Nadhani tunahitaji vyuo vingi vya Ufundi stadi

Nadhani tunahitaji vyuo vingi vya Ufundi stadi

Utapata pressure na ulcers kwa upumbavu wako..

Yaani upotoshe afu usijibiwe? Tena una bahati sikuangalia kwamba ni wewe ulianzisha thread ningeanza kwa kukuponda maana una bichwa kubwa harafu umejaza mausaha kichwani.

Eti nimepotosha nimepotosha nini mpuuzi wewe, unataka tuanze kuongea upuuzi kama jana, hata kama unalipwa sio kukera wenzio....Mpuuzi wewe
 
Program hii ipo tangia enzi za NVTC kabla hata hilo jina halijabadilishwa kuwa VETA sema wewe ndio ulikuwa haujui.

Lakini kwa miaka ya sasa pamoja na watu kurasimisha ufundi wao au ujuzi bado hawana nafasi ya kuajiriwa iwe serikalini au mashirika binafsi kwa kigezo cha form four, sasa bado tatizo lipo pale pale la kiajira zaidi ni mtu kuwa na karatasi(cheti) ambacho bado hakikusaidii ndani ya nchi yako tofauti na miaka ya NVTC.

Najua utasema teknolojia imebadilika lakini je hionteknolojia sisi kwa mahitaji yetu inazuia watu wenye ujuzi wa kati kutokufanya kazi hizo??

Mfano, udereva,ufundi umeme wa majumbani, mechanics,ufundi bomba, ufundi bodi, useremala je ni kweli sifa hizi zinahitaji sana elimu ya zaidi ya darasa la saba?
Suala la lugha ni muhimu sana kuijua na hili ni la watu wote iwe la saba au chuo kikuu.

Matatizo ya kiajira na kujiajiri nchi hii hayawezi kutatuliwa na hawa wanasiasa ambao ni selfish.
tatizo la ajira limeshakuwa gonjwa ambalo nchi yetu imeshindwa kulitatua. Nimehudhuria hii program ya Waziri mkuu almaarufu PMO lilikuwepo somo la ujasiriamali, serikali ya Magufuli nia yake ni kwamba hawa mafundi baada ya kupata vyeti wanatakiwa wapate tender mbalimbali zinazotolewa na Halmashauri zao na pia waweze kuji organize na kuunda kikundi ambacho wanaweza pewa mkopo wakaanzisha Karakana yao iwe ya Mechanics, Electrical, Tailoring ambapo serikali itakuwa inatoa tender mbalimbali kwao.
Ukiongelea suala la ajira lazma waanzie na cheti cha form 4 ili kupata mtu sahihi na bora zaidi pia kupunguza waombaji
 
Eti nimepotosha nimepotosha nini mpuuzi wewe, unataka tuanze kuongea upuuzi kama jana, hata kama unalipwa sio kukera wenzio....Mpuuzi wewe
Hujui kitu wewe mnuka k..Huwa unakurupuka tuu kama unaharisha,jifunze ku reason sio ku vomit bila kutafakari..

Na ukiwa less informed usiandike upumbavu wako,utajiabisha na kuabishwa.
 
Kuondoa umasikini katika nchi ni kitu chepesi Sana, sema tu umasikini ni mkakati wa makusudi kabisa unaowanufaisha walamba asali na chama chao kwa msemo wa usiwaamshe waliolala mtalala nyie.
Ili wao wazidi kuishi ni lzm umasikini Uwepo.Thus utumia mifumo kama kodi,tozo,makatazo,nk kuwabana watu wasimudu kujikwamua.

I agree Mkuu, CCM inataka tuendelee kuwa Mandondocha ili waendelee kutuibia....yote yana mwisho haya, ipo siku...😡
 
Tatizo sio vyuo vingi tukirudi uraiani wanatupa masharti magumu ya kiutendaji. Sasa si watusajili huko huko vyuoni badala ya kutoa vyeti watoe leseni? Mamlaka husika zijitafakari haswa EWURA juu ya mafundi umeme kujisajili
 
Tatizo la vyuo vyetu vya ufundi haviendani na kasi na mabadiliko yaliyopo uraiani. Mfano hakuna ufundi wa....
Magari makubwa...
Ufundi wa alluminium
Ufundi wa fiber
Ufundi wa upepo
Ufundi wa mashine za ujenzi
Ufundi wa mifumo mipya ya magari...Auto,cvt, umeme nk

Hatusomeshi waalimu wawe wa kisasa. Somesha waalimu vijana sio wanaokaribia kustaafu.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Wazo langu mm kwenye masom ya A level watowe somo moja katika matatu waweke moja la ufundi mfano physics, electrical studies, mathematics (pes). Au physics, computer studies, mathematics ( pcom). Hafu serikali iache kutoa mkopo wa elimu ya juu kwa sababu haina umuhimu sana kwa Sasa tunahitaji sana technician na hizo fedha iwekeze kwenye technicians hafu degree mtu ajisomeshe mwenyewe
 
Back
Top Bottom