Nadharia na maneno toka Serikalini vimekuwa vingi kuliko wanavyohitaji Watanzania kwenye grassroot

Nadharia na maneno toka Serikalini vimekuwa vingi kuliko wanavyohitaji Watanzania kwenye grassroot

si kweli kwamba hali ya maisha ya watanzani ni mbaya.

nachelea kudhani hali yako binafsi yaweza kua mbaya,
hiyo ni sawa, na naushauri ujipange na kurekebisha, inawezekana kabisa kutoka kweye hali hiyo.

unasema, umeme ni shiida, maji ni shida, dawa ni shida nakadhalika nakadhalika.
ukweli ni kwamba huduma zote hizo zipo katika ukamilifu wake,
ispokua wewe ndie huridhishwi na kiasi au kiwango cha upatikanaji wa huduma zenyewe.

ni vigumu kumridhisha kila mtu,
changamoto, uchache, kutojitosheleza kwa huduma hizo, kasoro, upungufu na udhaifu ni vitu ambavyo serikali kutwa kucha wanavifanyia kazi na kuendelea kuviimarisha ili hatimae viweze kukidhi mahitaji ya watanzania wote.

Ziara hizi za Rais,
Ni muhimu sana na kwakweli zitachochea ukuaji wa kisekta kwa namna mbalimbali.
Mawaziri wa kisekta wanakwenda kuchota uzoefu, technolojia, mipango na mbinu mablimbali wanazotumia wenzetu katika kuimarisha na kutooa huduma muhimu kwa watu wao.

kupanga ni kuchagua....
Upo sahihi Hali ya maisha ya Watanzania ni nzuri sana kama raia wa nchi za Scandinavia kule Ulaya!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Unapokea dege la.bil 800+ alafu unachukua ujumbe wa watu 100 na zaidi kwenda nao Qatar na India kwa sababu gani za msingi?

Kuangalia namna green house zinazalisha mbogamboga ? Huko India kuna nini kipya mpaka ubebe watu mia mbilli na ushee kwenye ziara kama hii?

Huko India hakuna balozi ambaye angeweza kufacilitate haya? Dunia ya leo ni ya kidigital. Hakuna namna ya wafanyabiashara kuunganishwa kidijitali? Na kuweza kufanya biashara.

Mbona hali ya maisha ya Watanzania at grassroot ni mbaya sana. Maji ni shida, umeme shida, dawa shida. Kwa nini.mtumie pesa nyingi kwa ziara ambazo dunia ya leo hazifanyiki sana. Labda kama kuna ulazima!.

Hizo pesa zilizotumika kwa ziara ya Qatar India zilitosha kukamilisha mradi wa maji wa bil 6 ambao ungesaidia mamilioni ya Watanzania.

View attachment 2779432
Wewe Kwa akili Yako Balozi anaweza facilitate mambo Kama haya?

View: https://www.instagram.com/p/CySdNOctwSj/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Pesa wanazoenda Kuzalisha ni nyingi kuliko walizotumia

Mwisho hakuna dege la bil.800 huo ni uzushi wa wajinga.
 
Hii serikali haina tofauti na bongo movie jinsi mambo yao yalivyo pamoja na fikra zao.
 
Unapokea dege la.bil 800+ alafu unachukua ujumbe wa watu 100 na zaidi kwenda nao Qatar na India kwa sababu gani za msingi?

Kuangalia namna green house zinazalisha mbogamboga ? Huko India kuna nini kipya mpaka ubebe watu mia mbilli na ushee kwenye ziara kama hii?

Huko India hakuna balozi ambaye angeweza kufacilitate haya? Dunia ya leo ni ya kidigital. Hakuna namna ya wafanyabiashara kuunganishwa kidijitali? Na kuweza kufanya biashara.

Mbona hali ya maisha ya Watanzania at grassroot ni mbaya sana. Maji ni shida, umeme shida, dawa shida. Kwa nini.mtumie pesa nyingi kwa ziara ambazo dunia ya leo hazifanyiki sana. Labda kama kuna ulazima!.

Hizo pesa zilizotumika kwa ziara ya Qatar India zilitosha kukamilisha mradi wa maji wa bil 6 ambao ungesaidia mamilioni ya Watanzania.

View attachment 2779432
Rais Samia anachezea kodi za wananchi bila hata chembe ya huruma.
 
Taifa letu lime jaa wajinga wengi sana,ni nyakati ya kukikataa chama Cha mboga mboga na matenndo yake yote,mchana kweupe.

Nasikia mtu yule kidato Cha Nne alipata Zero.
Alishindwa kupata hata D2 halafu leo ametunikiwa PHD 2 ,ujenga sana kwa nchi yetu
 
Back
Top Bottom