoundwa na askari watupu, ambapo naweza kuelezea kuwa kilichofanyika ni sawaswa na kesi ya ngedere kula mahindi umpelekee nyani kuchunguza!
Matokeo ya Tume hiyo iyoundwa ndiyo Iliyonishangaza zaidi.
Eti wanadai kuwa Hamza alikuwa gaidi ambaye alishirikiana na vikundi vya kigaidi vya Al- Shabab na ISIS Katika kutekeleza ugaidi wake!
Hata hivyo wanafamilia wake, wameshangazwa na ripoti hiyo iliyotolewa, kwani kwa namna wanavyomfahamu wao, wanaamini kuwa kijana wao hakuwa gaidi hata kidogo.
Kuna maswali ambayo ninataka kuwahoji hao mapolisi waliofanya uchunguzi wao na kuja na matokeo hayo ya upelelezi wao.
Swali la kwanza, ni kwanini Hamza aliwa-target maaskari pekee, na kuwaacha raia bila kuwadhuru?
Swali la pili, kumkabidhi raia yeyote silaha ya kujilinda, inafuatia "process" ndefu ambapo wao Polisi hadi wajiridhishe kuwa raia wanayempa silaha ya kujihami, hataleta madhara kwa raia wengine, je hiyo "process" ilifanyika Katika kumkabidhi silaha hiyo Hamza?
Swali la tatu, kama kweli Hamza alikuwa gaidi, ni kwanini intelejensia yao mapolisi hsikufanya kazi, hadi wakampa pistol "gaidi" huyo ili awadhuru watu wengine?
Swali la nne, huyo "gaidi" Hamza alifikia hatua ya kuwa mjumbe wa mikutano mkuu wa CCM wa Jimbo la Ilala, ni kwanini chama hicho cha CCM kisifutwe kwenye orodha ya vyama vya siasa nchini, kutokana na kuwalea magaidi?
Swali la tano, kwa kawaida Tume za aina hiyo ni lazima zieleze historia ya mtu huyo waliyemchunguza, ni kwanini Tume hii iliyoundwa haikutueleza historia ya ugaidi wake huyo kijana Hamza?
Kulifanyia "mzaha" suala zito kama hilo la ugaidi, ambalo linawatesa Sana nchi nyinginezo ni hatari Sana kwa mustakabari wa Taifa hili.
Nitoe wito wa kuundwa kwa Tume mpya itakayokuwa huru, itakayohusisha makundi mbalimbali Katika jamii yetu, kama vile majaji wastaafu na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa, ili tuweze kupata ripoti huru ya uchunguzi bila kuegemea upande wowote.
We vipi, si umeshaambiwa anatetea uislam!!Ndipo hapo Tume hiyo ilitakiwa kuchunguza, ni kwa nini kijana huyo Hamza, awa-target maaskari na kuwaacha raia wa kawaida bila kuwadhuru??
That is the main question, which needs to be answered
So what? hata Osama alilitumikia sana taifa la Marekani kama kachero na askari mtiifucha kusahangaza Gaidi huyu Hayati Alhaji Hamza aliwapa CCM million 200 kwenye uchaguzi wa 2020.