Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,715
- 8,058
Habari wana JF
Nadhani tuna haja ya kujadili mambo ambayo wasanii wetu wanayafanya ambayo kwa kiasi kikubwa yanaharibu utamaduni wetu na yatapelekea vizazi vijavyo viyaone ni ya kawaida.
Nyakati wa uvaaji wa mlegezo (kata K) watu walipinga sana na kusema ni uharibifu wa tamaduni zetu
Baadae ukaja mtindo wa kusuka kwa wanaume, kukawa na lawamaa za kupinga na sasa limekuwa jambo la kawaida.
Ukaja mtindo wa kuvaa hereni kwa wanaume na nguo fupi kwa wadada na sasa limeonekana la kawaida, ukaja mtindo wa kuvaa nguo za kubana na kuonyesha mauongo kwa vijana wakiume na wakike nalo limeonekana la kawaida...na sasa uvaaji wa vikuku kwa wanaume nalo litaonekana la kawaida baadae.
Tutakuwa na jamii ya aina gani?.
Haya yote yanapitia kwa wasanii na wengine wanaiga....
Tunadhani tunawezaje kupambana na upotofu huu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tuna haja ya kujadili mambo ambayo wasanii wetu wanayafanya ambayo kwa kiasi kikubwa yanaharibu utamaduni wetu na yatapelekea vizazi vijavyo viyaone ni ya kawaida.
Nyakati wa uvaaji wa mlegezo (kata K) watu walipinga sana na kusema ni uharibifu wa tamaduni zetu
Baadae ukaja mtindo wa kusuka kwa wanaume, kukawa na lawamaa za kupinga na sasa limekuwa jambo la kawaida.
Ukaja mtindo wa kuvaa hereni kwa wanaume na nguo fupi kwa wadada na sasa limeonekana la kawaida, ukaja mtindo wa kuvaa nguo za kubana na kuonyesha mauongo kwa vijana wakiume na wakike nalo limeonekana la kawaida...na sasa uvaaji wa vikuku kwa wanaume nalo litaonekana la kawaida baadae.
Tutakuwa na jamii ya aina gani?.
Haya yote yanapitia kwa wasanii na wengine wanaiga....
Tunadhani tunawezaje kupambana na upotofu huu?
Sent using Jamii Forums mobile app