Nadhani tulikosea kuwakabidhi Jeshi la Polisi kuchunguza tukio la mauaji ya Hamza

Umeandika mautopolo mareefu pumba tupu. Tukio limerekodiwa mwanzo mwisho live anaonekana anavyoshambulia na kujihami na.anasikika.akiongea wazi wazi.dhamira yake.kuwa.anafanya hivyo kwa ajili.ya.dini yake hao wachunguzi ulitaka waje na jibu gani. nadhani wewe mtoa mada una imani sawa na huyo gaidi na unaona alichokifanya kuua watu wasio na hatia waziwazi kwako ni sawa?
 
Hili Jambo Ni Kama Lile La Abdallah Zombe
Yaani Wajichunguze Wenyewe Halafu Wajikaange
Subiri Labda Sakata La Handeni La Police Kushika Nyeti Za Watu Nalo Ujanjaujanja Mwingi
Watasema Hakuna Lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…