Nadhani tunahitaji vyuo vingi vya Ufundi stadi

Nadhani tunahitaji vyuo vingi vya Ufundi stadi

huo ulikuwa mpango wa Magufuli, waziri mkuu Majaliwa alianzisha kitu kinaitwa kurasimisha vyeti ambapo zilikuwa zinatoka nafasi kwa vijana wenye ujuzi mbalimbali lakini hawakupitia shule wanapata nafasi ya kusoma VETA kwa muda wa miezi 6 na kupewa vyeti.
pia JPM alikuwa na mkakati wa kujenga VETA kila kata kwa ajili ya vijana wengi kupata elimu ya ufundi.
aah! unamzungumzia yule jizi
 
Mnh Mkuu yaani watu wawe na skills na umaskini uongezeke, haiji kabisaa, na hapa namaanisha ni hilo kundi vulnerable na ambalo halina ajira ndio ambao wawe targeted, na sio wanafunzi walioko vyuoni kwa sasa,. soma hii topic tena kabla ya ku comment,
Nimeongezea tu vijana wote wapewe skills wasiachwe njiapanda.
Vijana wote wakiwa na ujuzi huwezi kuta panyaroad mtaani.
 
Ndio maana Samia katika bajeti ya mwaka huu ametenga Billion 100 kujenga vyuo vya ufundi katika Wilaya ambazo hazina vyuo hivyo. Lengo lake ni kujenga vyuo vya ufundi katika Wilaya zote Tanzania. Halafu kujenga vyuo vya ufundi kitaifa kwa ajili ya highly and rare skills, vikipokea wanafunzi kutoka kwenye hivyo vyuo vya chini. Lakini pia ujenzi wa chuo kikuu cha TEHAMA kitachichoe ubunifu unaotakiwa katika Dunia ya leo.

Walau wanawake mmekuwa "considerate" kwenye maendeleo ya kweli kea watanzania.

Ameanza vizuri, Mdogo KILA mwaka akitenga bajeti ndani ya miaka KILA kata itakuwa na veta.
 
Serikali ingepunguza au iache mpango wa kutoa mikopo kwa elimu ya juu. Bora hizo pesa ijenge Veta KILA kata na iwakopeshe vijana ujuzi. Vijana wapate ujuzi kwa kujisajiri kwa kuwa na NIDA na TIN number hapa ni rahisi kufatilia pesa za mikopo ya elimu kwa maana tayari upo kwenye mfumo huwezi kimbia. Mkopo mnautoa kwa mhitimu mmoja wa chuo ambae akimaliza chuo ataishia kuwa machinga au bodaboda ungetosha kuwapa ujuzi vijana 30,mtu akiwa na ujuzi skills hawezi kuwa masikini atachochea uchumi kuliko hii ya kukopesha wanafunzi wa vyuo pesa wakimaliza vyuo uishia kuwa machinga.
How come unatumia miaka 20 darasani then unakuja kuwa machinga au bodaboda kwa sababu Hakuna mfumo wa kuwaajiri wahitimu nini hii si ni upumbavu huu, kwann usimalize tu la saba uwe bodaboda kuliko kupoteza mda mashuleni.
 
Serikali ingepunguza au iache mpango wa kutoa mikopo kwa elimu ya juu. Bora hizo pesa ijenge Veta KILA kata na iwakopeshe vijana ujuzi. Vijana wapate ujuzi kwa kujisajiri kwa kuwa na NIDA na TIN number hapa ni rahisi kufatilia pesa za mikopo ya elimu kwa maana tayari upo kwenye mfumo huwezi kimbia. Mkopo mnautoa kwa mhitimu mmoja wa chuo ambae akimaliza chuo ataishia kuwa machinga au bodaboda ungetosha kuwapa ujuzi vijana 30,mtu akiwa na ujuzi skills hawezi kuwa masikini atachochea uchumi kuliko hii ya kukopesha wanafunzi wa vyuo pesa wakimaliza vyuo uishia kuwa machinga.
How come unatumia miaka 20 darasani then unakuja kuwa machinga au bodaboda kwa sababu Hakuna mfumo wa kuwaajiri wahitimu nini hii si ni upumbavu huu, kwann usimalize tu la saba uwe bodaboda kuliko kupoteza mda mashuleni.

Nakubaliana na wewe Mkuu, watu wangepewa skills kila mtu akazalisha vizuri then uchumi ukiongezeka hapo baadae labda ndio tufikirie kuongeza ujuzi kwa watu wa juu (vyuo) kwa sasa we need to use the litlle of what we have efficiently kutuvusha kwenda next stage.
 
Kuondoa umasikini katika nchi ni kitu chepesi Sana, sema tu umasikini ni mkakati wa makusudi kabisa unaowanufaisha walamba asali na chama chao kwa msemo wa usiwaamshe waliolala mtalala nyie.
Ili wao wazidi kuishi ni lzm umasikini Uwepo.Thus utumia mifumo kama kodi,tozo,makatazo,nk kuwabana watu wasimudu kujikwamua.
 
upo sawa kabisa.
Ila bure bure hapana inatakiwa achangie iliajue thamani ya elimu anayoipata. Maana kama anakihitaji atachukulia serious, ila hii oya oya hapana.
Mfano uliowazi saa hivi kuna NGO (kanda ya ziwa) naona zina-finance kwa ma-housegals na house boys kupata mafunzo katika vyuo vya kati FDC.
Ila chakushangaza wengi nawaona wanaenda ilimladi tu, kwa sababu fursa imejileta wanaona fresh tu kwani nini.
Hata mi mwenyewe nikipewa mbususu bure lazima ni shituke.

Umenikumbusha miaka mingi iliyopita Mkuu
Ilikuwa miaka ya 70 nilipokutana na Mzungu mmoja naona yeye alikuwa carpenter by professional ila aliingia naona nchini kama Padre na alikuwa na kanisa na karakana yake

Akawa anasajili wanafunzi kuwafundisha kutengeneza milango, madawati, meza, viti you name it

Hapo vijana watalipa Ada ya kozi hiyo ila sasa Mzee akaniambia Yaani hii kazi nchi hii pekee nalipwa kuwafundisha hapo hapo nauza bidhaa hizi na kupata hela mara 2
Alikuwa ananunua mbao kwetu miaka hiyo

Kweli nimekumbuka old days
Kuna watu wanawaza hela haswa
 
Hello Great Thinkers...

Leo nimefikiria kitu nikaona nikilete ili tujadiliane kwa mapana kwa ajili ya Ustawi wa Nchi yetu...

Nimeona tuwe na hivi Vyuo vya Ufundi Stadi vingi nchini Tanzania...

Viwe vinatoa courses kama Upishi,Ushonaji,Make up,Kupaka rangi Nyumba,Umeme,n.k

Vyuo hivi Ada yake iwe Free

Vyuo viwe kwa ajili ya watu ambao ni Tegemezi kwa sasa, labda circumstances zimewafanya wawe tegemezi...

Utegemezi unakuja kwa sababu tofauti, wazazi kukosa ada zamani ,(sababu mfumo wa kusoma ulikuwa ni wa malipo), kukatiza masomo labda kwa sababu ya mimba, utoro, n.k ni Mambo ambayo yamesababisha watu wasipate Elimu ipasavyo na baadae kupunguza chances zao za kupata kazi/kipato,(secured income),

Magroup yanayokuwa affected zaidi ni yale ya vijana/watoto wanaoishi kwenye Mazingira Magumu,Yatima, Adults walio miss Education Opportunities hapo awali...Na watu ambao wamepoteza ajira zao Rasmi.

Hii inaongeza Vulnerability...

Ili kula na ku survive Makundi haya yanakuwa exploited Financially (labda kazi kwa ujira mdogo),Sexually (harassment,Assault,Rape) etc.

Kupunguza hii Vulnerability,

Serikali ifikirie kutarget hawa watu/hili kundi specific

Kwa kuwapa skills ili wajitegemee.

Wakishakuwa wamejengewa capability na serikali kwa kupewa skills then wataingia rasmi kwenye Uzalishaji.

Uzalishaji ina a sense wanaweza Kujiajiri sasa ama Serikali inaweza kuwapa Ajira sababu tayari watu wana Skills.

Ningependa kuona baada ya kupewa skills na kupata Ajira watu hawa wanalipa kodi, ( I know it sucks yeah,kuona yote inaenda kwa Mafisadi,LOL).

Ila Kodi wanayolipa itumike mostly kwenye Kuendesha vyuo hivi na kidogo ndio iende kwenye Mambo Mengine.

I really think kama kweli Serikali bila Mafisadi inataka kuongeza Tax base na Kupunguza Mzigo kwa Serikali then moja ya vitu vinavyotakiwa Kufanywa ni pamoja na Kuwafanya watu wale Unemployable kuwa Employable. Na moja ya Magroup ambayo yako Unemployable ni haya niliyotaja kwenye hii topic.

Mnaonaje hili wazo??????
Muwe hata mnafuatikia mambo ya serikali,nyie huwa mko busy na nini hasa kiasi kwamba unakuja kukosoa wakati hata hujajipa mda wa kutafuta habari sahihi kabla ya kuja hadharani?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220613-184312.png
    Screenshot_20220613-184312.png
    129.1 KB · Views: 8
Umenikumbusha miaka mingi iliyopita Mkuu
Ilikuwa miaka ya 70 nilipokutana na Mzungu mmoja naona yeye alikuwa carpenter by professional ila aliingia naona nchini kama Padre na alikuwa na kanisa na karakana yake

Akawa anasajili wanafunzi kuwafundisha kutengeneza milango, madawati, meza, viti you name it

Hapo vijana watalipa Ada ya kozi hiyo ila sasa Mzee akaniambia Yaani hii kazi nchi hii pekee nalipwa kuwafundisha hapo hapo nauza bidhaa hizi na kupata hela mara 2
Alikuwa ananunua mbao kwetu miaka hiyo

Kweli nimekumbuka old days
Kuna watu wanawaza hela haswa
Ni upuuzi kuwa na mawazo kama haya.
 
Wazo ni zuri tena zuri sana.

1. Fedha za kujenga, kuendesha hivyo Vyuo zitatoka wapi kabla ya kuanza kutegemea kodi za walisoma ili vianze kujiendesha vyenyewe?

2. Nafasi za Ajira na hata Fursa za Mikopo ya Kujiajiri hutolewa kwa Vigezo vyenye Ubaguzi sana hata Masuala ya Ufundi ni lazima uwe umesomea VETA au NIT pekee.

3. Ni Vigumu sana kuondoa Ufisadi katika Serikali kama ilivyo Ngumu kwa Mama kumuadhibu/ kumuajibisha Mtoto wake kwa Kosa la Kifamilia.

Tuendelee kuwaza kwa Sauti huku tukililia KATIBA MPYA.
Huu ni utoto unaongea..

Haiwezekani kwa nini? Hujasikia Serikali itaondoa matumizi ya magari na pesa zitakazookolewa huko zaidi ya bil.500 kutumika kwenye mikopo ya Wanafunzi wa ufundi na kuviendesha.
 
Muwe hata mnafuatikia mambo ya serikali,nyie huwa mko busy na nini hasa kiasi kwamba unakuja kukosoa wakati hata hujajipa mda wa kutafuta habari sahihi kabla ya kuja hadharani?👇
Sitakagi kukujibu, naomba usiwe unajibu mada zangu please, nahisi unalipwa kuandika upuuzi kwenye forum ya bwana Melo!
 
Sitakagi kukujibu, naomba usiwe unajibu mada zangu please, nahisi unalipwa kuandika upuuzi kwenye forum ya bwana Melo!
Utapata pressure na ulcers kwa upumbavu wako..

Yaani upotoshe afu usijibiwe? Tena una bahati sikuangalia kwamba ni wewe ulianzisha thread ningeanza kwa kukuponda maana una bichwa kubwa harafu umejaza mausaha kichwani.
 
huo ulikuwa mpango wa Magufuli, waziri mkuu Majaliwa alianzisha kitu kinaitwa kurasimisha vyeti ambapo zilikuwa zinatoka nafasi kwa vijana wenye ujuzi mbalimbali lakini hawakupitia shule wanapata nafasi ya kusoma VETA kwa muda wa miezi 6 na kupewa vyeti.
pia JPM alikuwa na mkakati wa kujenga VETA kila kata kwa ajili ya vijana wengi kupata elimu ya ufundi.
Program hii ipo tangia enzi za NVTC kabla hata hilo jina halijabadilishwa kuwa VETA sema wewe ndio ulikuwa haujui.

Lakini kwa miaka ya sasa pamoja na watu kurasimisha ufundi wao au ujuzi bado hawana nafasi ya kuajiriwa iwe serikalini au mashirika binafsi kwa kigezo cha form four, sasa bado tatizo lipo pale pale la kiajira zaidi ni mtu kuwa na karatasi(cheti) ambacho bado hakikusaidii ndani ya nchi yako tofauti na miaka ya NVTC.

Najua utasema teknolojia imebadilika lakini je hionteknolojia sisi kwa mahitaji yetu inazuia watu wenye ujuzi wa kati kutokufanya kazi hizo??

Mfano, udereva,ufundi umeme wa majumbani, mechanics,ufundi bomba, ufundi bodi, useremala je ni kweli sifa hizi zinahitaji sana elimu ya zaidi ya darasa la saba?
Suala la lugha ni muhimu sana kuijua na hili ni la watu wote iwe la saba au chuo kikuu.

Matatizo ya kiajira na kujiajiri nchi hii hayawezi kutatuliwa na hawa wanasiasa ambao ni selfish.
 
Back
Top Bottom