Nadharia mpya kuhusiana na matatizo fulani ya mfumo wa neva na kupelekea kupooza kwa viungo

Nadharia mpya kuhusiana na matatizo fulani ya mfumo wa neva na kupelekea kupooza kwa viungo

Multiple sclerosis: ni ugonjwa wenye sifa ya kuharibu ushikamanifu wa mfumo wa fahamu haswa kile kiwambo cha mafuta kinachoilinda mishipa ya fahamu.



Mara nyingi ikitokea huwa inatokea bila sababu kubwa ya kueleweka japo kama ilivyo ada watu huamua kujiaminisha kwamba labda ni vikemikali/sumu katika mazingira au ni vinasaba vimevurugika. Kama kawaida Uhakika huwa nakuwaga na maelezo yaliyojikita katika hizi imani tulizonazo katika jamii. Na imani hii ni ile imani katika Mungu. Ndio imani kwa Mungu.



Watu wasioamini katika Mungu kwa namna yoyote ile ndio wahanga wa kwanza wa hili tatizo. Ni kwa sababu: kama tu nilivyosema mwanzo kwamba vile sisi tunavyoishi na kuamini kuhusu ulimwengu ndiyo inakuja kuwa namna tunavyoishi na kuamini kama watu [jamii]. Na atharinyake inaendelea hadi kwenye imani ya seli zilizopo katika miilimyetu zitakavyoamini na kuenenda ndani ya miili yetu. Kama mtu haamini kwamba kuna mkuu wa huu ulimwengu, Muumbaji, Mungu au Mtunzi/Mbunifu wa haya yote. Yaani wewe mpe jina lolote tu alimradi liwakilishe Mwenyezi ambaye sisi pamoja na kila kilichoumbwa vinamtumikia. Kama mtu akiwa hana wazo la namna hiyo au imani. Kuna uwezekano mkubwa hata seli katika miili hiyo nazo kuishi kwa imani ileile na kupelekea kupuuzia chochote ambacho ubongo au mfumo wa fahamu utaziambia (kumbuka wenyewe[mfumo wa fahamu] ndio kiongozi). Kwa hiyo mwishoni michakato mbalimbali itapelekea katika majeraha na fujo zote zinazoonekana kwa wagonjwa hawa. Naomba kusisitiza hapa kuwa sisemi kwamba huu ni ugonjwa wa wasioamini Mungu tu. Hapana. Bali imani yoyote ile inayoendana na hizo, iwe ni kwa kushuku au hata kuamini kimakosa vile Mungu alivyo nayo pia ni hatari. Kwa mfano kufikiri kwamba Mungu anabashiribashiri, anatumia bahatinasibu au hayuko na hakika katika namna ya kubainisha kusudi la mambo kiasi ambacho sisi hatuioni sababu mara nyingi [Binafsi naamini kuwa ukiwa mwelewa na Kusudi la Mungu utaiona Hekima yake kuu]. Yote hayo yatapelekea mtu kufikirinkwamba ulimwengu mzima haueleweki/haukomakini na kila jambo linajitokesa tu bila kusudilolote, kwa hiyo anaweza kuendelea kwenye hayo matatizo ya mfumo wa neva, saratani na fujo nyingine katika mwili.



Kwa hiyo imani katika Mungu inaweza kuwa ni njia ya kupata nafuu na kupona ugonjwa huu wa neva[MS], kupooza na magonjwa yote mengine.



Jaribu kumtafuta Mungu wa kweli, na uwe makini! maana yeye YUKO AMBAYE YUKO. Kwa hiyo kuna hatari ya wewe kufinyanga na kumfanya vile unavyofikiri ndivyo alivyo. Kama ukiamua kumchagua yule wa bahati nasibu, mwanangu hiyo itakuwa ni juu yako. Kwa kuwa haijalishi unamuita Mungu kwanjina gani bali haswa ni zile zifa unazoziamini kumhusu huyo mungu. Ili kumpata yule wa kweli wewe waulize tu watu wenye afya. Uliza kwa Waislamu wenye afya, waulize Wakristu wenye afya, uliza Marastafari walio na afya, Mabudha, Wahindu, Uliza kwa Wanasayansi wenye afya. Huyo utakayemfahamu baada ya uchunguzi wako binafsi kuutafuta ukweli ndiye umuabudu maana kwanza kuabudu sikuzote ni jambo lamtu binafsi na Mungu ujue. Katika wote hao utampata Mungu anayeishi anayestahili kuabudiwa lakini ninakusihi usijaribu, tena usije ukajaribu kuishi bila kuwa naye [Mungu].



Nakuombea umpate Mungu wa kweli katika maisha yako.Aamen.View attachment 2205144View attachment 2205144
Aisee we jamaa ni muongo sana. Dah [emoji58]Yaani imani ya mtu inahusiana hadi na seli. Si useme tu unaeneza neno!

Ubongo una maeneo yasiyowasiliana karibu muda wote ili yasiingiliane kazi. Kazi mwilini ziko nyingi, hakuna anayezaliwa akijua mwili unafanyaje kazi. Kinachojua kazi hizo ni seli zenye kazi husika. Imani na uongo mwingine zinafundishwa kama nadharia zingine. Hata Kuja kuelewa function za organ ni baadae. Ndio tuelewe maisha sio imani. Kimoja ni uhalisia kingine porojo.

Unaweka mkao kama unatoa elimu kumbe unasambaza hadithi za uzushi.

Subconscious functions na conscious actions haziko na ukaribu unaojaribu kudanganya. Ni uongo kuleta dhana kwamba bila imani inapelekea cell misbehavior. Unafikaje kwenye hizi hitimisho zako? Ni bora uwe unaweka vyanzo vya hizi taarifa zilizojaa utata.

Nilidhani uliteleza uzi mmoja, kumbe zote ni vielelezo vya mungu tu bila taaluma yoyote!
 
Aisee we jamaa ni muongo sana. Dah [emoji58]Yaani imani ya mtu inahusiana hadi na seli. Si useme tu unaeneza neno!

Ubongo una maeneo yasiyowasiliana karibu muda wote ili yasiingiliane kazi. Kazi mwilini ziko nyingi, hakuna anayezaliwa akijua mwili unafanyaje kazi. Kinachojua kazi hizo ni seli zenye kazi husika. Imani na uongo mwingine zinafundishwa kama nadharia zingine. Hata Kuja kuelewa function za organ ni baadae. Ndio tuelewe maisha sio imani. Kimoja ni uhalisia kingine porojo.

Unaweka mkao kama unatoa elimu kumbe unasambaza hadithi za uzushi.

Subconscious functions na conscious actions haziko na ukaribu unaojaribu kudanganya. Ni uongo kuleta dhana kwamba bila imani inapelekea cell misbehavior. Unafikaje kwenye hizi hitimisho zako? Ni bora uwe unaweka vyanzo vya hizi taarifa zilizojaa utata.

Nilidhani uliteleza uzi mmoja, kumbe zote ni vielelezo vya mungu tu bila taaluma yoyote!
Masdinero masdinero tafadhali unataka kufanya kosa ambalo skeptic hatakiwi kuenenda hivyo. Hapa hoja sio kwamba jambo hili lipo au halipo.

Hoja ya huku ni athari za imani binafsi ya mtu na muenendo wa seli zake jaribu kuichunguza hiyo. Hata mimi hapa nimeileta kama mada ya utafiti mezani.

Imani yangu isikubabaishe, imani yako isikusimamishe ichunguze hiyo hoja kama hoja
 
Ed Dobson alikuwa ni mchungaji ambaye alikubalika mpaka 1993 akaitwa paster of the year

2002 alipata ASL kama aliyosafa hawking

Ulitaka kusema nini na conspiracy yako?

Kwamba ASL ilimpata hawaking kwasababu hakuamini Mungu?

So ushapata majibu kwamba hata ukiamini Mungu hauko salama pia?
Ngoja nitatafuta mda nimsome ili nijue, labda nifunguke maana mi tafiti yangu bado inaendelea. Ukipata mfano mwingine niambie ili tuachane na hiki mnachokiita 'uzushi'
 
Ngoja nitatafuta mda nimsome ili nijue, labda nifunguke maana mi tafiti yangu bado inaendelea. Ukipata mfano mwingine niambie ili tuachane na hiki mnachokiita 'uzushi'
Huko itaenda kusoma hata baadaye lakini niache kwanza na uthibitisho hapa wa kuonesha Mungu yupo niendelee kuusoma
 
Hapana, kwa huku hili sio lengo la mada. Uthibitisho wa wazo la Mungu tunaendelea kuufanyia kazi kule kwenye mada ya Mwanabaiolojia, uhalali Mungu
Basi wacha mi nikomee hapa kama hakuna uthibitisho, hakuna ukweli.

Sioni sababu ya kustick kwenye mada yenye mlengo wa kupotosha watu ikitaka waamini claims zake bila uthibitisho

Hii mada inawahitaji sana faithfoolers kuliko freethinkers
 
Subconscious functions na conscious actions haziko na ukaribu unaojaribu kudanganya. Ni uongo kuleta dhana kwamba bila imani inapelekea cell misbehavior. Unafikaje kwenye hizi hitimisho zako? Ni bora uwe unaweka vyanzo vya hizi taarifa zilizojaa utata.
Haya tunayaweka wazi ili tupate watu wengi zaidi wa kuyachunguza.

Mfano ukiachana na hilo la kupooza yapo na mengine Mengi tu, mfano kisukari:

Nikileta nadharia ya kwamba imani kwamba; "pesa ndo kila kitu, na kuwa nazo nyingi ni jambo zuri. Jitahidi ujikusanyie na kutunza pesa za kutosha. Usizitumie kuwa bahili" inapelekea seli ndani ya mwili kuamini kwamba "Sukari ndio kila kitu, kuwa nayo nyingi ni jambo zuri. Jitahidi ujikusanyie na kutunza sukari ya kutosha. Usitumie sukari kuwa mchumi. Nikasema kuwa zote hizi ni imani mbaya na matokeomyake sio ya afya

Bali imani nzuri ni [nadharia inaendelea] "Pesa ni muhimu kuendesha maisha yetu kijamii. Jitahidi utafute pesa kulingana na matumizi yako. Tunza kiasi tu lakini nyingi ziwekeze kwenye shughuli za kuzalisha mali ma kusaidia wewe familia na jamii kwa ujumla. Pesa itumike kwa mambo ya maana." kwamba itapelekea seli za mwilini nazo kutumia sukari kwa mtindo mzuri. Kuipata sukari kuitumia kujilisha na kusaidia shughuli za mwilini?. Nasisitiza hizi ni nadharia tu. Sina mamlaka bado ya kitafiti. Tusaidiane kutafiti wote
 
Basi wacha mi nikomee hapa kama hakuna uthibitisho, hakuna ukweli.

Sioni sababu ya kustick kwenye mada yenye mlengo wa kupotosha watu ikitaka waamini claims zake bila uthibitisho

Hii mada inawahitaji sana faithfoolers kuliko freethinkers
Bado tafiti zinaendelea, na maanisha uchunguzi unaendelea. Na freethinkers ndo mnakaribishwa. Nimetoa mfano wa imani usiomuhusisha mungu hapo juu #47. Ili tuijadili tu imani kama imani.

Imekaa hivyo jamani nasisitiza kuwa lengo la hii mada lili kuwa ni kujadili imani na sio imani ya kidini. No. Hizihizi tu imani zetu mbalimbali je tunahisi zinaishia hewani tu au zina madhara yanayopimika kabisa?
 
Inamaana unataka kusema S. Hawking afya yake ilichagizwa na imani yake ya kutoamini mungu?
Kitu kama: nadharia hii imejikita zaidi kwenye imani, yaani jinsi alivyoamini katika ulimwengu ulivyo na uongozi wake ndio ilichagiza mwili wake kuitikia vile. Ni nadharia bado tunakusanya data mfano below👇
 
Ed Dobson alikuwa ni mchungaji ambaye alikubalika mpaka 1993 akaitwa paster of the year

2002 alipata ASL kama aliyosafa hawking

Ulitaka kusema nini na conspiracy yako?

Kwamba ASL ilimpata hawaking kwasababu hakuamini Mungu?

So ushapata majibu kwamba hata ukiamini Mungu hauko salama pia?
Nipo kufuatilia hapa, kujua imani yake lakini inaniwia vigumu kwa sababu vyanzo vyangu vya taarifa ni kiduchu. Siwezi kuvinunua vitabu vyake ila nategemea reviews ambazo ni mawazo ya watu yanaweza yasiwe yanamuwakilisha vizuri yeye! Kama ningesoma vitabu vyake kiukamilifu ningekuwa na ushahidi zaidi kwa imani yake kuhusu mungu na ulimwengu mzima unavyoendeshwa ilivyokuwa.

Uchunguzi unaendelea lakini mfano nikasema: 1.Alimuamini Mungu ndio lakini pia imani yake ilijengwa na fujofujo za duniani hadi akaelekea kuamini tupo katika mwisho wa dunia ifikapo 2000[the end]. 2. Alionekana kutoamini kama mamlaka zinaweza kuongoza vizuri bali labda watu wajiongoze wenyewe [blinded by might].

Labda alifika mahala akaishi akiamini kuwa'sasa hakuna sheria wala mamlaka ya maana tupo tu tunasubiri Yesu ashuke hivi karibuni'. Watu wanaoamini mwisho wa dunia umefika samtaimu wanaachaga kufanya kazi. Ndo mambo yakaanza mwilini kuunga mkono hoja!! Sasa sijui kama hizi dots nnazoungaunga zina ukweli au ni bias zangu zinaendelea?

Kumbuka hoja hapa sio kuamini au kutoamini mungu hoja ni kwamba hiyo imani yako ipojepoje, je unaamini ulimwengu/dunia ipojepoje je ina kiongozi au haina na uongozi wake upojepoje? Kama ni kani mbalimbali zipoje, je ni order au ni chaos? Ile imani kwa ujumla je inaathiri miili yetu? Hicho tu.

Nazitegemea kwelikweli critisisms zenu wana ili tuondokane [au tuendelee] na hii nadharia;
Dobson research 1.JPG
Dobson research 2.JPG
Dobson research 3.JPG
Dobson research 4.JPG
Dobson research 5.JPG
Dobson research 6.JPG
Dobson research 7.JPG
 
Sababu za uwepo wa maajabu fulani ambayo kwa ufaham wa mwanadamu kashindwa kuujua kiundani haimaanishi kuwa point ya kuprove uwepo wa Mungu.

Kuna hawa wanaochukua vifungu vya vitabu vya dini zao as reference ya kuprove uwepo wa Mungu, hawa nao ni wajinga maana wanakuwa hawana imani pasipo kutegemea hayo mavitabu yao, na pia inaonesha kabla ya ujio wa dini mababu hawakuwa na imani ya Umungu nje ya izo dini? Na je dini zisingekuja vipi mnge quote wapi vifungu ili tumjue huyo Mungu?

Elimu hii ni ngumu na wala haihiatji ujuaji na kuwahukumu wanaopinga uwepo wa huyo Mungu, maana kuna mengi yameshaharibiwa kuhusina na imani ya kweli, so kila mtu abaki akiamni ajuacho kulko kuwaforce wengine waamini uwepo wa Kitu ambacho binafsi kimeshindwa kujitetea kuwa kipo bila ya kuwatumia wanadamu dhaifu.
 
Kitu kama: nadharia hii imejikita zaidi kwenye imani, yaani jinsi alivyoamini katika ulimwengu ulivyo na uongozi wake ndio ilichagiza mwili wake kuitikia vile. Ni nadharia bado tunakusanya data mfano below👇
Unazungumzia vipi wale watoto ambao siku yao ya kwanza kuzaliwa wanakuwa wamezaliwa na matatizo mbalimbali mfano mzuri ni watoto kuzaliwa katika hali ya mdogo sungura au sehemu ya miili yao ikiwa imeungana. Je hawa watoto huwa wanaanini nini?
 
Unazungumzia vipi wale watoto ambao siku yao ya kwanza kuzaliwa wanakuwa wamezaliwa na matatizo mbalimbali mfano mzuri ni watoto kuzaliwa katika hali ya mdogo sungura au sehemu ya miili yao ikiwa imeungana. Je hawa watoto huwa wanaanini nini?
Ndugu yangu sijakataa wala sijasema kuwa maambukizi ya bakteria si kitu.
Wala sijakataa kama ajali zinatokea na kuharibu afya
Kwamba kuna miale inaweza kusababisha uharibifu wa afya [harmful radiation]
Mambo yote, kemikali ngeni na upungufu wa vitamini ni baadhi ya visababishi

Nnachojaribu kuuliza hapa ni 'Je tunaweza kuiweka na imani nayo kama chanzo mojawapo cha kuhifadhi/kuharibu afya kwa mwanadamu?'

Maana ukiangalia hizo sifa hapo juu zinamuweka mtu kama muhanga, hapa tunataka kuipeleka mbele kidogo elimu na kumpa mamlaka mtu awe ndio mtendaji:
'Shit happens' is the worst philosophy to live with. 'Shit happens for a reason' is healthy, w...jpg
 
Elimu hii ni ngumu na wala haihiatji ujuaji na kuwahukumu wanaopinga uwepo wa huyo Mungu, maana kuna mengi yameshaharibiwa kuhusina na imani ya kweli, so kila mtu abaki akiamni ajuacho kulko kuwaforce wengine waamini uwepo wa Kitu ambacho binafsi kimeshindwa kujitetea kuwa kipo bila ya kuwatumia wanadamu dhaifu.
Nisamehe sana kama umeona ninahukumu? I am a mere mortal here mimi kama nani? Sema hii mada inapendekeza kwamba isije kuwa tupo tunajihukumu wenyewe kwa namna tunayochagua kuamini!?

Kakaa, una uhuru wa kuamini chochote na vyovyote unavyotaka. Ninachojaribu kugusia hapa ni kwamba je tunao ushahidi kwamba imani yako inaweza kukuponya/kukuangamiza?

I mean kama tupo na tunaishi duniani penye aina nyingi tu za ukweli na uongo unaoweza kuufuata[free will]. Kwa nini tusichague at least zile kweli ambazo zitatusaidia kufurahia maisha yetu hapa duniani. Na kama yapo mengine zaidi ya hapa nayo tutajitahidi kufanya chaguzi za kuyafaidi pia.

Jiambie tu mwenyewe kwamba kama nitayaishi haya maisha, basi nitajitahidi kuyaishi vizuri.
 
Afu kinginee Kwa Ushindi victory na Scars na wengine mnaokomalia kutaka uthibitisho wa Mungu, tena muda mwingine mnaenda mbali kutaka ajitokeze mbele yako physically laivu ajithibitishe hamjajua tu kile mnachokiomba. Poleni sana.

Kutokana na utukufu alionao ikitokea akaamua kujitokeza kwako nikwambie ndugu hautabaki majivu, bali hata hayo majivu yatavukishwa na huo mvuke utatawanyika uwe atomu nazo zivunjikevunjike yaani hautaona hata kavumbi ka matirio ya mwili wako. Hiyo ni kutokana na ule tunaita utukufu, utukufu ni zaidi ya nguvu maana wenyewe ndio msingi hata wa hizo nguvu zenyewe. Hayupo mtu anayeweza kumutazama Mungu na akaishi. Utawaona malaika wake, utaziona nguvu zake kama moto etc lakini Yeye ukimuona utabaki mvuk... no.. hapana... hata mvuke wako hautaonekana.

Lakini njia ambayo inatumika ni ile ya kuwasiliana ki-roho na watu waliokuza vyeo vyao kiroho. Nayo sio directly ni kama resonation, resonance bila kugusana. So mitume na manabii wanapo-resonate na ujumbe wa Mungu basi wanatuambia na sisi hayo ndiyo mafunuo na unabii.

Lakini usijione mdogo, kila mmoja anayo nafasi ya kuresonate/kuitikia na mambo ya kiroho inaanza tu na yeye kukubali kuwa wake Mwenyezi. After all imani ni mahusiano binafsi kati ya kiumbe na Mola wake. Haya makundi ya umoja yanatusaidia maana tunajumuisha elimu ya kila mmoja wetu. Mtu anaweza kuwa mkristo au muislamu lakini kwa imani yake binafsi. Sasa mimi natafuta athari za imani binafsi sio ya jumuiya.
 
Back
Top Bottom