MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Mkuu kwani tiss hawana njaa, hata wao huwa wanavuta hela ili maisha yaendeKufeli kwa mradi mkubwa wa DART ni kielelezo tosha kuwa TISS hawafanyi kazi ipasavyo. Tumewahi kuambiwa kuwa kipindi cha ikitokea mtu ana mpango wa kupiga dili chafu, basi atapigiwa simu na ikulu hata kabla hajatekeleza mpango wake wakati kila kitu alifanya mafichoni.
Hivi TISS walikuwa wapi wakati watu wanavunja mkataba na Maximalipo ili waibe na kuhujumu mradi huu unaogharimu pesa za walipa kodi wa tz. TISS walishindwa kabisa kubaini hujuma zinazoendelea DART?
Mwenyewe sijawai kupanda pata siti hata siku mojaWakati wa max malipo sijawahi pata siti ya mwendokasi
Zamani walikuwaga vichaa, wanakula majalalani na kukaa hovyohovyo Kama ombaomba , wasukuma mikokoteni , njiano wachafu nk. Sikuhizi wanavaa smart kutwa wapo baa wanapiga kinywaji na kufukuzia mademu wakali.
Kwa nn upande gari ambayo imejaa hivo au mnatangaza utalii wa kusukumana kwenye daladala namna hiyo.....Wakati wa max malipo sijawahi pata siti ya mwendokasi
nakudharau sana japo sikujui kwa sura nakudharau kama kinyesi nakudharau sana. ulimanisha nini hapo?Wakati wa max malipo sijawahi pata siti ya mwendokasi
Yooote majizi hakuna wa kumsema mwenzieKufeli kwa mradi mkubwa wa DART ni kielelezo tosha kuwa TISS hawafanyi kazi ipasavyo. Tumewahi kuambiwa kuwa kipindi cha utawala wa Mwalimu ikitokea mtu ana mpango wa kupiga dili chafu, basi atapigiwa simu na ikulu hata kabla hajatekeleza mpango wake wakati kila kitu alifanya mafichoni.
Hivi TISS walikuwa wapi wakati watu wanavunja mkataba na Maximalipo ili waibe na kuhujumu mradi huu unaogharimu pesa za walipa kodi wa tz. TISS walishindwa kabisa kubaini hujuma zinazoendelea DART?
TISS ya ccm imejaa maDC, MaRC, Wenyeviti wa ccm mikoa, wilaya, makatibu CCm mikoa, wilaya, UVCC.....halafu anagalia IQ za hao niliowataja.TISS iko chini ya Rais na chini ya waziri husika, hivyo kwa vyovyote nadhani kuna SIASA kazini.
Chombo cha intelijensia ili kiwe imara na madhubuti lazima kijitegemee na kijiendeshe bila kuburuzwa na hisia na utashi wa wanasiasa uchwara.
Nitakua sijakosea kusema kuwa chombo cha intelijensia ni cha wanasiasa, kilichojaa wanasiasa, kwa manufaa ya wanasiasa
Hahahaa umenikumbusha kuna fala mmoja ali organize kikundi chake cha kihuni kisa eti nimemla demu mmoja mkali ambaye yeue alikataliwa akawa ananitishia eti ni usalama wa taifa, kumbe hanijui mi ni nani, nilimshughulikia indirectly hadi akajuta.Zamani walikuwaga vichaa, wanakula majalalani na kukaa hovyohovyo Kama ombaomba , wasukuma mikokoteni , njiano wachafu nk. Sikuhizi wanavaa smart kutwa wapo baa wanapiga kinywaji na kufukuzia mademu wakali.