Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

Status
Not open for further replies.
Kufeli kwa mradi mkubwa wa DART ni kielelezo tosha kuwa TISS hawafanyi kazi ipasavyo. Tumewahi kuambiwa kuwa kipindi cha utawala wa Mwalimu ikitokea mtu ana mpango wa kupiga dili chafu, basi atapigiwa simu na ikulu hata kabla hajatekeleza mpango wake wakati kila kitu alifanya mafichoni.
Unataka TISS ifanye kazi kwa stle ya zama za Nyerere?Takukuru wanafanya nini?
Hebu nitajie kwanza kirefu cha TISS na majukumu yake
 
TISS wanahusikaje kwenye udart,watu wameshindwa kuendesha mradi then mnawasingizia TISS how.udart wapambane na hali zao.
TISS ni usalama wa taifa, usalama ktk nyanja za kiuchumi, kisiasa, na kijamii.

Mtu anaiba na kufanya biashara ya Tembo unamnyamazia halafu unajiita usalama??
Hahahahaaa.
Ccm bwana.
 
Unataka TISS ifanye kazi kwa stle ya zama za Nyerere?Takukuru wanafanya nini?
Hebu nitajie kwanza kirefu cha TISS na majukumu yake
Tanzania intelligence security services.

Yaani kazi yao ni kulala na kukesha kutafuta Mbowe na Halima mdee wamelala wapi?? Hii ndio kazi yao??
 
Hata kwa wakuu wa Taasisi Tiss zamani walikuwa wakifanya vetting ya hali ya juu lkn sio siku hizi tena. Ndio maana hata miradi kama DART wasimamizi sio makini kabisa.

Tanzania toka imepata uhuru wapi iliweza kuendesha kitu kwa mafanikio, Viwanda alivijenga mkoloni lakini vilimfia Mzee wetu marehemu mwenyewe, reli alituachia mkoloni lakini tumeshindwa kuendesha efficiently leo tunataka SGR, Elimu alituachia mkoloni na wote waliosoma kwa mkoloni mambo yalikuwa dole lakini tulipoanza kuishika wenyewe elimu yetu tu na kizazi kilichosoma hiyo elimu shida tupu.. TATIZO LIPO NA ILITULITATUE TUSIWE WANAFIKI, TATIZO NI CCM.
 
Kufeli kwa mradi mkubwa wa DART ni kielelezo tosha kuwa TISS hawafanyi kazi ipasavyo. Tumewahi kuambiwa kuwa kipindi cha utawala wa Mwalimu ikitokea mtu ana mpango wa kupiga dili chafu, basi atapigiwa simu na ikulu hata kabla hajatekeleza mpango wake wakati kila kitu alifanya mafichoni.
Hivi TISS walikuwa wapi wakati watu wanavunja mkataba na Maximalipo ili waibe na kuhujumu mradi huu unaogharimu pesa za walipa kodi wa tz. TISS walishindwa kabisa kubaini hujuma zinazoendelea DART?
Bring back our MO!
 
Tanzania intelligence security services.

Yaani kazi yao ni kulala na kukesha kutafuta Mbowe na Halima mdee wamelala wapi?? Hii ndio kazi yao??
lini ulisikia Sultani mbowe anatafutwa na TISS au umekosa hoja unajiondoa kwenye reli?
 
Hao jamaa uliowataja bado wako karne nyingi sana nyuma, kifupi ulimwengu wa taaluma hiyo umewaacha mbali sana.
 
Kufeli kwa mradi mkubwa wa DART ni kielelezo tosha kuwa TISS hawafanyi kazi ipasavyo. Tumewahi kuambiwa kuwa kipindi cha utawala wa Mwalimu ikitokea mtu ana mpango wa kupiga dili chafu, basi atapigiwa simu na ikulu hata kabla hajatekeleza mpango wake wakati kila kitu alifanya mafichoni.
Hivi TISS walikuwa wapi wakati watu wanavunja mkataba na Maximalipo ili waibe na kuhujumu mradi huu unaogharimu pesa za walipa kodi wa tz. TISS walishindwa kabisa kubaini hujuma zinazoendelea DART?
Acha kuwasingizia TISS, CHADEMA ndio wanaohujumu DART.
 
kiukweli kuna watu wanaroho ngumu kutokana na initiative za mhe raisi lakini bado watu wanataka kufisidi pesa za umma...waiopiga pesa waagize ntakuja lipia popote walipo
 
Kufeli kwa mradi mkubwa wa DART ni kielelezo tosha kuwa TISS hawafanyi kazi ipasavyo. Tumewahi kuambiwa kuwa kipindi cha utawala wa Mwalimu ikitokea mtu ana mpango wa kupiga dili chafu, basi atapigiwa simu na ikulu hata kabla hajatekeleza mpango wake wakati kila kitu alifanya mafichoni.
Hivi TISS walikuwa wapi wakati watu wanavunja mkataba na Maximalipo ili waibe na kuhujumu mradi huu unaogharimu pesa za walipa kodi wa tz. TISS walishindwa kabisa kubaini hujuma zinazoendelea DART?
Kwa kweli inaumiza sana wamepewa dhamana kubwa kuhakikisha watazania hawahujumiwi lakini hawatimizi majukumu yao ipasavyo.
 
kiukweli kuna watu wanaroho ngumu kutokana na initiative za mhe raisi lakini bado watu wanataka kufisidi pesa za umma...waiopiga pesa waagize ntakuja lipia popote walipo
JIWE mwenyewe na wafuasi wake( waunga mkono juhudi) wanazipiga wao ndio walale njaa??
 
Kazi ya TISS ni kukusanya taarifa na kuzipeleka kunakohusika na taarifa hizi huwa za siri hatuwezi kuwalaumu sababu wao hawahusiki na utekelezaji, si ajabu walishatoa taarifa lakini hakuna hatua zilizochukuliwa na ndio maana serikali ya awamu ya tano ilipoingia hatua nyingi walizochukua zilitokana na idara hii
 
Kweli uyasemayo.... TISS wanatika kisiasa. Swala lakujua kenya inafikiri nn kuhusu Tanzania haliwahusu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom