Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

Status
Not open for further replies.
Kufeli kwa mradi mkubwa wa DART ni kielelezo tosha kuwa TISS hawafanyi kazi ipasavyo. Tumewahi kuambiwa kuwa kipindi cha ikitokea mtu ana mpango wa kupiga dili chafu, basi atapigiwa simu na ikulu hata kabla hajatekeleza mpango wake wakati kila kitu alifanya mafichoni.
Hivi TISS walikuwa wapi wakati watu wanavunja mkataba na Maximalipo ili waibe na kuhujumu mradi huu unaogharimu pesa za walipa kodi wa tz. TISS walishindwa kabisa kubaini hujuma zinazoendelea DART?
Mkuu kwani tiss hawana njaa, hata wao huwa wanavuta hela ili maisha yaende
 
Mwishowe tutafukazana nchini kabisa. Sisi ni wazembe. Hatuna miiko ya kazi kama jamii. Haya mambo ya ovyo ovyo bado yapo tu.
Utawasema TISS, kuna wengine wamejenga ukuta unasukumwa kwa mkono, kuna wengine wanaunga juhudi, kuna wengine wameshindwa kuokoa walozama majini. Kila mmoja hapa akisimulia mambo ya ovyo anayokutana nayo kwenye kazi na wote wakafukuzwa tungeanzia ikulu mpaka kijijini kwa wale walimu wanaoridhika kufundisha kwenye madarasa ya nyasi na wazazi wao. Tusiwasingizie TISS, kotw ni ovyo.
 
UDART kuna uhuni waajabu sana vizur tume ikaundwa yote yakawa adharan watu wameteseka sanaa kweny Aya magar
 
Moral compass imeyumba. Siku hiz ni rahis sana kuwafahamu a.k.a kuwajua. Zaman ilikuwa hata kama ni ndugu yako si rahis kujua kama yuko huko
Zamani walikuwaga vichaa, wanakula majalalani na kukaa hovyohovyo Kama ombaomba , wasukuma mikokoteni , njiano wachafu nk. Sikuhizi wanavaa smart kutwa wapo baa wanapiga kinywaji na kufukuzia mademu wakali.
 
Wakati wa max malipo sijawahi pata siti ya mwendokasi
Kwa nn upande gari ambayo imejaa hivo au mnatangaza utalii wa kusukumana kwenye daladala namna hiyo.....

Ustarabu zeroooo kuanzia kichaa mkuu hadi machizi wa akina sugu and Co.

Kwa hiyo wewe jingalao hiyo ndio sababu ya kuvunja mkataba na maxmalipo?
 
Yaani wanashindwa kuendesha mradi wa basi wakati wapo wenyewe tuu kwenye hiyo njia kama mnashindwa kuendesha mradi wa basi mtaweza ushindani wa ndege kweli?
 
TISS iko chini ya Rais na chini ya waziri husika, hivyo kwa vyovyote nadhani kuna SIASA kazini.

Chombo cha intelijensia ili kiwe imara na madhubuti lazima kijitegemee na kijiendeshe bila kuburuzwa na hisia na utashi wa wanasiasa uchwara.

Nitakua sijakosea kusema kuwa chombo cha intelijensia ni cha wanasiasa, kilichojaa wanasiasa, kwa manufaa ya wanasiasa
 
Kufeli kwa mradi mkubwa wa DART ni kielelezo tosha kuwa TISS hawafanyi kazi ipasavyo. Tumewahi kuambiwa kuwa kipindi cha utawala wa Mwalimu ikitokea mtu ana mpango wa kupiga dili chafu, basi atapigiwa simu na ikulu hata kabla hajatekeleza mpango wake wakati kila kitu alifanya mafichoni.
Hivi TISS walikuwa wapi wakati watu wanavunja mkataba na Maximalipo ili waibe na kuhujumu mradi huu unaogharimu pesa za walipa kodi wa tz. TISS walishindwa kabisa kubaini hujuma zinazoendelea DART?
Yooote majizi hakuna wa kumsema mwenzie
 
TI
TISS iko chini ya Rais na chini ya waziri husika, hivyo kwa vyovyote nadhani kuna SIASA kazini.

Chombo cha intelijensia ili kiwe imara na madhubuti lazima kijitegemee na kijiendeshe bila kuburuzwa na hisia na utashi wa wanasiasa uchwara.

Nitakua sijakosea kusema kuwa chombo cha intelijensia ni cha wanasiasa, kilichojaa wanasiasa, kwa manufaa ya wanasiasa
TISS ya ccm imejaa maDC, MaRC, Wenyeviti wa ccm mikoa, wilaya, makatibu CCm mikoa, wilaya, UVCC.....halafu anagalia IQ za hao niliowataja.

Hapo ukitegemea lote la maana na wewe utakuwa kilaza.[/QUOTE]
 
TISS wanahusikaje kwenye udart,watu wameshindwa kuendesha mradi then mnawasingizia TISS how.udart wapambane na hali zao.
 
Hata kwa wakuu wa Taasisi Tiss zamani walikuwa wakifanya vetting ya hali ya juu lkn sio siku hizi tena. Ndio maana hata miradi kama DART wasimamizi sio makini kabisa.
 
Zamani walikuwaga vichaa, wanakula majalalani na kukaa hovyohovyo Kama ombaomba , wasukuma mikokoteni , njiano wachafu nk. Sikuhizi wanavaa smart kutwa wapo baa wanapiga kinywaji na kufukuzia mademu wakali.
Hahahaa umenikumbusha kuna fala mmoja ali organize kikundi chake cha kihuni kisa eti nimemla demu mmoja mkali ambaye yeue alikataliwa akawa ananitishia eti ni usalama wa taifa, kumbe hanijui mi ni nani, nilimshughulikia indirectly hadi akajuta.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom